Kwani hao wanaodhulumu wanadhulumu kwa sababu ya uislam wao? maana kuna wakristo wengi hasa walio CCM wanatetea huo mkataba.
We kaka utakuwa na matatizo, si wewe ulitetea sana hiyo IGA ukasema siyo mkatataba? Siku ya hukumu moto wenu utakuwa specialWatanzania ni wavivu sana kusoma, ni wepesi kulalamika na hata wakisoma kitu ni wepesi wa kusahau, wali soma nini!, kila kitu kilielezna kwa maandishi kwenye ile IGA, kawa baada ya DPW kupewa HGA, kukitokea fursa zozote za uwekezaji kwenye Bandar zozote Tanzania, DPW pia wataalikwa, kwa vile Mao tayari capo nchini, ukitokea ushindani wowote, wao wana comparative advantage, kwasababu was tayari wapo nchini.
Kiukweli sii Watanzania sio tuu tuko very poor kwenye business lobbying and advocacy, bali ni kama tuko zero kwenye economic inteligence, hili la DPW tulipaswa tulibaini kitambo!, Rwanda haina bandari, hivyo tulipoona DPW wanajenga a dry port Kigali, watu wetu wa economical inteligence, walipaswa hili walione!, wakati wa maonyesho ya Expo Dubai, DPW akaisponsor Tanzania, tukasombelea watt Dubai, tukijua huyu ni msamaria mwema, kumbe watu wanaona mbali!.
P
Kuna siri kubwa kwenye huo mkataba. Ila kwa sababu Tanganyika wajinga ni wengi, tumeshindwa kushikamana dhidi ya umafya uliopangwa kwa umakini mkubwal na Wazanzibari.
Mkakati wa muda mrefu ni kwamba Wazanzibari wanasema pwani yote toka Mtwara hadi Pangani, kilometer 20 toka baharini kwenda bara, pamoja na kisiwa cha Kilwa, ni mali ya Zanzibar, kwa vile eneo hilo kabla ya utawala wa Wajerumani, lilitawaliwa na sultani.
Kwa hiyo kinachofanyika sasa, ni taratibu kulikabidhi eneo hilo kupitia uwekezaji uchwara wa Waarabu, (ndiyo maana IGA inasema kuwa eneo lolote ambalo DPW itataka, serikali itatakiwa kuwalipa fidia wahusika na kuwakabidhi DPW). Mkakati huo wa kuchukua ardhi kupitia IGA utaenda sambamba na ununuzi wa ardhi wa hao wageni kwenye maeneo mengine ya pwani. Hilo likikamilika, Zanzibar itajitenga na Muungano, na kudai eneo lote la pwani. Lakini pia sultani wa Oman alitamka wazi kuwa ndoto yake ni siku moja lazima makao yake yarudi kwenye eneo lake la kale, yaani Zanzibar.
Huyo pascal namuonaga ni wakaida sana kifikra alafu ni mnafkiKuna maeneo umepotosha. Sijui kwa kukosa kumbukumbu au ni kwa kukusudia!!
IGA ile ya kishenzi inasema kuwa, kwenye maeneo yote ya nchi, baharini, maziwa mpaka kwenye mito, kukihitajika kufanyika uwekezaji, Serikali hairuhusiwi kumpa mwekezaji mwingine yeyote, bali italazimika kuitaarifu DPW. Sharti hili ni miongoni mwa vipengere vya kishenzi, na bahati mbaya kuna washenzi watanzania wenzetu wakauunga mkono mkataba huo Mama wa IGA unaosimamia mikataba yote midogo ya HGA.
Mimi ndo maana namuitaga kubwa jingaWe kaka utakuwa na matatizo, si wewe ulitetea sana hiyo IGA ukasema siyo mkatataba? Siku ya hukumu moto wenu utakuwa special
Kuihusu IGA, mimi ni miongoni mwa tulio andika sana kuhusu ile IGA, hivyo sijapotosha!.Kuna maeneo umepotosha. Sijui kwa kukosa kumbukumbu au ni kwa kukusudia!
Nitakushukuru sana ukiniwekea hicho kifunguSerikali hairuhusiwi kumpa mwekezaji mwingine yeyote, bali italazimika kuitaarifu DPW.
Kuna watu hawapajui Kigoma,Mtwara,Kyela itabidi waanze kugoogle vituo vyao vipya vya kaziNi vizuri pia wakawaone watz wenzao halisi wakishughulika na kujishughulisha na shughuli zao za kila siku katika jamii zao naamini watajifunza kitu
Nchi siku watanzania watakuja kumuelewa Tundu lisu hata kama ni miaka 100 iijayo?!! ndipo history itawa frame ccm kama lobengula na mangungo
Akikuelewa nishtue ukanywe soda. Kuna baadhi ya watu dini zimewapofusha sana hawaoni mbele.Kwani huyo mtoa mada ameleta hoja inayohusu nini? Mada yake inahusu 'uislamu wa bandari' au hoja kuhusu mkataba wa DPW??????
Bora akae kimya tu, watanzania hata wakielewa bado huchagua kuwa wanafiki.Tunamtaka Mwabukusi awashe moto mwingine. Watanganyika hawaelewi lolote linaloendelea na athari zake.
Nani alikwambia? Tulichosikia sisi ni kuwa Gati 3 za Dar ni mwanzo tu lakini Tanzania ilitaka kuboresha Mtwara na Nansio, itabidi wawaambie DPW ili nao waweze kushitiko kwenye maombi ya kuziendeleza.Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.
Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.
Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.
Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!
Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Unapoongelea askofu unaongelea PhD holder. TEC waliponga tukawaona wajinga.Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.
Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.
Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.
Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!
Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Unaposema "a security clearance" unamaanisha nini?Hakuna mgogoro wowote wala tishio lolote la kiusalama, kwasababu DPW imepewa a security clearance, na wao ni operators only, ulinzi wa mipaka yetu bado jukumu la JWTZ, hivyo usiwe na wasiwasi kabisa!.
P
Hawa wakuu wetu wajinga na wasio na maarifa ya dunia. Nani anayechochea vita Sudan, si hawa hawa wa Imarati? Mmewapa bandari watashindwa kuingiza silaha? Na Usalama wenyewe ni huo hata Magufuli auawa hadi leo hakuna hata taarifa ya utafiti. Pumbavu nchi hii!Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.
Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.
Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.
Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!
Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.
Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.
Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.
Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!
Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Lakn si wangetoa tangazo la kazi la kuwalenga walioko kazini kuliko kuwambia wanaotaka kubaki TPA au kwenda DPW wajiandikishe ukizingatia hizo bandari hazimhusu.Je kesho wakipeleka hilo tangazo TRA nchi nzima itaeleweka kweli?Ni sawa kuhoji, Huenda DPW ikakosa wafanyakazi wazoefu iwapo wengi wataamua kubaki serikalini hivyo wakaamua kutanua wigo wa wafanyakazi wa bandari walio tayari kuamia DPW