Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Kwa mara ya kwanza nimefanikiwa kufahamu kuwa Sexless ni mtupu yani empty set kichwani kabisa.

Hii ni hadaa, na ukangaufu wa akili.

Unaowachota akili hawajui hata Kodi ni nini!

Tanzania imejaa wajinga wengi sana.
 
Kodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka

Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari

Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini
Case closed kwa hii comment
 
Kwamba yeye ndio kapewa kuendesha TRA? Kweli hii nchi imejaa wendawazimu. Na yakishuka hivyo hizo barabara zipo wapi?

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Tofauti ya kati ya makubaliano na mkataba
Makubaliano ni uchumba; Mkataba ni ndoa
Makubaliano yanaweza kuwa na muda au yasiwe na muda, mkataba lazima uwe na muda. Muda wa mkataba wa ndoa ya kidini ni hadi kifo cha mmojawapo; huku baadhi ya mikataba mingine ya ndoa zisizo za kidini ina muda wake wa makubaliano
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Wajinga ndio waliwao, mnafikiri DP World itakufanya usilipe kodi
 
Wajinga ndio waliwao, mnafikiri DP World itakufanya usilipe kodi
DP world watakuwa wanatazamiwa kufikia uwezo wa kukusanya trilioni 6 kwa mwezi.

Makusanyo haya yakifikiwa viwango vya Kodi vitapunguzwa bei za magari zitapungua na watanzania wataishi kama peponi
 
DP world watakuwa wanatazamiwa kufikia uwezo wa kukusanya trilioni 6 kwa mwezi.

Makusanyo haya yakifikiwa viwango vya Kodi vitapunguzwa bei za magari zitapungua na watanzania wataishi kama peponi
Ndio maana nasema wajinga ndio waliwao, ulipiwe kodi na mwarabu mjomba wako huyo?
 
DP world watakuwa wanatazamiwa kufikia uwezo wa kukusanya trilioni 6 kwa mwezi.

Makusanyo haya yakifikiwa viwango vya Kodi vitapunguzwa bei za magari zitapungua na watanzania wataishi kama peponi
Unaota? Hao dp world mapato kwa mwaka bandari ni $17.1billion ambayo ni sawa na trillion 40
Tanzania kwa mwezi aingize trillion 6? Ambayo kwa mwaka ni trillion 72?

Wabongo nyoko sana
 
Ndio maana nasema wajinga ndio waliwao, ulipiwe kodi na mwarabu mjomba wako huyo?
Bandarini ushuru wa forodha tu unafika trilioni 6. Sasa Kodi ya nn tena? Sijui unaelewa,?

Ngoja mwarabu aje tuviondoe hivyo vikampuni uchwara vyenu vinavyotuibia hapo bandarini uone mambo yatakavyokuwa mazuri.
 
Kodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka

Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari

Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini
Aloo tuwape na TRA sasa..
 
Mara nyingine unajiuliza kama mtu anayeongea huwa anawaza nini na kama ni kweli anachowaza ndicho anachosema au anaamua kuchangamsha baraza au kupotosha...

Unaagiza gari unalipia Cost including freight (hio ni constant wala haitabadilika kutokana na ujio wa mtu yoyote)

Unalipia Kodi (ambayo inatozwa na TRA) hii haihusiani na makato mengine yoyote ya Bandari..., Sasa swali linakuja ushuru wa bandari wa sasa ndio unaleta difference ya ushuru baina ya gari na bajaji (yaani haina uhusiano na makato ya TRA ambayo yanaangalia bei ya kununua, ukubwa wa engine na dumping fees) ?

Ndicho hicho unachowaza kichwani mwako au umeamua ku-insult our intelligence ?!!!
 
Iv ujasikia magari mazee yote yanapandishwa kodi iv unaongea nn aisee

Iv ujui aslimia 90% ya magari tunayoagiza bongo yanazidi miaka 7 na kendelea na kodi wamekwambia inaongezeka kwa 15 %
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
wallah lau kama ingekuwa hakuna issue ya ban i swear ningekutukana bonge la tusi acha tu niishia hapa,maana nmeishia tu kukusonya
 
Unalipia Kodi (ambayo inatozwa na TRA) hii haihusiani na makato mengine yoyote ya Bandari..., Sasa swali linakuja ushuru wa bandari wa sasa ndio unaleta difference ya ushuru baina ya gari na bajaji (yaani haina uhusiano na makato ya TRA ambayo yanaangalia bei ya kununua, ukubwa wa engine na dumping fees) ?
Hivi unajua kikokotoo (calculator) cha TRA kwenye gari ni tofauti na inayotumika hata hapo Zanzibar tu? Achilia mbali nchi jirani sitaki kuzitaja. Ndiyo maana magari katk nchi nyingi zinazotuzunguka yako cheap!

Turudi kwenye hoja. DP World wakiweka mitambao yao meli zikawa zinakuja halafu ndani ya nusu saa maroboti yashamaliza kupakuwa meli zote na ushuru wote ushachukuliwa unadhani kwa mwezi watakusanya tozo na ushuru/tozo za bandari kiasi gani ??( Siyo chini ya trilioni 6).

Sasa kwa makusanyo hayo Kuna haja ya kuendelea na calculator ya TRA ya Sasa ya Kodi za magari??
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Kwani DP WORLD kapewa na TRA duuh
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Muongo mkubwa
 
Kwani DP WORLD kapewa na TRA duuh
TRA siyo msahafu useme sheria na viwango vya Kodi haviwezi kubadilika endapo DP. World watakuwa wanatupatia trilioni 6 kwa mwezi toka kwenye tozo na ushuru wa bandari
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini a.k.a minyama wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Kwamba calculator ya TRA itabadilika accordingly!!
 
Back
Top Bottom