Ujio wa Makamu wa Rais wa Warekani sio bahati mbaya

Ujio wa Makamu wa Rais wa Warekani sio bahati mbaya

Kama agenda ni haki za binadamu mjue mnaenda kusainishwa mikataba ya masharti ya upinde tu
Agenda ni haki za binadamu maana ukanda huu wamekua wakipitia changamoto ya kupigwa Vita agenda yao ya upinde, kwa hio lazima waje kuweka mambo sawa, Ila maisha haya yaan kuna jamaa alikua shoga akapata Bwana wa Kiarabu akakaa nae km mke na mume baadae wakaachana akapata bwana mwingine, waislamu wakamdaka wakamwambia adhabu ya ushoga ni kifo kwa hio amua moja upo tayari kufa au tukusilimishe na uahidi kua hutorudia tena huu ufirauni, jamaa akawaza akasema haina shida nisilimisheni kuanzia leo mimi sifanyi tena huu mchezo mchafu, jamaa kasirimu sasa hivi kawa ostadhi mda wote na kanzu na baragashia huku anasoma Tasbii

Takbiir
 
Sasahivi marekani atafanya ziara sanaaa ili kupata kuaminika ktk nyanja za kimataifa maana hali siyo nzuri.

Usupa pawa wake upo unaangalia kibra maana umoja unaoanzishwa na China na Russia kwake ni kama maraika mtoa roho. YAJAYO YANAFURAHISHA
 
Hta kama wanapromote ni huko kwao lakini huku kwetu hayo mambo hatuna na Rais wetu hawezi kuruhusu huo upuuzi sisi tunachoangalia ni jinsi Tanzania itakavyonufaika na kibiashara na uwekezaji baada ya ziara hii

Rais Samia Suluhu ni akili kubwa
Mtafute Mwakyembe akwambie kinachoendele kwa wanaupinde au mtafute you tube
 
..kwasababu Tz inaongozwa na mwanamke.

..Kamala Harris naye ni mwanamke.

..ndio maana ktk ziara yake lazima atembelee nchi ya Afrika inayoongozwa na mwanamke ili kunogesha na kuhalalisha ziara hiyo kwa vyombo vya habari vya Marekani.
Kwani tukikubali Mhe. Rais Samia anakipeleka vizuri kijiti cha diplomasia kutoka kwa watangulizi shida nini? Kwa hiyo Nana Akufo na Rais wa Zambia ni wa jinsi gani? Jivunie nchi yako.🙏🙏🙏
 
..kwasababu Tz inaongozwa na mwanamke.

..Kamala Harris naye ni mwanamke.

..ndio maana ktk ziara yake lazima atembelee nchi ya Afrika inayoongozwa na mwanamke ili kunogesha na kuhalalisha ziara hiyo kwa vyombo vya habari vya Marekani.
This is a very cheap way of thinking and reasoning. Poor You😥
 
Mataifa YOTE duniani yapo kimaslahi
Marekani sio taifa la kuamini,wapo kimasilahi zaidi,kuja Kwa Kamala ni vizuri Kwa taifa ila tutegemee kuendelea kunyonywa mahala fulani
 
Agenda ni haki za binadamu maana ukanda huu wamekua wakipitia changamoto ya kupigwa Vita agenda yao ya upinde, kwa hio lazima waje kuweka mambo sawa, Ila maisha haya yaan kuna jamaa alikua shoga akapata Bwana wa Kiarabu akakaa nae km mke na mume baadae wakaachana akapata bwana mwingine, waislamu wakamdaka wakamwambia adhabu ya ushoga ni kifo kwa hio amua moja upo tayari kufa au tukusilimishe na uahidi kua hutorudia tena huu ufirauni, jamaa akawaza akasema haina shida nisilimisheni kuanzia leo mimi sifanyi tena huu mchezo mchafu, jamaa kasirimu sasa hivi kawa ostadhi mda wote na kanzu na baragashia huku anasoma Tasbii

Takbiir

Akili za waisharam bhana,
 
Kinachotakiwa hapa ni kuingia barabarani na mabango ya NO NO LGBTQ ili ayaone Kwa amani na utulivy tu kwani uko shida gani.
Tunavyoendelea kuongelea suala la ushoga ndivyo tunavyolipa promo
 
Kwani tukikubali Mhe. Rais Samia anakipeleka vizuri kijiti cha diplomasia kutoka kwa watangulizi shida nini? Kwa hiyo Nana Akufo na Rais wa Zambia ni wa jinsi gani? Jivunie nchi yako.🙏🙏🙏

..Ssh ndiye Raisi mwanamke pekee Afrika.
 
Hta kama wanapromote ni huko kwao lakini huku kwetu hayo mambo hatuna na Rais wetu hawezi kuruhusu huo upuuzi sisi tunachoangalia ni jinsi Tanzania itakavyonufaika na kibiashara na uwekezaji baada ya ziara hii

Rais Samia Suluhu ni akili kubwa
Unajidanganyaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Agenda ni haki za binadamu maana ukanda huu wamekua wakipitia changamoto ya kupigwa Vita agenda yao ya upinde, kwa hio lazima waje kuweka mambo sawa, Ila maisha haya yaan kuna jamaa alikua shoga akapata Bwana wa Kiarabu akakaa nae km mke na mume baadae wakaachana akapata bwana mwingine, waislamu wakamdaka wakamwambia adhabu ya ushoga ni kifo kwa hio amua moja upo tayari kufa au tukusilimishe na uahidi kua hutorudia tena huu ufirauni, jamaa akawaza akasema haina shida nisilimisheni kuanzia leo mimi sifanyi tena huu mchezo mchafu, jamaa kasirimu sasa hivi kawa ostadhi mda wote na kanzu na baragashia huku anasoma Tasbii

Takbiir
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kamala safari hii muambie wazi mama mwenzio kuwa kuna kundi la watu wake wanataka kuoanaa, wamechoka uchumba sugu afanye kuhalalishaaaaa.

Hallah [emoji2380][emoji2380][emoji2380]
 
Ujumbe wa Kamala Kwa Tanzania: ole wenu mshirikiane na urusi, mtajuta!
 
Mimi nachokiona watanzania tutanufaika zaidi na ziara hii maana lazima Marekani aongeze uwekezaji Tanzania na hii itasaidia kutuinua kiuchumi na kuzalisha ajira nyingi zaidi maana

hadi sasa watanzania Zaidi ya 50,000 wamepata ajira za moja kwa moja kupitia uwekezaji wa TZS trilioni 10.97 uwekezaji huo uliofanywa na marekani
Hivi unajua ujio wa obama umekutia umaskini kiasi gani?


Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya! Rais Samia Suluhu amerudisha sana heshima ya Tanzania kwenye diplomasia na sasa imerejea mahali pake, Serikali ya awamu ya tano ilififisha mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kuimarisha diplomasia iliyoanzishwa na watangulizi wake na sasa Tanzania tunaendelea kunufaika kupitia uhusiano huu.

Ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris nchini itaimarisha na kufungua zaidi fursa za biashara na uwekezaji.


FsPCPmVWcAMtPUk
Una akili timamu?
 
Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya! Rais Samia Suluhu amerudisha sana heshima ya Tanzania kwenye diplomasia na sasa imerejea mahali pake, Serikali ya awamu ya tano ilififisha mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kuimarisha diplomasia iliyoanzishwa na watangulizi wake na sasa Tanzania tunaendelea kunufaika kupitia uhusiano huu.

Ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris nchini itaimarisha na kufungua zaidi fursa za biashara na uwekezaji.


FsPCPmVWcAMtPUk
Ziara yake haina uhusiano wowote na tukio linalo tokea taifa Leo.. [emoji23][emoji23]

Sio njia moja wapo ya kuanza harakati za kubinafsisha Tanesco.. Yani ionekane imeshindwa kujisimamia?.
 
Back
Top Bottom