nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Huyo ni Makonda angekuwepo madarakani leo hii ungesikia anamwagiza mamboleo.
Sasa hivi atamuona Lissu kwenye updates za kwenye mitandao humu.
Pia vilevile sababu yeye siku ya tukio alikuwa Dodoma, watu wanasema ndio alikuwa mastermind wa tukio nae ajiandae. Kuna wanaopenda kulipa visasi kwa niaba. Manina atajua tu kuwa aliwaudhi wengi. Na huko kigamboni aliponaje? Hata mishale haikuwepo? Hizi kero ni kuziondoa mapema.
Sasa hivi atamuona Lissu kwenye updates za kwenye mitandao humu.
Pia vilevile sababu yeye siku ya tukio alikuwa Dodoma, watu wanasema ndio alikuwa mastermind wa tukio nae ajiandae. Kuna wanaopenda kulipa visasi kwa niaba. Manina atajua tu kuwa aliwaudhi wengi. Na huko kigamboni aliponaje? Hata mishale haikuwepo? Hizi kero ni kuziondoa mapema.