Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Kweli kabisa jamaa akushambuliwa...umelizika?
 
Asante, watu wanaitwa wajumbe..., we acha tuu!.
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji30][emoji31][emoji31][emoji30][emoji1787][emoji23]
 
Maagizo mengi ya mkuu yana utata na anayatoa kwa vitisho kwa waandamizi wake. Hizi amri kama vile “mshughulikieni huyo kadiri mnavyoweza”...au “huyo nisimsikie tena”... zinaweza kuwafanya watu wake wafikiri mkuu anataka asikie tanzia. Ndio maana siku hizi amekuja kuona umuhimu wa kuwaambia polisi wasitumie nguvu kupitiliza. Mkuu anakosea mambo mengi ya msingi kama ilivyokuwa juzi kutangaza msiba wa taifa akiwa amevalia shati la maua maua. Makosa ni mengi mno kwa mwenye akili.
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia

Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Mshana Jr,

Mungu ni wa watu wote walikusudia kumuua Lissu aidha kwa kutumwa au utashi wao wenyewe wataumia sana na watajutia matendo yao walifanya unyama na ubaya utakao watesa siku zote.
Ujio wa lissu ni sawa kwa mapana yake na marefu yake kwangu naona sawa.

Mshana Jr je, umewekewa uvuli wa mauti au akili zimecheza? Ni nani aliyekudanganya kwamba wana wanadhoofika?

Nikikuamini kama msomi na mtafiti mbobevu ni wapi umefeli mtani wangu?

Weka vidhibiti mwendo my dear, mwana saa hii ndo yuko huru anatembea kama kondoo aliyelowa ili ajiokotee mawindo ya kushiba.

Wakati huu waweza kuwa nyakati mbaya kuliko zote huko mbeleni, tena aweza anza kazi ya kuuza vikombe na visahani mtaani kwako mtatia story ila siku ya tatu historia yako itakoma.

Note me.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Wafipa tuna misemo yetu miwili inafanana sana

1. Time will tell
2. Time will heal all the wounds.

Sio kila mbwa Koko anayebweka mbele yako umpige kwa mawe, wengine ni wa kuwaacha tu wabweke wewe upite zako.

Ntafurahi sana iwapo Tundu Lissu atawasamehe watesi wake wote na kuuachia muda na karma viwahukumu.
Jalada lilifungwa taarifa itapelekwa kwa nani?
Mshana Jr,

Unatumia hisia sana zaidi ya facts ndio maana unaharibu nyuzi zako! Umechagua kutokua neutral. It is ok though!
Wewe unajulikana una chuki kwa Lissu na Chadema bora ukae kimya tu.
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P

Kwenye crime investigation pale ambapo third part alifanikiwa kufanya jambo na ghafla alipofanya tukawaza au kumsingizia fulani ambaye hakuwahi kuthibitishwa..huyu mtu wa tatu atakuwa huru, yuko huru, was never suspected..he worn that easily

Kama yupo huyo third part na yuko huru na hakuwahi kuwaziwa, ATAFANYA TENA, and this time, kama aliyefanya mwanzo alifanya kugombanisha wananchi na serikali...safari hii akifanya tena, hali itakuwa mbaya, kwanza wanaweza wasimwache hai

Kuanzia mwanzo wa swala hili, ulinzi pekee wa kumlinda Lissu ulitakuwa Lissu ajibanze au kukimbilia kwa rais!!! Hii inahitaji IQ ya hali ya juu sana

Rais angemlinda dhidi ya watesi wake.Naam kama rais ndie anahusika kumshambulia Lissu BADO STILL ingekuwa mpe mchawi amlelee mwanao, bado angepona. Rais asingekubali mtu apotee ambaye kaja kwake kwa ulinzi, we only live once.

Kama huyu third part yuko mtaani, anadunda hakuwahi kudhaniwa wala kutajwa.he will surely atrike it again

Kwa akili zangu za assassination, shambulio la Lissu was never planned na serikali, eti wauaji wamfuatilie kutoka dsm kwenda dodoma, wapige risasi 32 mchana kweupe kutisha watu...apelekwe hospitali ya serikali, apate kibali cha anga ndege impeleke Kenya, common.Kama ingekuwa ni Rais kasema afe, angekufa tu.

Rais wa Tanzania sio uchebe mme wa shilole

The one who did it is out there, probably very close to Lissu, na wakimuua watapata sympathy za kisiasa, au kuvuruga nchi
 
Hivi Mkuu Pasco kwa akili ya kawaida tu humuoni mtuhumiwa? Aisee
Mambo ya jinai, hayaongozwi kwa akili ya kawaida, yanatawaliwa na the law of evidence, ushahidi na sio hisia.

Si wengi humu wanajua kuwa mwandishi wa habari za uchunguzi, IJ, investigative journalist ana uwezo wa kufanya uchunguzi kama police detectives, hivyo mimi ni IJ, niliomba kama wameshindwa waseme sisi media tuwasaidie.
Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
P
 
Hivi kwako walikula kiasi gani? Duuh, wajumbe hawana aibu! Jirani yangu aliwachinjia mbuzi wakanywa thupu , wakapiga na chai ndhito ya madhiwa! Kufika kwenye kura akapata 0, wajumbe hawana aibu!!
[emoji2960][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Huyo siku zote ndivyo alivyo anapenda ufitini uchonganishi bila ushahidi wwte....
alafu hajishtukii!!??
nyuma yake anakuwa na mlengo wa kisiasa
 
Kwanini?...kila jinai haikosi mtuhumiwa
Inatakiwa tuamini ya kwamba ile jinai ilitendwa na maharamia toka sayari ingine... tunatakiwa tuamini hakuna kilichotokea... tunatakiwa kukubali pasi utashi wa akili zetu kila tunachoambiwa!!
Kama haitoshi "ATI TUMUITE BUNDI NJIWA AU KUKU TUMUITE TUMBUSI!!!"
Twaweza ficha moto moshi ufukapo lakini fukuto likizidi mambo huwa hadharani. Macho hutumika kuona vilivyo karibu lakini ubongo hutumika kuona mbali zaidi
 
Miongoni mwa mbinu za kisiasa anazotumia mkulu ni mbinu ya "tengua teua" ili kumfanya mtenguliwa kisha kuteuliwa tena awe too loyal kwa mteuaji, hii iko applicable kwa mwana, kaangushwa ili ajifunze baadhi ya mambo, kisha atainuliwa hadi juu akiwa amejirekebisha. Kumtengua direct ingekuwa ni fedheha kuu kwake.

Tabia ni ngozi,
 
Inatakiwa tuamini ya kwamba ile jinai ilitendwa na maharamia toka sayari ingine... tunatakiwa tuamini hakuna kilichotokea... tunatakiwa kukubali pasi utashi wa akili zetu kila tunachoambiwa!!
Kama haitoshi "ATI TUMUITE BUNDI NJIWA AU KUKU TUMUITE TUMBUSI!!!"
Twaweza ficha moto moshi ufukapo lakini fukuto likizidi mambo huwa hadharani. Macho hutumika kuona vilivyo karibu lakini ubongo hutumika kuona mbali zaidi
Twaweza ficha moto moshi ufukapo lakini fukuto likizidi mambo huwa hadharani. Macho hutumika kuona vilivyo karibu lakini ubongo hutumika kuona mbali zaidi[emoji1548][emoji1534][emoji1545]
 
Twaweza ficha moto moshi ufukapo lakini fukuto likizidi mambo huwa hadharani. Macho hutumika kuona vilivyo karibu lakini ubongo hutumika kuona mbali zaidi[emoji1548][emoji1534][emoji1545]
Mkuu sio miujiza kumkuta sungura akienda mwendo wa kobe, muujiza mkubwa ni kumuona kobe akienda mbio za sungura!!
Kuna MATUKIO MAKUU YAJA...
Wengi hawataamini watakachokiona na hawatapenda kusikia watakachokisikia...
 
Inatakiwa tuamini ya kwamba ile jinai ilitendwa na maharamia toka sayari ingine... tunatakiwa tuamini hakuna kilichotokea... tunatakiwa kukubali pasi utashi wa akili zetu kila tunachoambiwa!!
Kama haitoshi "ATI TUMUITE BUNDI NJIWA AU KUKU TUMUITE TUMBUSI!!!"
Twaweza ficha moto moshi ufukapo lakini fukuto likizidi mambo huwa hadharani. Macho hutumika kuona vilivyo karibu lakini ubongo hutumika kuona mbali zaidi

Hakuna jinai inayokoma bila justice sema tu itachelewa,Hadi leo Gambia wanakamatwa waandamizi wa dikteta Jameih kwa makosa waliyotenda miaka 15 nyuma,so ni matter of time hata wasiojulikana hawana pa kujificha wote watakamatwa tu,japo wengine wanamalizwa ili kuupoteza ushahidi wa matukio waliyoshiriki but haisaidii.Mchawi aliroga usiku uchi pekee yake sirini gizani lakini leo kila mtu anajua ndie muhusika wa unaweza ukawa umevaa nguo lakini Jamii inakuona ulivo uchi.3rd eyes watching everywhere.
Zijue kanuni za dunia jifunze kuishizo.
 
Mkuu sio miujiza kumkuta sungura akienda mwendo wa kobe, muujiza mkubwa ni kumuona kobe akienda mbio za sungura!!
Kuna MATUKIO MAKUU YAJA...
Wengi hawataamini watakachokiona na hawatapenda kusikia watakachokisikia...
Nimekupata vema sana
 
Hakuna jinai inayokoma bila justice sema tu itachelewa,Hadi leo Gambia wanakamatwa waandamizi wa dikteta Jameih kwa makosa waliyotenda miaka 15 nyuma,so ni matter of time hata wasiojulikana hawana pa kujificha wote watakamatwa tu,japo wengine wanamalizwa ili kuupoteza ushahidi wa matukio waliyoshiriki but haisaidii.Mchawi aliroga usiku uchi pekee yake sirini gizani lakini leo kila mtu anajua ndie muhusika wa unaweza ukawa umevaa nguo lakini Jamii inakuona ulivo uchi.3rd eyes watching everywhere.
Zijue kanuni za dunia jifunze kuishizo.
Naam, Naam Mkuu. Mwanadamu hujidanganya kwa kuamini katika uwezo na nafasi yake huku akisahau kwamba "nyakati" zina maamuzi makuu katika mustakabali wa maisha yake...
Waweza kuwa juu leo ukamkanyaga aliye chini kwa maguvu na hila zote ukiamini baiskeli inakwenda kwa pedal moja...!!!?
 
Back
Top Bottom