Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Miongoni mwa mbinu za kisiasa anazotumia mkulu ni mbinu ya "tengua teua" ili kumfanya mtenguliwa kisha kuteuliwa tena awe too loyal kwa mteuaji, hii iko applicable kwa mwana, kaangushwa ili ajifunze baadhi ya mambo, kisha atainuliwa hadi juu akiwa amejirekebisha. Kumtengua direct ingekuwa ni fedheha kuu kwake.
 
Ukiachana jina la Lissu je kuna mtu mwingine nimemtaja hapa? Au na wewe umetumia hisia zaidi kuliko mimi?
Nilipata kuandika humu...
FALSAFA ya maisha yasema;
"UKIDHALILISHA UTADHALILISHWA, UKIUA WATANO WA SITA WAO UTAKUWA WEWE... UKIUA SITA WA SABA WAO UTAKUA WEWE NK. Ikiwa hivyo haitoshi Utalipwa kwa utakachotenda!!"
MAANDIKO: HAKUNA AMPAYE MWANAE NYOKA BADALA YA SAMAKI AU JIWE BADALA YA MKATE!
KAMA' TADINU TUDANU: UTATENDEWA ULICHOTENDA; UKIMZINI BINTI AU MKE WA MTU NA WAKO ATATENDWA VIVYO HIVYO...
 
Kwanini?...kila jinai haikosi mtuhumiwa
Hiyo sentensi imebezi kwenye conspiracy theories kupita kiasi bila kuwa na specifics. "Mwenye mamlaka na nguvu nyingi" anaweza kuwa mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, kamanda wa polisi katika ngazi mbalimballi, mkuu wa jeshi, waziri yeyote, Waziri mkuu, Makamu wa rais au rais mwenyewe. Wewe umetupa jiwe gizani na hivyo kutokuwa na lengo.
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia
Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Mzee wa kura moja natamani asome huu uzi yeye alisema lisu na dreva wake wameekt.
 
View attachment 1517077

Mshana Jr Huenda hukuwa na maana ya inayoonekana katika niliyoonyesha rangi kwani haina mantiki kabisa,
Nakuomba usome hii kitu tafadhali,nilijaribu kuiunda kujaribu kuelezea utuhumiwa wa hii kitu kwa vyombo vya umma!

“The inference is irresistible that it is the government that orchestrated the plan to shoot Lisu. The possibility that political or road thugs are involved is excluded by the reaction the government found itself involved in after the shooting. The subsequent "behaviors" of the Rais, Speaker, IGP/police force and other law enforcement machinery…..,

All bear testimony that the government is involved in the shooting.” In all these circumstances a reasonable common man is perfectly inclined to come to the conclusion that inculpatory behavior by the government after the shooting is incompatible with the innocence of the government and incapable of explanation upon any other hypothesis than that of the involvement of the government.
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Mtia nia acha kumtetea ngosha mwezako pitia huzi nyuzi utapata jibu..
Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma
Nini maana ya Makonda ‘kuwanyima watu haki ya kuishi’ kunakosemwa na serikali ya Marekani?


Unapata dhambi ya bure kutetea madhalimu.
 
Pascal Mayalla, kwa unavyodhani kwanini hawajachunguza. Hivi angejeruhiwa Mbunge wa Chama tawala na minong'ono ingesema kuwa upinzani umefanya hivo unahisi watuhumiwa wasingekamatwa?

Pili kama una mtetea, nini Sababu ya Marekani kumzuia jamaa kwenda huko?

My advise Vijana tunapopata nafasi kwenye siasa tufanye vitu ambavyo havitakufanya watu wakuombee mabaya kwa Mungu. Alikuwa anafanya kazi kwa misifa hadi kufika mtu unapanga Mipango ya mauaji, utakaji na kuweka watu mahabusu hovyo ili kumfurahisha mkulu. Leo hii huaminiki kuingia Marekani na huaminiki tena kuingia Ulaya. Kwamaana nyingine kama ulikuwa na rafiki huko umeshapoteza. Maombi watu wameomba Mungu amejibu majibu umenyimwa kura. Usubiri ubunge wa Hisani.

Kwa ufupi jamaa na Ole sabaya tunawaombea mabaya sana.kwani wanamajivuno mno.


Hivi yule Ole sabaya angepata Urais nchi hii wapinzani wote si wangekufa na kutendwa mabaya Sana.Ebu cheki kijana ni DC lakini vile.

Vijana mnatuangusha Sana kwa majivuno na tunawaombea mabaya mno.
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
 
Hiyo sentensi imebezi kwenye conspiracy theories kupita kiasi bila kuwa na specifics. "Mwenye mamlaka na nguvu nyingi" anaweza kuwa mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, kamanda wa polisi katika ngazi mbalimballi, mkuu wa jeshi, waziri yeyote, Waziri mkuu, Makamu wa rais au rais mwenyewe. Wewe umetupa jiwe gizani na hivyo kutokuwa na lengo.
Nimekupata vema thanks Kichuguu
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia
Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
TL atapata taabu sana asipobadilika na kusuka mipango yake kisiasa na siyo kisheria.
 
Back
Top Bottom