Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Hivi unajua kikokotoo (calculator) cha TRA kwenye gari ni tofauti na inayotumika hata hapo Zanzibar tu? Achilia mbali nchi jirani sitaki kuzitaja. Ndiyo maana magari katk nchi nyingi zinazotuzunguka yako cheap!
Kwahio DP World wanachukua Bandari au TRA ?
Turudi kwenye hoja. DP World wakiweka mitambao yao meli zikawa zinakuja halafu ndani ya nusu saa maroboti yashamaliza kupakuwa meli zote na ushuru wote ushachukuliwa unadhani kwa mwezi watakusanya tozo na ushuru/tozo za bandari kiasi gani ??( Siyo chini ya trilioni 6).

Sasa kwa makusanyo hayo Kuna haja ya kuendelea na calculator ya TRA ya Sasa ya Kodi za magari??
Unadhani shida zetu kwa hii nchi ni ukosefu wa ukusanyaji wa Kodi, Ukosefu wa vyanzo, Mwananchi kutokukamuliwa au mirija na walaji wengi ?

Misaada tunapewa mingapi kila siku ? Mabwenyewe / watawala wanazimaliza bila kufanya kile kinachotakiwa kufanyika....

Ni sawa sawa pipa linavuja, badala ya kuziba hilo pipa ili unachokiweka kisimwagike unadhani kuendelea kujaza kutapunguza uvujaji (kumbe ule uzito unaongeza ukubwa wa tundu hence kuvuja)
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Naona unatupaka wese kwa mgongo wa chupa 🤣🤣🤣!!! Nyie tupangeni tu.
 
TRA siyo msahafu useme sheria na viwango vya Kodi haviwezi kubadilika endapo DP. World watakuwa wanatupatia trilioni 6 kwa mwezi toka kwenye tozo na ushuru wa bandari
Kwahio TRA wanangojea DP World ili wabadilshe mambo ?

Hivi mpaka sasa budget inajitosheleza au tunahitaji bado misaada ? Kwahio unadhani Hizo pesa utapunguziwa wewe ambaye unaweza kutoa ili tuendelee kukopa ?

Hivi hapa tupo serious tunaongelea issues au umeamua kuja na riwaya za Alinacha
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Kodi ni TRA sio DP World

DP world hana uwezo wala ubavu wa kushusha kodi

Umeonyesha ujinga ulio nao kwa hii hoja yako .Unao wa kukutosha Hujui hata kazi ya TRA ni nini
 
Assessment zote zinafanyika kupitia mifumo ya TRA kama ni hapo bandari ya Dar wanafanyia kupitia TESWS.

Bandari kuna port charges, kulipia cleaning and forwarding agency fees ,inspection fees hizi zote zinafanyika na mamlaka tofauti mfano inspection ni Tbs, .

Kodi za imposition, railway development kadhaa zinalipiwa kwa mfumo wa TRA.

Nataka kuonyesha hao DP World hawana impact yeyote katika kuzuia kodi za magari ni mamlama mawili tofauti tambua hilo...TBs Wanachukua chao, TRA chao ,waondosha shereha chao ,Icds chao na TPA Chao
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Ndio upuuzi wenu mmeleta huku
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Acha kutuona. MAZUZU

Kitu kinachofanya magari kupanda bei ni

🇹🇿 Import duty

🇹🇿 V.A.T

🇹🇿 EXCISE DUTY

🇹🇿CUSTOM PROCESSING FEE

Hizo ni kwa mujibu wa sheria ya Kodi na zitaendelea kuwepo. Hao DP wao watapakua haraka tuu baadaye upambane na. T.R.A

Kitakachofanya MWANANCHI wa kawaida aifurahie bandari yake sii kampuni ya kupakua mizigo Bali ni maamuzi MAGUMU ya KUBADILISHA sheria na kuzifanya bandari zetu kuwa FREE PORT HARBOUR. Si ni Mali yetu? Inawezekana kwani Kuna mtu anatupangia?
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.

Ogopa matapeli bandari haiuzwi.
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.

Kamwe gari haliwezi kushuka bei na kuwa sawa na bajaji.
 
Kodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka

Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari

Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini
TRA ndio wapuuzi wa haya mambo na kujifanya kuweka vikwazo chungu nzima ili wahongwe. Ni wauwaji wa uchumi wa Taifa na wala sio wakusanya Kodiak!
Kama kweli tunataka kukuza hili TRA waondokane na mfumo wa wala Rushwa hasa huko ofisini.
Rais fanya wajibu wako Kuna mengi huku chini yako.
TISS mko wapi!
 
Nataka kuonyesha hao DP World hawana impact yeyote katika kuzuia kodi za magari ni mamlama mawili tofauti tambua hilo...TBs Wanachukua chao, TRA chao ,waondosha shereha chao ,Icds chao na TPA Chao
Ukubwa na wingi wa Kodi utapunguzwa ili mtanzania aishi kama peponi baada ya DP World kuanza kukusanyateilioni 6 kwa mwezi kupitia tozo na ushuru wa bandari
 
Back
Top Bottom