M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Chini ya Hayati Magufuli, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa. Mgawanyiko wa jinsi hii haujawahi kutokea kwenye awamu yoyote ya urais huko miaka ya nyuma - ulikuwa mgawanyiko uliosheheni kuhasimiana kiasi cha kufikia watu kutamani kutoana roho, kupotezana, kutekana, kubambikiana kesi za uonevu, nk.
Katika kipindi hicho hicho tumeshuhudia sheria nyingi kandamizi zikitungwa zikiwa zimelenga kuudhoofisha upinzani wa aina yoyote dhidi ya serekali ya JPM.
Nchi imejikuta katika mtanziko huu mkubwa kufuatia mtazamo wa JPM alipokuwa anaingia madarakani mwaka 2015 alipoweka azma yake bayana kuwa lazima vyama vya upinzani viwe vimeshakufa kabisa ifikapo mwaka 2020. Katika kuhakikisha azma hii chini ya utawala wake inafikiwa, tulishuhudia kati ya 2015 hadi 2020 jinsi ambavyo vyama vya upinzani vilivyokumbwa na sulba ya kiama. Hakuna haja ya kurudia yaliyojiri kwani wote humu tunayajua.
Dhamira hiyo ovu hata hivyo haikufanikiwa kwani vyama vya upinzani vikaimarika zaidi ilipofikia mwaka 2020 kuliko hata vilivyokuwa mwaka 2015. Hivyo chama tawala kikabakiwa na silaha moja pekee - kufanya uovu mkubwa wa karne dhidi ya demokrasia October 2020!
Sisi tunaoamini tunajua Mungu ni Mungu wa haki, huwapatiliza wale wote wawafanyiao udhalimu waja wake. Mungu ni fundi. Hutenda kwa majira yake.
Sasa amekuja mama Samia. Wengi tukimtegemea kuwa ni a new hope of fresh air. Watanzania wanamuangalia yeye kama tumaini jipya pekee la kuleta matengenezo katika nchi yetu.
Hata hivyo, kwa maoni yangu naona hajaanza vizuri. Niliyoyaona na kuyasikia so far si dalili za mwisho mzuri kabisa.
1. Kwenye speech yake ya leo pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, hajatambua uwepo wa vyama vya upinzani. Kama kuna mtu kasikia, nisahihisheni!
2. Sambamba na # 1 hapo juu, hakuna mwakilishi yoyote kutoka kambi ya upinzani aliyepewa nafasi ya kutoa salaam.
3. Kuna watu walikamatwa eti kwa kusema tu kuwa JPM ni mgonjwa. Mara tu baada ya kuapishwa, ilitarajiwa atoe decree ya kuachiliwa huru kwao mara moja lakini kimya hadi sasa.
4. Kuna watu wamekamatwa kwa vile eti hawaonyeshi kusikitika kifo cha JPM. Kama rais, alitarajiwa alikemee hili mara moja!
5. Kuna watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha kwenye stampede iliyotokea jana kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Rais ni mfariji wa taifa, kupitia speech yake ya leo Dodoma alipaswa atamke neno la faraja kwa familia zilizokumbwa na msiba kutokana na tukio hilo.
Zipo dalili nyingine kadhaa lakini nimeorodhesha hizo hapo juu kwa uchache.
Rai na ombi langu kwa rais wetu mpya (mama Samia). Mama tutoe kwenye mtanziko huu ili maendeleo ya nchi yetu yawe jumuishi na wananchi wote tuyafurahie.
JK yupo hapo, nakushauri usisite kuomba ushauri kutoka kwake - mathalani ni jinsi gani aliweza ku co-exist na wapinzani in harmony.
Wakatabahu
Mwalimu M-Mbabe
22 March 2021
SOMA PIA
2025
Katika kipindi hicho hicho tumeshuhudia sheria nyingi kandamizi zikitungwa zikiwa zimelenga kuudhoofisha upinzani wa aina yoyote dhidi ya serekali ya JPM.
Nchi imejikuta katika mtanziko huu mkubwa kufuatia mtazamo wa JPM alipokuwa anaingia madarakani mwaka 2015 alipoweka azma yake bayana kuwa lazima vyama vya upinzani viwe vimeshakufa kabisa ifikapo mwaka 2020. Katika kuhakikisha azma hii chini ya utawala wake inafikiwa, tulishuhudia kati ya 2015 hadi 2020 jinsi ambavyo vyama vya upinzani vilivyokumbwa na sulba ya kiama. Hakuna haja ya kurudia yaliyojiri kwani wote humu tunayajua.
Dhamira hiyo ovu hata hivyo haikufanikiwa kwani vyama vya upinzani vikaimarika zaidi ilipofikia mwaka 2020 kuliko hata vilivyokuwa mwaka 2015. Hivyo chama tawala kikabakiwa na silaha moja pekee - kufanya uovu mkubwa wa karne dhidi ya demokrasia October 2020!
Sisi tunaoamini tunajua Mungu ni Mungu wa haki, huwapatiliza wale wote wawafanyiao udhalimu waja wake. Mungu ni fundi. Hutenda kwa majira yake.
Sasa amekuja mama Samia. Wengi tukimtegemea kuwa ni a new hope of fresh air. Watanzania wanamuangalia yeye kama tumaini jipya pekee la kuleta matengenezo katika nchi yetu.
Hata hivyo, kwa maoni yangu naona hajaanza vizuri. Niliyoyaona na kuyasikia so far si dalili za mwisho mzuri kabisa.
1. Kwenye speech yake ya leo pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, hajatambua uwepo wa vyama vya upinzani. Kama kuna mtu kasikia, nisahihisheni!
2. Sambamba na # 1 hapo juu, hakuna mwakilishi yoyote kutoka kambi ya upinzani aliyepewa nafasi ya kutoa salaam.
3. Kuna watu walikamatwa eti kwa kusema tu kuwa JPM ni mgonjwa. Mara tu baada ya kuapishwa, ilitarajiwa atoe decree ya kuachiliwa huru kwao mara moja lakini kimya hadi sasa.
4. Kuna watu wamekamatwa kwa vile eti hawaonyeshi kusikitika kifo cha JPM. Kama rais, alitarajiwa alikemee hili mara moja!
5. Kuna watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha kwenye stampede iliyotokea jana kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Rais ni mfariji wa taifa, kupitia speech yake ya leo Dodoma alipaswa atamke neno la faraja kwa familia zilizokumbwa na msiba kutokana na tukio hilo.
Zipo dalili nyingine kadhaa lakini nimeorodhesha hizo hapo juu kwa uchache.
Rai na ombi langu kwa rais wetu mpya (mama Samia). Mama tutoe kwenye mtanziko huu ili maendeleo ya nchi yetu yawe jumuishi na wananchi wote tuyafurahie.
JK yupo hapo, nakushauri usisite kuomba ushauri kutoka kwake - mathalani ni jinsi gani aliweza ku co-exist na wapinzani in harmony.
Wakatabahu
Mwalimu M-Mbabe
22 March 2021
SOMA PIA
- CHADEMA: Tuko tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya maridhiano
- Maridhiano ya CCM na CHADEMA Ndiyo Kawaida ya Vyama vya Siasa Duniani Ilivyo?
- Tanzania inahitaji tume ya ukweli na maridhiano ya kitaifa
- Serikali yazingatia 'deadline' iliyowekwa na CHADEMA, Mikutano ya Hadhara ya Vyama vya Siasa kuanza Novemba
- Maridhiano: Zanzibar wanapofanikiwa, Bara tunakwama Wapi?
- Maalim Seif: Misimamo ya Kisiasa isitumike kuwafarakanisha Wananchi
- Tuhuma za Askofu Josephat Mwingira zimehanikiza umuhimu wa kuundwa haraka kwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ya Taifa
- Mbowe amuomba Rais Samia kuunda kamati ya maridhiano
- CCM yaunga mkono Maridhiano ya kisiasa
- Mbowe: Nimetoka Gerezani kwa moyo mweupe. Katiba ni ajenda yetu, Sisi sio magaidi
- Mkutano wa Kitaifa wa Haki, Amani na Maridhiano, 2022: Rais Samia asema Maendeleo hayafanywi na CCM na Rais pekee, aahidi ushirikiano na vyama vingine
- Viongozi NCCR Mageuzi wahudhuria mkutano wa TCD licha ya tamko la chama kutangaza kutoshiriki
- Yaliyojiri Mikutano ya CCM: Maridhiano ya kitaifa, Mchakato wa Katiba Mpya, Uteuzi, Pongezi kwa Rais Samia na Mwinyi
- John Mnyika: Mambo CHADEMA tuliyozungumza na wenzetu wa CCM
- CHADEMA kukwama kwa maridhiano wa kulaumiwa siyo nyie
- Mnyika: Viongozi waliokimbilia nje ya nchi sasa warudi nyumbani suala lao lilikuwa katika ajenda za Maridhiano
- Maridhiano ya CHADEMA na CCM bila kuwaondoa wabunge fake 19 bungeni na kuwaachia wanachama na wafuasi wa CHADEMA Magereza hayana umuhimu
- CHADEMA maridhiano yenu na CCM yanadhoofisha mchakato wa kudai Katiba Mpya
- Haya ndiyo maridhiano tuyatakayo wananchi dhidi ya Serikali
- Rais Samia, wananchi hatutaki tena maridhiano ya kisiasa
- Haya Maridhiano yanamjenga Rais Samia au yanambomoa kuelekea 2025?
- Rais Samia aweka historia mpya. Sasa maridhiano hali shwari, aunganisha vyama vyote vya siasa
- Ndugai: Nilitaka kumkutanisha Mbowe na Magufuli waweze kuridhiana lakini Mbowe alikataa akihofia Wenzake hawatamuelewa!
- Katibu wa ADC: Kauli ya Paul Makonda inapishana na msimamo wa Rais Samia
- 4Rs za Rais Samia gumzo kila kona, Padri Kitima, Askofu Mwamakula, Zitto wakoshwa
- UVCCM yasifu ujasiri wa Rais Samia kuongoza maridhiano nchini
- Kelele nyingi za maridhiano uchwara yasiyo na mantiki Mnakubalika kwa Rais Samia kwa ajili ya manufaa yake, lakini kwa wananchi wa kawaida hamkubaliki
- Maridhiano ya kisiasa ya CCM na vyama vingine yasifanyiwe mzaha na upande wowote
- Mbowe ajitoe kwenye maridhiano, kule ni kupotezeana muda na kujaza picha tu
- Dkt. Slaa: Freeman Mbowe aachane na Maridhiano maana hayafai, Katiba sio mali yake binafsi au mali ya Rais Samia
- Maridhiano ya CHADEMA na CCM ni batili kwakuwa sio jumuishi
- Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
- Mbowe: Hatutajitoa kwenye Maridhiano na CCM licha ya Changamoto za hapa na pale zinazojitokeza!
- Mbowe, maridhiano yako bila kuwasamehe wale wabunge 19 yatakuwa hayana maana
- Huu moto wanaowasha CHADEMA unatisha, umemkumbusha Kinana aliamini Maridhiano yatawafunga mdomo
- Haya ndiyo mazao ya falsafa ya 4R
- CHADEMA yazidi "Kukunwa" na uongozi wa Rais Samia, sasa zamu ya Salum Mwalimu, ammwagia sifa kufanikisha maridhiano
- CHADEMA kuanika hadharani nyaraka za Maridhiano zilizowakimbiza CCM, lengo ni kuiumbua mbele ya Umma
- Mbowe anavuna alichopanda, alipoombwa atoe taarifa ya Wanachojadili kwenye Maridhiano alikataa akidai ni Siri!
- Hakuna maridhiano yoyote baina ya CCM kama taasisi na CHADEMA zile zilikuwa ni stori tu za hali ya kisiasa
- CHADEMA wadai hawatajibizana kwa namna yoyote ile na Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM
- Lissu: Waliopinga maridhiano toka mwanzo wote wameshughulikiwa, sasa nami nashughulikiwa
- Tito Magoti: Kwenye hiki kinachoitwa ‘Faida za Maridhiano’ naomba, kwa heshima kubwa, nitofautiane na Mbowe
- Jaji Warioba: 4R za Rais Samia zinafanya kazi licha ya kuwapo changamoto chache hasa kisiasa
- Mbowe: Wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea
- Mwabukusi: Kabla ya Maridhiano huwa tunaanza na Muafaka, Chadema tuonyesheni huo Muafaka wa Kitaifa vinginevyo hayo makubaliano yenu hayako kisheria!
- Maridhiano ya kweli kati ya chama tawala na vyama vya upinzani yanawezekana kama haya yatazingatiwa
- Kwanini rais Samia amerudi nyuma kwenye masuala ya maridhiano? Neno maridhiano sasa limekuwa na ukakasi mkubwa
2025
- Dk. Lwaitama ahoji, kama Lissu anasema hataki maridhiano, je anataka kuchukua silaha kupambana na serikali? Asisitiza umuhimu wa mazungumzo ya vyama
- UCHAGUZI CHADEMA: BAVICHA waelewe bila Maridhiano hata huo Uchaguzi labda usingefanyika, punguzeni Dharau kwa Mbowe
- Wassira, unataka kuanza na maridhiano? Hii ndiyo menu muhimu ya maridhiano kama unamaanisha maridhiano
- Katibu Mkuu ACT Wazalendo: Rais Samia alituhadaa na falsafa yake ya maridhiano kutupotezea muda
- Wasira: Rais Samia aliita vyama vya Siasa, CHADEMA hawakuja kwenye maridhiano
- Wasira: Hatukatai mazungumzo, lakini hatuwezi kuamrishwa, asisitiza sera ya Samia ya 4R
- Katibu Uenezi CCM Kilimanjaro: Porojo za "No Reform No Election" waachieni hao wendawazimu, mmoja akigoma wengine watashiriki uchaguzi
- Tundu Lissu: Tubadilishe tarehe ya Uchaguzi Mkuu kwa Miaka miwili ili tuwe na tume Huru
- Rais Samia hazijui 4R zake mwenyewe, Reform anayosema Mh.Lissu ni kati ya zile 4R!!