Kiungonguli
Member
- Jul 26, 2015
- 60
- 100
Stephane Aziz Ki ni jina lililotamkwa mara nyingi mno midomoni mwa mashabiki wa SIMBA na YANGA kwa takribani wiki nane sasa huku kila shabiki wa timu hizi akitamani huyu bwa mdogo acheze kwenye timu yake pendwa.
Hatimaye sasa ni rasmi AZIZ KI ni mali ya wananchi na ameshatambuliswa kwa mbwembwe zote anazostahili mchezaji mkubwa.Lakini ujio wake ni furaha kwa washabiki wa Yanga popote walipo lakini sidhani kama baadhi ya wachezaji wanocheza katika eneo ambalo huyu mwamba anacheza wamepokeaje ujio wake.
Aziz KI anacheza vizuri akiwa kama namba 10 au akitokea pembeni upande wa kulia,pia anaweza kucheza kama FALSE 9 pia,lakini mwalimu NABI bila shaka atataka kumtumia huyu mwamba kama namba 10 nyuma ya MAYELE eneo ambalo limemn'garisha sana kiungo fundi mzawa FEISAL SALUM..
Fei toto amekuwa na msimu mzuri hivi karibuni akitumika kama namba 10 nafasi ambayo Mwalimu Nabi alimpangua SAIDO ntibanzokisa na kumpeleka pembeni na kumwachia ZANZIBAR FINEST ajidai.
Wakati wa PAPA MWINYI ZAHERA eneo hilo alipewa IBRAHIM AJIB MIGOMBA na alin'gara sana huku FEI akicheza kama kiungo wa chini eneo ambalo mashabiki wake tunaona kama linamfifisha sana maana anakuwa mbali na lango.
Kwa sasa kuna ujio wa BIRIGIMANA na uwepo wa BABU KAJU katika eneo hilo sambamba na fundi AUCHO,nadhani BANGALA atacheza kama beki zaidi msimu ujao.
Je FEI TOTO atarudishwa kucheza chini abanane na akina SURE BOY,Bigirimana na Aucho?Au AZIZI KI atachezeshwa pembeni abanane na akina MOLOKO,MORISSON,YACOUBA,NKANE na KAMBOLE huku FEI akibaki kwenye eneo lake la kujidai?
Tusubiri tuone mwalimu NABI atafanyaje...
Hatimaye sasa ni rasmi AZIZ KI ni mali ya wananchi na ameshatambuliswa kwa mbwembwe zote anazostahili mchezaji mkubwa.Lakini ujio wake ni furaha kwa washabiki wa Yanga popote walipo lakini sidhani kama baadhi ya wachezaji wanocheza katika eneo ambalo huyu mwamba anacheza wamepokeaje ujio wake.
Aziz KI anacheza vizuri akiwa kama namba 10 au akitokea pembeni upande wa kulia,pia anaweza kucheza kama FALSE 9 pia,lakini mwalimu NABI bila shaka atataka kumtumia huyu mwamba kama namba 10 nyuma ya MAYELE eneo ambalo limemn'garisha sana kiungo fundi mzawa FEISAL SALUM..
Fei toto amekuwa na msimu mzuri hivi karibuni akitumika kama namba 10 nafasi ambayo Mwalimu Nabi alimpangua SAIDO ntibanzokisa na kumpeleka pembeni na kumwachia ZANZIBAR FINEST ajidai.
Wakati wa PAPA MWINYI ZAHERA eneo hilo alipewa IBRAHIM AJIB MIGOMBA na alin'gara sana huku FEI akicheza kama kiungo wa chini eneo ambalo mashabiki wake tunaona kama linamfifisha sana maana anakuwa mbali na lango.
Kwa sasa kuna ujio wa BIRIGIMANA na uwepo wa BABU KAJU katika eneo hilo sambamba na fundi AUCHO,nadhani BANGALA atacheza kama beki zaidi msimu ujao.
Je FEI TOTO atarudishwa kucheza chini abanane na akina SURE BOY,Bigirimana na Aucho?Au AZIZI KI atachezeshwa pembeni abanane na akina MOLOKO,MORISSON,YACOUBA,NKANE na KAMBOLE huku FEI akibaki kwenye eneo lake la kujidai?
Tusubiri tuone mwalimu NABI atafanyaje...