Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Yetu macho utaongea lugha zote ujuazo
Kwenye crime investigation pale ambapo third part alifanikiwa kufanya jambo na ghafla alipofanya tukawaza au kumsingizia fulani ambaye hakuwahi kuthibitishwa..huyu mtu wa tatu atakuwa huru, yuko huru, was never suspected..he worn that easily

Kama yupo huyo third part na yuko huru na hakuwahi kuwaziwa, ATAFANYA TENA, and this time, kama aliyefanya mwanzo alifanya kugombanisha wananchi na serikali...safari hii akifanya tena, hali itakuwa mbaya, kwanza wanaweza wasimwache hai

Kuanzia mwanzo wa swala hili, ulinzi pekee wa kumlinda Lissu ulitakuwa Lissu ajibanze au kukimbilia kwa rais!!! Hii inahitaji IQ ya hali ya juu sana

Rais angemlinda dhidi ya watesi wake.Naam kama rais ndie anahusika kumshambulia Lissu BADO STILL ingekuwa mpe mchawi amlelee mwanao, bado angepona. Rais asingekubali mtu apotee ambaye kaja kwake kwa ulinzi, we only live once.

Kama huyu third part yuko mtaani, anadunda hakuwahi kudhaniwa wala kutajwa.he will surely atrike it again

Kwa akili zangu za assassination, shambulio la Lissu was never planned na serikali, eti wauaji wamfuatilie kutoka dsm kwenda dodoma, wapige risasi 32 mchana kweupe kutisha watu...apelekwe hospitali ya serikali, apate kibali cha anga ndege impeleke Kenya, common.Kama ingekuwa ni Rais kasema afe, angekufa tu.

Rais wa Tanzania sio uchebe mme wa shilole

The one who did it is out there, probably very close to Lissu, na wakimuua watapata sympathy za kisiasa, au kuvuruga nchi
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia

Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Wajumbe sio watu wazuri wamemfanya vibaya DAB.
 
Mkuu Waberoya, kwanza nakukubali sana, wewe ni miongoni mwa wana jf wachache wenye high IQ.

Baada ya shambulio mimi nilisema kitu kama hiki ilichokisema wewe hapa,

Ila kwa vile wengi wa wana jf ni watu wenye average IQ, hivyo kunapotokea issues zinazohitaji watu wenye high IQ kuzielewa, mtu unajikutwa unaishia kubezwa!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

P
Kwanini serikali ilikataa wachunguzi wa kimataifa?
 
Ni kiwango changu cha kukuelewa wewe na unafiki wako
Mkuu pole sana, sio tuu, binadamu hatufani, bali pia hatulingani uwezo, wengine wamejaaliwa uwezo wa kuwa wakweli kupindukia na kuusema ukweli mkubwa kwa lugha ngumu ambazo wengine hawazielewi, na wengine wao wamejaaliwa mioyo migumu na uelewa finyu, wakisikia wasivyoelewa, wanaona ni unafiki!.
P
 
Nyie mna roho za kishetani kabisa. Kama shambulio lilipangwa na Chadema kwa nini polisi wasingelichunguza na kuwatia hatiani tena ndiyo wangepata hata fursa ya kuifuta kabisa Chadema kwani ndiyo matamanio yao ya kila siku. Lakini siku yaja na haiko mbali ukweli utawekwa wazi sijui utaficha wapi uso wako.
Unaamini ujinga huu?!
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia

Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Maccm na jeshi lao hawataruhusu mapokezi ya TAL
 
Hiyo misemo na sisi Wapogoro kwetu ipo! Wewe utakuwa Ndg yangu!
Wafipa tuna misemo yetu miwili inafanana sana

1. Time will tell
2. Time will heal all the wounds.

Sio kila mbwa Koko anayebweka mbele yako umpige kwa mawe, wengine ni wa kuwaacha tu wabweke wewe upite zako.

Ntafurahi sana iwapo Tundu Lissu atawasamehe watesi wake wote na kuuachia muda na karma viwahukumu.
Mwl wng aliwahi kuniusia... "Hakuna ubaya utafanywa na MBAYA isipokuwa Ubaya ule humrudia Mbaya yule"

Tusubiri.
 
Mkuu pole sana, sio tuu, binadamu hatufani, bali pia hatulingani uwezo, wengine wamejaaliwa uwezo wa kuwa wakweli kupindukia na kuusema ukweli mkubwa kwa lugha ngumu ambazo wengine hawazielewi, na wengine wao wamejaaliwa mioyo migumu na uelewa finyu, wakisikia wasivyoelewa, wanaona ni unafiki!.
P
Pole na wewe kwa kugubikwa na ukabila,chuki kwa Chadema na Tundu Lissu.
 
Kwa akili zangu za assassination, shambulio la Lissu was never planned na serikali, eti wauaji wamfuatilie kutoka dsm kwenda dodoma, wapige risasi 32 mchana kweupe kutisha watu...apelekwe hospitali ya serikali, apate kibali cha anga ndege impeleke Kenya, common.Kama ingekuwa ni Rais kasema afe, angekufa tu.

Rais wa Tanzania sio uchebe mme wa shilole

The one who did it is out there, probably very close to Lissu, na wakimuua watapata sympathy za kisiasa, au kuvuruga nchi


Mkuu Waberoya, kwanza nakukubali sana, wewe ni miongoni mwa wana jf wachache wenye high IQ.

Baada ya shambulio mimi nilisema kitu kama hiki ilichokisema wewe hapa,

Ila kwa vile wengi wa wana jf ni watu wenye average IQ, hivyo kunapotokea issues zinazohitaji watu wenye high IQ kuzielewa, mtu unajikutwa unaishia kubezwa!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

P

Pasco Mayalla sasa ni Kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM. na Mayalla kikwetu ni NJAA.

Ni kweli tukio halijakuwa planned na serikali ndio maana siku ile getini walinzi wote waliondolewa,ni kweli halijakuwa planned na serikali ndio maana CCVT ziling'olewa zote na ni kweli halijakuwa planned na serikali ndio maana miaka mitatu hawajakamatwa japo Chadema waliomba Scotland Yard waje kufanya uchunguzi lakini serikali ilikataa kwa kusema hawajashindwa.

Naungana na nyinyi tukio lile halijakuwa planned na serikali.
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia

Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Tulipofikia Tanzania Ni pabaya ndugu yangu Mshana.
Hivi unafikiri bashite na wahuni wale wenye silaha walijiamulia kupanga na kutekeleza shambulio dhidi ya Mheshimiwa LISSU Bila maelekezo kutoka kwa malaikayesu wa Lugola?
 
Mshana Jr,

Kinabii kuna kitu/mabadiliko yanakwenda tokea, wakati wa Mungu si wa binadamu, mwenge zindiko limekiukwa sababu ya corona,suspect kachezea spana, nguzo mbabe wa CCM Mungu kampenda huyu alitumia vyote nguvu na akili kuibeba CCM oyee waliobaki msamiati wa matumizi ya akili hawana kwao nguvu ndo jawabu, wakakosea kuwazoeza polisi kukamata watu hii ni mbaya sana ktk nchi watu wakishazoea kukamatwa utiisho na uoga utoweka.

Prophecies asubui kumekucha. Hakuna cha Jecha Wala Lubuva Safari hii, anga limefunguka.

Havomi !!
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Paschal bado una wenge LA kushindwa kura za maoni. Wajumbe siyo watu!!
 
Back
Top Bottom