NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #41
NGOJA TUONE USAJILI WAO.Upo sahihi mkuu lakini team nzima wamezeeka gafla? Maana hakuna mchezaji anayecheza vizuri hata mmoja zaidi ya kibu d, sasa ndo kusema huu uzee wameupata miezi hii m3?
Hapo simba ipo shida kubwa zaidi y hii ya wachezaji na kwasababu hawataki kusema siku moja viongozi watasema...... ila siamini hawa wachezaji wameshindwa kucheza vizuri”
Kwani dirisha dogo si linafunguliwa tarehe 1? Ngoja tuone watamsajili nani
Angekuwa hanufaiki angeshaserereka,,, GSM na MO wanachonufaika na hizi timu zetu ni kuzigeuza kuwa MABANGO ya BIASHARA zao...KWA HIYO UNATAKA KUSEMA KUWA KANJIBAHI HANUFAIKI NA CHOCHOTE PALE SIMBA.
ILA KANJIBAHI KAZIDI [emoji16]Angekuwa hanufaiki angeshaserereka,,, GSM na MO wanachonufaika na hizi timu zetu ni kuzigeuza kuwa MABANGO ya BIASHARA zao...
Kama wewe ulikuwa huelewi kuwa football ni biashara kubwa duniani na wenzako wameweza kuitumia fursa uliyoshindwa wewe kwa ujinga wako.Angekuwa hanufaiki angeshaserereka,,, GSM na MO wanachonufaika na hizi timu zetu ni kuzigeuza kuwa MABANGO ya BIASHARA zao...
Hata Tinhio boy walisema hivyo hivyo mwisho wake amefukuzwa kwa aibu baada ya kichapo cha mbwa koko cha ✋!Ameletwa kiboko ya Yanga
Mkuu alikuja kama wanavyo kujaga waangalizi wa uchagu mkuu wa Raisi na wabunge.Sa kumleta kuja kufanya Nini?Kupiga kura au kusimamia uchaguzi?Na ujio wake ulileta mafanikio gani Kwa Simba?
[emoji16]Hata Tinhio boy walisema hivyo hivyo mwisho wake amefukuzwa kwa aibu baada ya kichapo cha mbwa koko cha [emoji113]!
REJEA NILICHOANDIKA KWA UFASAHA.Kwa hiyo mlitaka wasiwe na kocha mpya?
TIMU IMEKUA NGUMU KWA BENCHIKAKocha mkubwa timu ya ovyo ya wazee na waswahili.
UMEMUONA KIBOKO WA YANGA.Ameletwa kiboko ya Yanga
ULISEMA UKWELI MKUU.Kwa mifumo ya huyu kocha , hatakagi viungo goigoi kama Chama, ni kocha anahitaji mwendo haswa na manpower kama kina kibul de.
Naona Bado tatzo liko palepale.
Yetu macho
KWELI MKUU ULIONGEA SAHIHI SAIVI TUNAYAONAUONGOZI wa Simba unachapia nyufa badala ya KUJENGA ukuta, na hakika safari hii NYUMBA yenyewe imegoma na mafuriko ni mazito kiasi kwamba wakiendelea kukaza SHINGO basi tujiandae na mfuatano wa majanga...
Kufanikiwa kunahitaji kijikana kwakweli, hili linalotokea leo lilikuwa lazima lifike kwasababu klabu zetu zipo kwa ajili ya leo... Simba iko na uwanja Bunju miaka 10 inaenda lakini mpaka muda hakuna hata mtoto mmoja anayetokea pembeni ya uwanja hata wa kujua kudaka na tunaoyeshana Ndoto za mafanikio Afrika...
Haya kutengeneza cha kwetu tumeshindwa, sasa huko kununua nako tunabebana na sagula sagula za mwisho maana hata mtumba nao una grade zake, halafu tukishakusanyana na hayo magalasa tunayapamba kwenye magazeti ili kuhalalisha udhalimu wetu, halafu bila aibu TAJIRI tunamdanganya kuwa tumetumia Bilioni 3 kusajili [emoji1787][emoji1787][emoji1787], lakini ukichukua kalkuleta na peni Kila ukipiga hesabu huziona hizo Bil 3 zimeishia kwa nani?? [emoji23][emoji23][emoji23] Hapo MHINDI tushampiga kwa kumuuzia JUMBA LA UDONGO LILOCHAPWA PLASTA ambalo soon litavimba tu...
Na Sasa ndo limeanza kuvimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana wakati tunamwongezea MHINDI sifuri kwenye hesabu tunasahau kuwa mwisho wa siku yooote yanaishia uwanjani,,,, hapo ndo tunabaki na mazoea kuwa kwa "MKAPA HATOKI MTU" [emoji23][emoji23][emoji23].... huku chini ya VITI tunacheka tu [emoji23][emoji23][emoji23] tunasubiria dirisha dogo....
BAKINI NA TIMU YENUWe jamaa.unaipenda Sana Simba inabidi tukutafutie Kadi ya uwanachama.
KWELI MKUUKiungwana kabisaa na kimichezo kuna Viongozi(wale walio mleta Manzoki wakati wa uchaguzi) wangetakiwa hadi muda huu wawe wamekabidhi ofisi kwa faida ya Simba.
Lakini ajabu bado wanashupaza shingo.
Kwanini nasema viongozi kwasababu ndiyo wahusika katika usajili kwa wachezaji na makocha
HONGERA PIA KWA MATOKEO YA KULE MORO DHIDI YA PRISONSOngelea pia kuhusu matokeo yenu kule Algeria.
DIRISHA DOGO UMEONA WALICHOSAJILINi kweli ila kuelekea dirisha dogo faida mara 9999999999999999999999999999999999%
NGUVU MPYA IPO WAPIDaima asokupenda hukatisha tamaa ili uanguke, twaja nguvu mpya twaengua watu kileleni na maisha yaendelee mtikisiko huu wana yanga mmeupitia miaka minne ila miaka miwili mshavimba mpaka putulu latanuka[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] niko na sindano nawaza toboa[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji3578]
UNAFIKIRI NGAO YA JAMII INAINGIZA SHINGAPI KWENYE TIMUNgao ya jamii siyo kombe acha kujichangqnya wewe