Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

mhhh we jamaa comment yako haina mantiki,,,kwani mwana(bintimfalme) ameangushwa na mkuu au na wajumbe???
Rais ana ushawishi mkubwa, akilaani jambo hata asipotoa maagizo watendaji hulifanyia kazi, rejea kauli za pole2 juu ya huyo RC mtenguliwa, pia rejea kauli ya rais dhidhi ya majengo ya takukuru hv majuzi, vichwa 9 viliondoka na hayakuwa maagizo ya rais.
 
Waandishi wa habari kama huyu na chombo chake cha habari. Eti mara tuuu wanaibuka kuutaka ubunge wa kawe. Hivi sisi wajumbe mnatuchukuliaje lakini. ? .

Ndugu yangu pasikali kweli tukupe kura. ? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
IMG_20200726_114850.jpg
 
Ndio kusema hawezi jisimamia kwa chochotee labda kilicho nje na kutetea tumboo[emoji3][emoji3][emoji3].

Hivi kwanza ameshasikia balaza la habari walicho sema. ? [emoji3][emoji3][emoji3]
Amevunjwa kiuno kabisa na hiyo taarifa
 
Waandishi wa habari kama huyu na chombo chake cha habari. Eti mara tuuu wanaibuka kuutaka ubunge wa kawe. Hivi sisi wajumbe mnatuchukuliaje lakini. ? .

Ndugu yangu pasikali kweli tukupe kura. ? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1517262
Nipe taratibu za kuwa mjumbe, nitapendekeza pawe na kura -0
 
Marais wengi wa Afrika huwa wanatumia watu baki kutekeleza umafia ili wao wabaki kuwa clean
Acha upoyoyo, toa mfano wa rais mmoja aliyefanya hivyo! Ukiitwa utoe ushahidi wa kuhusika kwa Makonda utatoa ! Ujinga na chuki za kipumbavu ni vya hivyo Sana!
 
Nipe taratibu za kuwa mjumbe, nitapendekeza pawe na kura -0
[emoji3][emoji3][emoji3].mkuuu niliingia ujumbe kwa kukodiwa ili niwaonyoosheee vizabizanaa woteee wa kawe.

Mkuu ccm chochotee kinawezekana ni swala la hela tuuu. Baada ya kazi nzitoo narudi home[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Maisha ya mwanadamu sio zaidi ya kula na kunywa,waue watu,wabambike, wakuabudu,wakusifu, wafanye wawe masikini ili uwatawale at the end utarealize ni kuukimbiza upepo tu.Thus wenzetu weupe wao wapo bize kuspend dunia wanatalii tu.
Unajinyima eti unawaandalia watoto then ukifa wanapiga bei wanalewea.
Kifo kina maana kubwa Sana Kama funzo kwetu tulio hai.
Ukiwa msafi mtenda haki kwann uogope kifo
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia

Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Bashite mbwa sana.
 
Tulia dawa iingie ebo!
Machiavellian believes in “who has the power/money has the say.”
So do whatever is necessary to get and to keep it.
Hence, he believes in “The ends justify the means”.

Win first and then you can do whatever with your power.

For good things, do them or appear to do them to gain reputation and support.

For the bad things, get someone else to do this necessary evils, so that if it fails, you can blame them and you still look good. i.e. always cover your backside.

Ruling with fear is better than ruling with love. It is better for people to fear you rather than respect you. With fear, people must do it or else.

With love or respect, the obedience is optional and hence less effective.

His teaching is very similar to Chinese HanFeiZi’s Legal School philosophy which believes in using the Laws (Laws are designed to favor the Emperor) to rule the people with fear to achieve immediate or at least short-term following and success.

Such principles work in the short run for quick success. However, in the longer term, people will discover it and will revolt against it.
 
Back
Top Bottom