Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Maisha ya mwanadamu sio zaidi ya kula na kunywa,waue watu,wabambike, wakuabudu,wakusifu, wafanye wawe masikini ili uwatawale at the end utarealize ni kuukimbiza upepo tu.Thus wenzetu weupe wao wapo bize kuspend dunia wanatalii tu.
Unajinyima eti unawaandalia watoto then ukifa wanapiga bei wanalewea.
Kifo kina maana kubwa Sana Kama funzo kwetu tulio hai.
Ukiwa msafi mtenda haki kwann uogope kifo
Machiavellian believes in “who has the power/money has the say.”
So do whatever is necessary to get and to keep it.
Hence, he believes in “The ends justify the means”.

Win first and then you can do whatever with your power.

For good things, do them or appear to do them to gain reputation and support.

For the bad things, get someone else to do this necessary evils, so that if it fails, you can blame them and you still look good. i.e. always cover your backside.

Ruling with fear is better than ruling with love. It is better for people to fear you rather than respect you. With fear, people must do it or else.

With love or respect, the obedience is optional and hence less effective.

His teaching is very similar to Chinese HanFeiZi’s Legal School philosophy which believes in using the Laws (Laws are designed to favor the Emperor) to rule the people with fear to achieve immediate or at least short-term following and success.
 
Machiavellian believes in “who has the power/money has the say.”
So do whatever is necessary to get and to keep it.
Hence, he believes in “The ends justify the means”.

Win first and then you can do whatever with your power.

For good things, do them or appear to do them to gain reputation and support.

For the bad things, get someone else to do this necessary evils, so that if it fails, you can blame them and you still look good. i.e. always cover your backside.

Ruling with fear is better than ruling with love. It is better for people to fear you rather than respect you. With fear, people must do it or else.

With love or respect, the obedience is optional and hence less effective.

His teaching is very similar to Chinese HanFeiZi’s Legal School philosophy which believes in using the Laws (Laws are designed to favor the Emperor) to rule the people with fear to achieve immediate or at least short-term following and success.

Such principles work in the short run for quick success. However, in the longer term, people will discover it and will revolt against it.
Hii haimuhusu Magu anayetawala kwa upendo wa nchi na watu wake!
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Au angalau mkuu Mshana Jr. angesubiri hadi hapo hao mawakili wa 'victim' wabobozi kutoka huko ughaibuni wakatuwekea wazi ni nani hasa hao watuhumiwa. Kwa kuwa hapa kwetu hawajulikani na pengine hawatajuilikana kabisa!
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

P. Mayala nakuheshimu sana ila katika hili umepotoka wa kati mwingine si lazima uchangie waweza kaa kimya kwani nayo ni busara, kama ingekuwa ni wewe umepigwa risasi, ukanyimwa haki ya kutibiwa, ukaporwa ubunge, uchunguzi haujafanyika na mbaya zaidi jalada la uchunguzi likafungwa, ukiwa huko nje ya nchi unataka kurudi nyumbani vitisho kibao hakika usingekuja na hoja ya kumpinga MSHANA.

Tundu Lissu kanyanyaswa sana na hii serikali, kateswa na hakuishi kwa raha hata kabla ya kupigwa risasi, kwa matukio yote haya hata kama wewe ni muunga juhudi za kununuliwa kwa Bombardier huna haja ya kupelekwa shule kuona madhila aliyotendewa Lissu.

Watu kama nyie akina Mayala, Lumumba & Co. ndiyo mnaowapa nguvu baadhi ya manyang'au mafedhuli hapa nchini kuendelea kufanya upumbavu wa kiwango cha Lami kwakuwa wanaona wanatetewa tena na watu Credible kama wewe Mayala.

Mayala wewe ni msomi na ninahakika kwa ninvyokufahamu unafahamu kila kitu kwamba serikali haimtaki Lissu na unajua hila anazofanyiwa kwa namna nyingi ila aidha unaogopa au umeamua kuungana na wenye nguvu ili kum-suppress asiye na nguvu sasa nakuomba unapokuta hoja za watu walio huru ki fikra kama alivyo MSHANA, so please don't try to block them for provoking against or going against those confiscating other's right to life.

Hata US embassy waliwahi mtuhumu bwana BASHITE kwamba anahusika na kupora watu haki ya kuishi na walisema wana credible information kuanzia mawasiliano na kila kitu na muda umefika wa hili genge la uhalifu lililojipa madaraka ya IZRAIL MTOA ROHO kufumuliwa kama ambavyo ilivyosambaratishwa KGB na kuunda FSB huko Russia.

Kuna watu huku kitaa tuliokoka bila kupenda ili tuweze kumuombea Lissu apone, wengine tulikuwa watenda dhambi ikiwamo kwa kuwaza na kwa kunena na kwa kutenda lakini dakika chache baada ya Lissu kupigwa tuliacha haya yote na kujikita katika maombi, sisi wengine hatujawahi funga kula kama daktari hajasema lakini tulilazimika kufunga ili mpendwa wetu apone kupitia maombi.

Tulijinyenyekeza kwa Mwenyezi Mungu ili Lissu apate kupona Mtanzania asiye na hatia aliyepigwa risasi mithili ya Simba aliyevamia makaazi ya watu na huku majangili wakubwa wakiachwa wakijivinjari, kwa bahati Mungu asiye na makuu akajibu na hisi sasa LISSU yu bukheri wa afya.

Sasa LISSU anataka kurudi home tunaona mizengwe ikiandaliwa na wauaji wake tunaweka mambo sawa watu kama akina Mayala mnataka kutetea upupu chunga sana tupo karne nyingine sasa hivi.
 
P. Mayala nakuheshimu sana ila katika hili wakati mwingine si lazima uchangie waweza kaa kimya kwani nayo ni busara,
Mkuu Konyola, asante sana kwa ushauri, nitajitahidi sana kuchangia kwa kukaa kimya na kunyamaza, ili kuonyeshea busara.
P
 
P. Mayala nakuheshimu sana

Watu kama nyie akina Mayala, ndiyo mnaowapa nguvu manyang'au mafedhuli hapa nchini kuendelea kufanya upumbavu wa kiwango cha Lami kwakuwa wanaona wanatetewa tena na watu Credible kama wewe Mayala.

Mayala wewe ni msomi na ninahakika kwa ninvyokufahamu unafahamu kila kitu.
Mkuu Konyola, hao manyang'au mafedhuli, ndio nani?. Huko sio kuwatukana watu wengine wanaoheshimiwa na mamilioni ya wazalendo wa taifa letu?.
Asante, kuniweka kwenye kundi la watu credible maana...
P
 
Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.
Hili ungeliwekea ushahidi ungekuwa umefanya jambo la msingi sana,maana hata sisi huwa tunasikia sikia tu kwa watu ila hatuyaandiki haya mpaka siku tutakapo dhihirikiwa na ushahidi, hivi ndivyo watu makini walivyo.

Ahsante.
 
Sheria ya wapi Tena wakati watesi wako above the law?
Sasa mkuu 'Bujibuji', kweli una moyo wa kusamehe 'mtesi wako aliye above the law?" Huko itakuwa sio kusamehe, bali kukubali tu aendelee kukutesa kwa vile huna lolote la kufanya juu yake.
 
Hili ungeliwekea ushahidi ungekuwa umefanya jambo la msingi sana,maana hata sisi huwa tunasikia sikia tu kwa watu ila hatuyaandiki haya mpaka siku tutakapo dhihirikiwa na ushahidi, hivi ndivyo watu makini walivyo.

Ahsante.
Naamini hujaelewa nilichoandika na mbaya zaidi hujaelewa hata ulichoandika mwenyewe

Jr[emoji769]
 
Wauaji mna taabu sana

Kwani nani anateseka, ishu ya lisu ilishasahaulika, ninyi ndo mna maumivu nayo, kilichobaki sasa hivi tundu lisu ni baga fresh basi hakuna lingine.
Saana uatasema waliompiga risasi nao wataona maumivu, kumbuka kuna watu hapa duniani wanateseka na maumivu ya muda mrefu lakini hawajawahi mkosea mtu, sasa hao mapigo wanayopata yanalipwa kwa kosa gani.
Hukum mnazotoa hazina maana na wakati mwingine kwa mungu mnakosea kwa kuwa unaemdhania sie hivyo dhambi unabeba wewe.
 
Naamini hujaelewa nilichoandika na mbaya zaidi hujaelewa hata ulichoandika mwenyewe

Jr[emoji769]
Nimecheka sana, naomba unithibitishie ya kuwa sijaelewa nilicho kiandika mimi mwenyewe ukiweza kufanya hivyo, nitaomba hii "ID" yangu ifungwe mazima na uongozi wa "jf"na wewe utakuwa shahidi wa hilo.
 
Nimecheka sana, naomba unithibitishie ya kuwa sijaelewa nilicho kiandika mimi mwenyewe ukiweza kufanya hivyo, nitaomba hii "ID" yangu ifungwe mazima na uongozi wa "jf"na wewe utakuwa shahidi wa hilo.
Hebu sema umeandika nini..hiyo no ithibati pekee

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom