Kwa serikali inayofikiri hatuna haja nao Kama watakuja na utartibu waoWanajenga vingi sana lakini
Material ya ujenzi 90% wanatoa kwao
Tenda wanapeana wenyewe
Ni wakwepa kodi wakubwa
Hawafuati sheria za kazi
Pesa wanazoingiza zinasafirishwa China kwa njia zisizo rasmi na kuikosesha serikali mapato mengi
spoiled spermWaje tu, tena waje sana hapa Tanganyika.
Bora mchina kuliko CCM.
Sawa. Huenda material ya ujenzi ya hapa bongo imechakachuliwa kupita maelezo. Sasa kwa nini atumie material fake ilihali material Og ipo na anaweza kuipata? Wakati wa kuweka Mkataba ilitajwa kwamba materials ni sharti zitoke wapi?Wanajenga vingi sana lakini
Material ya ujenzi 90% wanatoa kwao
Wabongo hawana Qualifications zinazotakiwa. Kwa nini wamchukue boya mmbongo?Tenda wanapeana wenyewe
Huo ni Udhaifu wa TRA. Mchina kaona upenyo kwenye madhaifu yao.Ni wakwepa kodi wakubwa
Kwani Wizara husika imelala au ndo wanawapepelea kwa kupewa kitu kidogo?Hawafuati sheria za kazi
Huo ni udhaifu wa Serikali yetu. Mbona Serikali hii hii imeweza kusimamia Tozo lukuki ilizojiwekea inashindwaje kwa Mchina? au ndo kwa "urefu wa kamba"Pesa wanazoingiza zinasafirishwa China kwa njia zisizo rasmi na kuikosesha serikali mapato mengi
Iko hivi kwenye BOQ wanaandika material yanatoka bongoSawa. Huenda material ya ujenzi ya hapa bongo imechakachuliwa kupita maelezo. Sasa kwa nini atumie material fake ilihali material Og ipo na anaweza kuipata? Wakati wa kuweka Mkataba ilitajwa kwamba materials ni sharti zitoke wapi?
Wabongo hawana Qualifications zinazotakiwa. Kwa nini wamchukue boya mmbongo?
Huo ni Udhaifu wa TRA. Mchina kaona upenyo kwenye madhaifu yao.
Kwani Wizara husika imelala au ndo wanawapepelea kwa kupewa kitu kidogo?
Huo ni udhaifu wa Serikali yetu. Mbona Serikali hii hii imeweza kusimamia Tozo lukuki ilizojiwekea inashindwaje kwa Mchina? au ndo kwa "urefu wa kamba"
Sasa si ndio wananunua ili wafanye taratibu za kumilikishwa kama wawekezajiWananunuaje maeneo wakati sheria yetu ya ardhhi hairuhusu mgeni kuuziwa ardhi isipokuwa tu kwa ajili ya uwekezaji
Basi ifike mahali Tukubali wametuzidi akili.Iko hivi kwenye BOQ wanaandika material yanatoka bongo
Kisha wanaagiza malighafi na kutengenezea hapa hapa
Mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi Tanzania isipokuwa tu kama ni mwekezaji mwenye vibali vya TIC. Tofauti na hapo haruhusiwi kumiliki lakini yapo maeneo wageni wamenunua na wanatamba tu.Sheria yetu ya ardhi ipo kimya wageni kumiliki ardhi?.
Ulichoandika ni Ukweli Mtupu, Wachina wamekuwa wengi sana kila kona hapa nchini na wanapiga kazi sanaaNi ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe. Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno
Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu. Migodi hivyohivyo, Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure. Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10
Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu. Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo
Je, baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini? Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana
Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Haya mambo mtu unaweza yaona kama stori ila yanashangaza sanaSasa si ndio wananunua ili wafanye taratibu za kumilikishwa kama wawekezaji
Hao wachina wanayataka maeneo potential ambayo tayari yanamilikiwa na wazawa.
Hao wachina wanawapa hao wazawa fedha ili waondoke kisha wao wanaenda tic kuomba wamilikishwe kama wawekezaji.
Kuna sehemu hapa dsm kimara bucha kwa mbele kama unaelekea baruti mkono wa kushoto wamelipa fedha watu waondoke hadi ambao maeneo yao tanroads waliyaweka X kwamba yapo road reserve. Wameshambiwa kwamba hii barabara ikishatanuliwa sasahivi ndio basi.
Just Imagine serikali ilikuja kukupigia x kwamba uondoke tena bila fidia yeyote mchina anakuja anakupa million 40 anakwambia tuuzie.
Eneo limeshasawazishwa kabisa kwanza nilizani ni hawa wachina wanaojenga barabara wamesawazisha, nikaambiwa hapana hapo kuna nyumba zimevunjwa wachina wamenunua wanataka kujenga godown
Wanahusishwa na wachina watakaokuwa na maduka kwenye huo mradi ilipokuwa stendi ya mabasi ubungo.
Wachina noma yaani wamenunua eneo la road reserve ambalo raia waliambiwa wahame hawatakiwi
Nanukuu: "Wachina noma yaani wamenunua eneo la road reserve ambalo raia waliambiwa wahame hawatakiwi"Sasa si ndio wananunua ili wafanye taratibu za kumilikishwa kama wawekezaji
Hao wachina wanayataka maeneo potential ambayo tayari yanamilikiwa na wazawa.
Hao wachina wanawapa hao wazawa fedha ili waondoke kisha wao wanaenda tic kuomba wamilikishwe kama wawekezaji.
Kuna sehemu hapa dsm kimara bucha kwa mbele kama unaelekea baruti mkono wa kushoto wamelipa fedha watu waondoke hadi ambao maeneo yao tanroads waliyaweka X kwamba yapo road reserve. Wameshambiwa kwamba hii barabara ikishatanuliwa sasahivi ndio basi.
Just Imagine serikali ilikuja kukupigia x kwamba uondoke tena bila fidia yeyote mchina anakuja anakupa million 40 anakwambia tuuzie.
Eneo limeshasawazishwa kabisa kwanza nilizani ni hawa wachina wanaojenga barabara wamesawazisha, nikaambiwa hapana hapo kuna nyumba zimevunjwa wachina wamenunua wanataka kujenga godown
Wanahusishwa na wachina watakaokuwa na maduka kwenye huo mradi ilipokuwa stendi ya mabasi ubungo.
Wachina noma yaani wamenunua eneo la road reserve ambalo raia waliambiwa wahame hawatakiwi
Sipati picha kwamba miaka michache ijayo wachina watakuwa wameshika sekta zote nyeti. Inakuwaje kwani Wachina wanavamia au ni sisi wenyewe tutawakabidhi hizo Sekta kwa hiari? Hilo jambo ambalo linatakiwa lifanyike ni NANI anatakiwa alifanye?Ulichoandika ni Ukweli Mtupu, Wachina wamekuwa wengi sana kila kona hapa nchini na wanapiga kazi sanaa
Ni kweli lisipofanyika jambo, basi miaka michache ijayo Wabongo watakuwa wazururaji huku Wachina wakiwa wameshashika secta zote nyetii
Vizazi vyetu lakini vitanyanyasika na huenda vikatulaani sisi tulioshindwa kutimiza wajibu wetu.Uzuri wote tutakuwa mahala pamoja mifupa katika mifupa
Sio Ubia huo kweli?Mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi Tanzania isipokuwa tu kama ni mwekezaji mwenye vibali vya TIC. Tofauti na hapo haruhusiwi kumiliki lakini yapo maeneo wageni wamenunua na wanatamba tu.
Kusema ukweli inaumiza sana kuona hawa wachina wananunua mpaka milima kwa lengo la kuchimba mawe ya kutengeneza mabo,milima inachimbwa mpaka inaisha yanabaki mashimo na nasikia dhahabu wanapata na wanachukua,mazingira yanaharibika.....Inaumiza snMkuu hii sio habari ya kufumbiwa macho kabisa na watu wetu wa Usalama,leo hii sisi ambao tunanufaika kwa kuwa karibu na wachina huku tukijiona tumefanikiwa kuliko wanaotuzunguka kwenye jamii zetu muda sio mrefu hata sisi wanufaikaji wa vi misaada hivi tutaona uhalisia na matokeo ya huu Upumbavu tunaofaunya,
Sekta ya Madini imevamiwa kwa Kasi na hawa Wachina,kwa sasa wananunua Leseni za utafiti na Leseni ndogo za wachimbaji wadogo kwa Kasi ya kutisha, sio Kahama,Morogoro,Chunya, Geita mpaka Mpanda kote wanahodhi maeneo na wenyeji tukiendelea kutunishiana misuli kwa nani anayemiliki Gari zuri baada ya kupata mgao kutoka kwa wachina hao.
Watanzania tumelala sana kama raia wa kawaida lakini viongozi ndio tuseme pengine hawajui hata kwanini wapo hapo,
Utajiri wetu upo katika Ardhi,huu Upumbavu wa kuhonga Ardhi kwa Wachina hautoishia tu katika Ardhi bali utagusa mpaka katika maamuzi ya Chama na Serikali siku Maslahi ya hawa wanaopewa Ardhi hii kwa kisingizio cha uwekezaji watakapoguswa Maslahi yao.
Kwa kuwa wenye mamlaka wameona njia ya kuiokomboa nchi hii kiuchumi ni kuzitoa Fursa za hii nchi kwa Waarabu,Wachina na mataifa mengine ya nje na sisi wazawa hatuna Akili ya kufanya lolote zaidi ya kuimba muziki na kubishana kuhusu nani Bora kati ya Simba na Yanga basi wacha wenye Akili wachukue Fursa zote ila mwisho wa haya ni mbaya kuliko hata hizo zama za Ukoloni,
Mwenye masikio na asikie,kama una Akili ya kuona mbali huu ndio wakati wa Kuhodhi maeneo ya Ardhi yenye Madini na Rotuba nzuri kwa ajili ya kilimo(ufugaji) sio kwa ajili yako bali kwa vizazi vyako miaka 50 inayokuja,bila hivyo siku moja mtaona wajukuu zetu wakiwa Manamba ndani ya nchi yao kwa ujila wa Chakula tu.
Fikra Za Mwalimu Zidumu....
Watanzania wengi hawajui sheria na wanauza ardhi hovyo sana na ndio hapo tatizo lilipo. Fikiria tu kuna watu wananunua ardhi bila kuandikishiana makubaliano. Wakati sheria inasema ni lazima kuwepo na makubaliano ya kimaandishi kwenye jambo lolote linalofanyika kwenye umiliki wa ardhiSio Ubia huo kweli?