Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

Si bora waingilie hiyo mifumo kuliko huyo mama kuja na sera za upinde wa mvua mana nao Lemma anaongea kwa kujiamini sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo anakuja kuwaambia waweke legal [emoji304][emoji304][emoji304].
 
Acha kuongea vituko..[emoji1787][emoji1787][emoji38] budget tu ya mishahara na ulinzi tunakopa kwao elimu ya ulinzi wanatupa wao kama msaada.

even vifaa vya ulinzi walivyotengeneza wao hatuwezi kununua maana hatuwezi kumudu gharama.

Kwa taarifa USA anataarifa zote za viongozi wa hii nchi...
Hiyo ni super power.
Mwambie ukweli huyu pimbi! Haelewi chochote! Unampangia unaempelekea bakuli la mkopo?
 
Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.

Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurejea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.

Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.

Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.

Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.

Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mifumo itaingiliwa bila kizuizi chochote na watapanda juu ya paa la ikulu na magorofa yote yanayozunguka ikulu wakiwa na mitutu. Rais atafanya kazi kama mateka ndani ya ikulu ya nchi mwenyeji. Awamu ya urais wa sasa ni sawa na awamu ya nne ambapo Bush na Obama kuanzia hoteli ya Serena hadi Ikulu ya Tanzania mashushushu wa Marekani ndio waliongoza usalama wa kila kitu.

Marekani ni dola la kuteka akili za watu wenye hofu ya kutengwa kimataifa.
 
Mifumo itaingiliwa bila kizuizi chochote na watapanda juu ya paa la ikulu na magorofa yote yanayozunguka ikulu wakiwa na mitutu. Rais atafanya kazi kama mateka ndani ya ikulu ya nchi mwenyeji. Awamu ya urais wa sasa ni sawa na awamu ya nne ambapo Bush na Obama kuanzia hoteli ya Serena hadi Ikulu ya Tanzania mashushushu wa Marekani ndio waliongoza usalama wa kila kitu.

Marekani ni dola la kuteka akili za watu wenye hofu ya kutengwa kimataifa.
Suala la ulinzi na usalama wa nchi yetu ni jukumu letu lakini pia kama nchi sisi siyo kisiwa tunao washirika wetu tunaosaidiana katika hilo.

Ujio wa Makamo wa Rais wa Marekani suala la ulinzi na usalama wake lipo mikononi mwa Serikali ya Tanzania lakini pia wakishirikiana na nchi mgeni siku hiyo,kila mahali patapohitajika ulinzi kwa ajili ya ugeni huo basi naamini Askari wetu shupavu kwa kushirikiana na wa Marekani watafanyakazi bega kwa bega na hii ni kama ilivyokuwa hata alipokuja Obama na Bush.

Haipo nchi yoyote ile Duniani itaacha Kiongozi wake anapokuwa ziarani nje ya nchi kumlinda,hata aje Rais wa Somalia hapa bado walinzi wake watamlinda kwa kuwa itifaki inaruhusu hilo pia.
 
Na Airport pale akapokelewe na Makamu wa Rais au mkuu wa mkoa. Rais akienda kumpokea Makamu wa Rais itakuwa fedheha sana kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya uchumi wa kati.
Huu ni Uchochezi.
By the way Wazungu haya mambo yakupokelewa with high profile sio ishu kwao.

Japo Hawezi kuacha kwenda kumpokea.

Hadi Sasa Hotel kubwa kubwa hapa Dar zimejaa wanajeshi wa kimarekani.
 
Huu ni Uchochezi.
By the way Wazungu haya mambo yakupokelewa with high profile sio ishu kwao.

Japo Hawezi kuacha kwenda kumpokea.

Hadi Sasa Hotel kubwa kubwa hapa Dar zimejaa wanajeshi wa kimarekani.
Kwenye maziko ya Malkia Elizabeth Marais wetu walipakiwa kwenye coaster....
 
hiyo ni given kama pie...hoja yangu ni sisi kujiondoa katika hilo janga...kijana simama imara na simama kama mzalendo.
Uzalendo upi wakati bado tupo duni technological wise, kujiita mzalendo kwenye hakuna sio sawa.

Wamarekani wameahidi Mmarekani atalindwa sehemu yoyote ile atakapo kuwa sasa ndo iwe kwa numbe 2 wa Taifa lao?!
 
Kwenye maziko ya Malkia Elizabeth Marais wetu walipakiwa kwenye coaster....
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] samia akawa anachungulia dirishanii kama yatima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haipo nchi yoyote ile Duniani itaacha Kiongozi wake anapokuwa ziarani nje ya nchi kumlinda,hata aje Rais wa Somalia hapa bado walinzi wake watamlinda kwa kuwa itifaki inaruhusu hilo pia.

Kumbuka samia alivyoenda kwenye mazishi ya ELIZABETH aliwekwa kwenye COSTA.
 
Mifumo itaingiliwa bila kizuizi chochote na watapanda juu ya paa la ikulu na magorofa yote yanayozunguka ikulu wakiwa na mitutu. Rais atafanya kazi kama mateka ndani ya ikulu ya nchi mwenyeji. Awamu ya urais wa sasa ni sawa na awamu ya nne ambapo Bush na Obama kuanzia hoteli ya Serena hadi Ikulu ya Tanzania mashushushu wa Marekani ndio waliongoza usalama wa kila kitu.

Marekani ni dola la kuteka akili za watu wenye hofu ya kutengwa kimataifa.
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Kumbuka samia alivyoenda kwenye mazishi ya ELIZABETH aliwekwa kwenye COSTA.
Wala halikuwa tishio,tukio kubwa kama lile na karibu Viongozi wote wakubwa walihudhuria ulitaka kila mmoja awe na msafara wake? Isingewezekana ndiyo maana wakatumia basi lenye hadhi ya kumbeba Kiongozi mwenye hadhi ya Rais.
 
Wala halikuwa tishio,tukio kubwa kama lile na karibu Viongozi wote wakubwa walihudhuria ulitaka kila mmoja awe na msafara wake? Isingewezekana ndiyo maana wakatumia basi lenye hadhi ya kumbeba Kiongozi mwenye hadhi ya Rais.
Sawa, lakini samia aliwekwa kwenye COSTA.
 
Suala la ulinzi na usalama wa nchi yetu ni jukumu letu lakini pia kama nchi sisi siyo kisiwa tunao washirika wetu tunaosaidiana katika hilo.

Ujio wa Makamo wa Rais wa Marekani suala la ulinzi na usalama wake lipo mikononi mwa Serikali ya Tanzania lakini pia wakishirikiana na nchi mgeni siku hiyo,kila mahali patapohitajika ulinzi kwa ajili ya ugeni huo basi naamini Askari wetu shupavu kwa kushirikiana na wa Marekani watafanyakazi bega kwa bega na hii ni kama ilivyokuwa hata alipokuja Obama na Bush.

Haipo nchi yoyote ile Duniani itaacha Kiongozi wake anapokuwa ziarani nje ya nchi kumlinda,hata aje Rais wa Somalia hapa bado walinzi wake watamlinda kwa kuwa itifaki inaruhusu hilo pia.
Rais wenu anapokwenda nje ya nchi walinzi wa kwenu wanauwezo wa kuwaondoa walinzi wa Kimarekani kwenye ikulu yao kama inavyofanyika hapo Tanzania?

Juzi tu hapo ikulu ya magogoni walinzi wa Marekani walitawala kujipenyeza kila uchochoro wa ikulu yenu hapo ni nani alikuwa mlinzi sasa?
 
Back
Top Bottom