Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Hizo ni kwa mujibu wa sheria ya Kodi na zitaendelea kuwepo. Hao DP wao watapakua haraka tuu baadaye upambane na. T.R.A
Sheria za Kodi siyo msahafu. DP wakiweza kukusanya tozo na ushuru wa bandari unaofikia 6 trilioni kwa mwezi hizo sheria zitabadilishwa ama kufutwa ili Kodi ishuke kabisa
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.

Hata huelewi mfumo wa kodi wa serikali ukoje..

TRA ndio wanaamua na kupanga kodi, sio Bandari (TPA), hivyo sahau ndoto za kodi kushuka sijui ya VAT, import tax, custom duty tax, excise duty tax, tax due to age, registration tax hizi zote lazima upigwe tu, Bandari pale kuna TRA ndio mpangaji wa kodi hizo za bandari, sio TPA au DP World wakija na makadirio ya budget ya 2023/2024 imepigia mahesabu kodi zitakazo kusanywa za magari na kupangia matumizi ya 2023/2024 kwa kutumia hizo kodi ghali zaidi za kuingiza magari nchini.

So hizo ni story za kijiweni tu.
 
Kodi ya magari ni TRA sio Port. TRA Wakishusha bei itapendeza sana. Tanzania watu wanaendesha machuma chuma ya ajabu sana sababu ya gharama za magari.

Unakutana na Rav 4 ya 1994 huko imeshatumika hapa enzi na enzi vyuma vimesuguana mpaka kutu imesusa kushika, inauzwa M7.5 na dalali anataka laki mbili na bado mtu anainunua anapandisha mke na watoto humo kwenye hilo sufuria sababu hana mbadala.

Ushuru ukiwa chini mikokoteni ya zamani itauzwa bei che sana. Vyuma chakavu ndo watainunua kwa wingi.
😀eti sufuria dah.
 
Ukubwa na wingi wa Kodi utapunguzwa ili mtanzania aishi kama peponi baada ya DP World kuanza kukusanyateilioni 6 kwa mwezi kupitia tozo na ushuru wa bandari
Je mwaka 1996 ulikuwa na miaka mingapi?; Ulikuwa kijiji gani?
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Hilo lilisibiri hadi mwarabu aje au
 
Hilo lilisibiri hadi mwarabu aje au
Ndiyo. Mwarabu anakuja kuongeza makusanyo ya bandari kupitia tozo naushiru wa bandari mpk kufikia trilioni 6 kwa mwezi.

Hii itapelekea serikali kurekebisha sheria za Kodi na kupunguza viwango vya Kodi na kuwafanya watanzania kuishi.kama peponi.

Mwarabu kachelewa huyu angekuja Jana.
 
Ndiyo. Mwarabu anakuja kuongeza makusanyo ya bandari kupitia tozo naushiru wa bandari mpk kufikia trilioni 6 kwa mwezi.

Hii itapelekea serikali kurekebisha sheria za Kodi na kupunguza viwango vya Kodi na kuwafanya watanzania kuishi.kama peponi.

Mwarabu kachelewa huyu angekuja Jana.
Unavyoremba utafikiri.matumizi ya serikali yatapungua.

Matumixi ya serikali huongezeka kila.mwaka.hayapungui sababu ya idadi ya watu kuongezeka hivyo.gharama za huduma za kijamii na kiutawala kuongezeka sio rahisi kihivyo
 
Kodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka

Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari

Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini
Kwasababu bandari inaenda kuongeza mapato, basi TRA wataadjust hiyo Kodi ya magari. Labda!
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Hizi ndo habari njema ambazo CHADEMA wasingenda kuzisikia.
 
Kodi ya magari ni TRA sio Port. TRA Wakishusha bei itapendeza sana. Tanzania watu wanaendesha machuma chuma ya ajabu sana sababu ya gharama za magari.

Unakutana na Rav 4 ya 1994 huko imeshatumika hapa enzi na enzi vyuma vimesuguana mpaka kutu imesusa kushika, inauzwa M7.5 na dalali anataka laki mbili na bado mtu anainunua anapandisha mke na watoto humo kwenye hilo sufuria sababu hana mbadala.

Ushuru ukiwa chini mikokoteni ya zamani itauzwa bei che sana. Vyuma chakavu ndo watainunua kwa wingi.
🤣🤣🤣🤣 mtatuumiza mbavu, bro umefanya watu wanione nimerukwa na akili
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
kumbe mwarabu anapewa hadi TRA?
 
yaani gari hata litoke uganda ukilisajili hapa utadaiwa hio kodi huna ujanja huo kwa hio dp hataweza kucut off hizo kodi hizo kodi niza bunge na tra ndio wanaweza ku cut off..na wasiwasi na bidhaa nyingi kudi ni kubwa kuliko thamani ya manunuzi maana kama wameweza kwenye magari vip bajaji baiskel au pikipiki..unaweza kuta kil mtu anauwezo wa kumiliki bajaji ila kodi tu ndio mzozo
 
Kodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka

Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari

Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini
Tanzania magari ni ghali utafikiri tunajaribu kulinda viwanda vya ndani!
 
Back
Top Bottom