Ujio wa kocha mpya Simba SC hauna tofauti na kupika mchele wenye chuya

NGOJA TUONE USAJILI WAO.
 
Angekuwa hanufaiki angeshaserereka,,, GSM na MO wanachonufaika na hizi timu zetu ni kuzigeuza kuwa MABANGO ya BIASHARA zao...
Kama wewe ulikuwa huelewi kuwa football ni biashara kubwa duniani na wenzako wameweza kuitumia fursa uliyoshindwa wewe kwa ujinga wako.

Unalalamika nini?
 
KWELI MKUU ULIONGEA SAHIHI SAIVI TUNAYAONA
 
KWELI MKUU
 
NGUVU MPYA IPO WAPI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…