Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

Hapana! Kwanza haupo scientific kwa sababu hujaweka factsbox, hapa ni zile fiksi fiksi tu za mitaani. Pili, tumia maneno ya staha tu. Huyu uliyemzungumzia alikuwa Rais wetu kwa miaka kumi. Siye wengine tunamheshimu sana. Tatu, ukijenga hoja utaeleweka tu bila matusi. Nne, narudia, tuendelee kuamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinao uwezo mkubwa sana wa kuilinda nchi to the maximum. Ndiyo maana tuko taifa imara.🙏🙏🙏
 
Nakuunga mkono bro. Kuliko kupewa maelekezo na kuingiliwa namna yetu ya ulinzi hadi kutoa siri ambazo hatuwezi kiusalama kutoa kwa nchi nyingine ni bora asije huyo kamala. Tusichukulie tu eti marekani nchi kubwa hakuna hawalijui kuhusu usalama wetu.
 
Hata wewe ukifika mahali kulala kama mlango haufungi vizuri unaweza kuburuza kitanda kikazuiye mlango kiasi kwamba atakaye taka kuingia atazuiwa na kitanda na hatimae utastuka

Wacha walinde viongozi wao
 
Naona umefufuka, ulipotelea wapi? vipi Magufuli hajambo? Muuaji mkubwa asante Mungu kwa kuamua ugomvi! by Nape
 
Kama tulikubali watoto wetu wa kike wasome wakiwa na watoto basi na hili la kaka zao kuoana sidhani kama litapingwa.
Kusoma ni kupata maarifa ili uweze kukabiliana na mazingira inayokuzungukq hivyo ata bibi yako anaruhusiwa kurudi darasani ili aweze kuongeza maarifa.
Shida yenu mnadhani kila anaesoma anahitaji ajira.
 
Kwa hiyo ndio aachiwe kujua kila kilichopo kiwepesi tu? Akijua ajue kwa jitihada na teknolojia yake lakini si kumfungulia mlango aingie chumbani kwa mwenyeji hivyo hivyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…