kitoli
Member
- Feb 20, 2013
- 47
- 38
Upinzani bado upo tz?, au ndo umehamia twitter na huko ubelgijiKukosa mwakilishi wa Upinzani kwenye Msiba huu ni aibu kwa Samia na kamati ya mazishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upinzani bado upo tz?, au ndo umehamia twitter na huko ubelgijiKukosa mwakilishi wa Upinzani kwenye Msiba huu ni aibu kwa Samia na kamati ya mazishi
Mapema mkuu sanaChini ya JPM, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa...
Kwa hiyo unafananisha ufahamu wa Raisi wa nchi na ufahamu wa kibangibangi wa Konda?Kama ni hivyo basi itakuwa majanga!Kuambiwa upige mbizi kama huna miambili, hapo ukatili uko wapi?. Mbona kwenye daladala unakuwa mpole tuu ikiambiwa piga nyama chini kama huna nauli?.
Nimesoma paragraph yako ya namba 5 na 4 du nimekuhurumia sana KILICHO BADIRIKA NI WINE CHUPA NI YA FANTA HAHA MAMA WAKAMUE HAO WAMESHAANZA KUJITENKENYA NA KUCHEKA WENYEWEChini ya JPM, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa. Mgawanyiko wa jinsi hii haujawahi kutokea kwenye awamu yoyote ya urais huko miaka ya nyuma...
Unapowaambia Mamilioni ya Watu waende kwenye Uwanja uwezo wa kuchukua watu 40,000 lengo linakuwa ni nini?Acha uchochezi, wakati mwingine ni ngumu kuthibiti hisia za raia katika tukio kama hili, usichanganye mambo
Sijawahi kuona Tanzania iliyopasuka tangu nizaliwe na haitokuwepo. Na kama mpasuko unaousema ni ule wa kuwakumbatia hawa wasaliti wa taifa kama Lema na Lissu basi mmenoa. Mama anajitambua wala hamtampata kirahisi.Chini ya JPM, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa..
Unafikiri HASIDI huwa anasababu basi?Huyu mama hata siku 5 hajamaliza mmeanza kumkosoa tena kwa ujengaji hoja dhaifu sana,
Jaribuni jipeni muda pia mpe ni muda kiasi ndo muendeleze hiyo tabia yenu ya kukosoa.
Rais wa nchi hawezi kuwa Malaika, na ww huwezi kumpangia maneno ya kuongea, hizo ni cheap politics, Watz tulishazoea sana ulaini bila Wajibu, kulipa nauli ni wajibu wako,Kwa hiyo unafananisha ufahamu wa Raisi wa nchi na ufahamu wa kibangibangi wa Konda?Kama ni hivyo basi itakuwa majanga!
Twende taratibu: Rais Samia kajieleza vizuri. Unasema eti hawo wapinzani hawakutajwa, umekosea. Sema kwamba hawakuwako, alikuwako Shibuda na alitajwa na MC. Of course hwakuwapo kwa vile hawamo bungeni.Chini ya JPM, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa...
Kuambiwa upige mbizi kama huna mia mbili ni ukatili?we ukatili unaujua kweli?All- in -All,Huyu hawezi kuwa na ukatili kama wa Jiwe.Unless ajifunze,na ukatili wa kujifunza sio sawa na ule wa asili kama wa Jiwe;mtalimia meno,mtapiga mbizi kama hamna mia mbili.....Jiwe alishaonyesha ukatili toka enzi hizo hajawa raisi!
Kwan kuna upinzani kweli si walishasema ifikapo 2020 utakuwa ushakufa au bado upo? Ndo mana hawautambuiKukosa mwakilishi wa Upinzani kwenye Msiba huu ni aibu kwa Samia na kamati ya mazishi
Ndiyo wanavyokutumaMjiandae kisaikolojia tu , tunawaambia ukweli, Lissu amekejeli sana kifo cha JPM, mwambieni yeye atazikwa huko huko Belgium, Tz akirudi atakutana na vijana wa mtaani watakaompa halali yake. Hakuna haja ya TISS kuhangaika naye, washenzi wa mtaani wanadondoshwa na bisibisi tu.
Ukiwa kiongozi wa nchi hutakiwi kuwa na majibu ya kihuni.Kumbuka unakuwa unaongoza watu wenye status tofauti!Kuambiwa upige mbizi kama huna mia mbili ni ukatili?we ukatili unaujua kweli?