Ujio wa lissu ni sawa kwa mapana yake na marefu yake kwangu naona sawa.
Mshana Jr je, umewekewa uvuli wa mauti au akili zimecheza? Ni nani aliyekudanganya kwamba wana wanadhoofika?
Nikikuamini kama msomi na mtafiti mbobevu ni wapi umefeli mtani wangu?
Weka vidhibiti mwendo my dear, mwana saa hii ndo yuko huru anatembea kama kondoo aliyelowa ili ajiokotee mawindo ya kushiba.
Wakati huu waweza kuwa nyakati mbaya kuliko zote huko mbeleni, tena aweza anza kazi ya kuuza vikombe na visahani mtaani kwako mtatia story ila siku ya tatu historia yako itakoma.
Note me.
Sent using
Jamii Forums mobile app