Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4, 5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Labda hao wavaa kobazi tuwape na TRA
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4, 5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Taifa kwanza, mengine baadae
 
Back
Top Bottom