Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Ujio wa DP world: Magari sasa kushuka bei na kuwa sawa na bajaji

Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.

Punguza ukunguni sio mzuri
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Hii inchi ila watu wenye akili kisoda wengi sana...the fact kua hujui gharama za bandari zipoje inaonesha kua hujawahi agiza gari. Ungekua unajua usingeandika hizi pumba.
 
Kodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka

Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari

Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini
Duh!,kweli JF ni free platform
 
Nililipia 6M huko nje, bandarini nikalitoa kwa 20M
Ya mwaka gani? Maana nijuacho, bei ya gari mtandaoni ikiwa huko iliko, hadi likufukie nyumba ni almost mara mbili. Kama gari inauzwa 2000USD (FOB), basi mpaka inakufikia nyumbani kwako ikiwa tayari imeshasajiliwa inabidi uwe na 4000USD. Sasa hayo ya 6M ikugharimu 20M nauona ni uongo ulikubuhu, ilimradi tu uonekane unachokisema ni kweli
 
TRA Haina uwezo wa kubuni mbinu rafiki za kukusanya Kodi Bora ibinafishwe wapewe wenye uwezo wa kubuni kodi rafiki isiyokwepeka ambayo mlipaji hawezi umia huku wakikusanya mapato mengi zaidi na Sio hii ya Kodi kubwa makusanyo kidogo
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Wazee wa chumvini ndio hao hao wazee wa minyama!??
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.

Nchi Mablood fvck3n ni wengi sana. kmmk unaonekana ni mweupe kabisa kichwani yaani huna unachokijua [emoji3][emoji3]
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Kama ni hivyo,nauanga mkono hoja ujio wao,na miye nimiliki ndinga
 
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.

LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.

Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.

Karibuni DP World, mje hata kesho.

Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Ooh kumbe bei ilipandishwa na Gati no5 na 7?
 
Kodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka

Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari

Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini
Sahihi
 
Back
Top Bottom