Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Kuna watu bwana Pascal walisema kuwa kijana mmoja alionekana Dodoma siku ya tukio na kesho yake asubuhi mjini Morogoro.
Kijana huyo ametuhumiwa hadi na USA kuwa anahusika na kuzuia watu kuishi. Jee Polisi pamoja na kuambiwa kijana huyo anashukiwa kuhusika wamewahi kumhoji? Kama wameshindwa jee inazuia RAIA wema akiwepo Mshana Jr kuendelea kumtaja mshukiwa huyo?
Tutaendelea kusema huyu ni mshukiwa na ana baraka za polisi
 
Kuna mada hapa jamvini ilikua na maudhui haya: ...." chunga sana DAB afanyayo ni ya kumharibia mkuu wa nyumba"

Ati as a typical turn coat, alihamia kambi ingine kutoka ile ilohusika na matusi ya nguoni dhidi ya Eddo enzi zile za akisomea ZERO pale MUCCOBS.
Huku na kule! Modus operandi ya shambulio dhidi ya TAL imesheheni signature za kikolomije. Coincidence or not, it is highly likely.
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Hongera mkuu pasikali, baada ya kura za Maoni jimbo la Kawe bado una nguvu zile zile[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia

Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Tayari wamepiga marufuku mapokezi
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Pascal , wakati mwingine hua unanihuzunisha !!. Kwamba mwenye ripoti akaripoti kwenye vyombo husika !!. Kwamba mpaka leo vyombo havijui kuwa mh. Lissu alifanyiwa jinai ?!. Kwamba vyombo kufanya kazi yao mpaka tukaripoti ?!.

So cheap my dear [emoji120][emoji40]
 
Mkuu Waberoya, kwanza nakukubali sana, wewe ni miongoni mwa wana jf wachache wenye high IQ.

Baada ya shambulio mimi nilisema kitu kama hiki ilichokisema wewe hapa,

Ila kwa vile wengi wa wana jf ni watu wenye average IQ, hivyo kunapotokea issues zinazohitaji watu wenye high IQ kuzielewa, mtu unajikutwa unaishia kubezwa!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

P
Mzee P mayala naheshimu sana umri na taaluma yako ila ungepata zaidi ya kura 3 ningewashangaa sana wajumbe wa kinondoni.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Waberoya, kwanza nakukubali sana, wewe ni miongoni mwa wana jf wachache wenye high IQ.

Baada ya shambulio mimi nilisema kitu kama hiki ilichokisema wewe hapa,

Ila kwa vile wengi wa wana jf ni watu wenye average IQ, hivyo kunapotokea issues zinazohitaji watu wenye high IQ kuzielewa, mtu unajikutwa unaishia kubezwa!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

P
Mkuu. Na hiyo hiyo akili kubwa ulio nayo ndio ili kutuma uje kugombea hapa kawe [emoji16][emoji16][emoji16].

Akili kubwa zina tumiwa sana na wenye akili mdogoo. Itoshe tu kusema ila ahadi ya Milioni kumi kwa kila kata ya kawe ilikua ni kujidhalilisha sanaa, japo una akili kubwaa.

No offense intended. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ukweli unaujua sana Pascal lakini maslahi yako uliyo nayo plus verified id zinakufanta upindishe baadhi ya mambo.
Ukweli ni kwamba huenda rais hakuagiza moja kwa moja jamaa ashughulikiwe lakini kwasababu walijua rais hampendi, watu wa karibu naye ndiye walimshughulikie...walitegemea baada ya tukio wamtaarifu kuwa usiyempenda tumemshughulikia mzee.
Na sio mwingine bali ni DAB.
Hebu jibu haya;
1. Kwanini alinyimwa matibu na serikali?
2. Kwanini alisitishiwa ubunge wake?
3. Kwanini rais alifurahia jimbo kuchukuliwa na akatamka wazi sasa ndio jimbo limepata mbunge na tutapeleka huduma?
Itoshe tuu kusema nilisha kubaliana na halmashauli ya kichwa changu kua ndugu pasikali ni akili nyingi sana zinazotumikia matakwa ya sisi wenye akili ndogoo.

Kiufupi kabisa, anaendeshwaaa[emoji3][emoji3]
 
Itoshe tuu kusema nilisha kubaliana na halmashauli ya kichwa changu kua ndugu pasikali ni akili nyingi sana zinazotumikia matakwa ya sisi wenye akili ndogoo.

Kiufupi kabisa, anaendeshwaaa[emoji3][emoji3]
Anajua kila kitu lakini anaogopa kukosa keki ya upendeleo anayoikodolea macho
 
Mkuu Waberoya, kwanza nakukubali sana, wewe ni miongoni mwa wana jf wachache wenye high IQ.

Baada ya shambulio mimi nilisema kitu kama hiki ilichokisema wewe hapa,

Ila kwa vile wengi wa wana jf ni watu wenye average IQ, hivyo kunapotokea issues zinazohitaji watu wenye high IQ kuzielewa, mtu unajikutwa unaishia kubezwa!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

P
Kwanini cctv mlizificha na walinzi kabla ya tukio mliwaondosha ikiwa haihusiki kwanini hayo hamyajadili yakapatikana muafaka mzuri?
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia

Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
A day when things get out of hand
 
Anajua kila kitu lakini anaogopa kukosa keki ya upendeleo anayoikodolea macho
Ndio kusema hawezi jisimamia kwa chochotee labda kilicho nje na kutetea tumboo[emoji3][emoji3][emoji3].

Hivi kwanza ameshasikia balaza la habari walicho sema. ? [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tulipofikia Tanzania Ni pabaya ndugu yangu Mshana.
Hivi unafikiri bashite na wahuni wale wenye silaha walijiamulia kupanga na kutekeleza shambulio dhidi ya Mheshimiwa jiwe Bila maelekezo kutoka kwa malaikayesu wa Lugola?
Marais wengi wa Afrika huwa wanatumia watu baki kutekeleza umafia ili wao wabaki kuwa clean
 
Back
Top Bottom