Ujio wa wachina laki 3 Tanganyika uwe na tija kwa Taifa na si kwa ajili ya watu wachache na jamaa zao

Ujio wa wachina laki 3 Tanganyika uwe na tija kwa Taifa na si kwa ajili ya watu wachache na jamaa zao

Kama nchi imeona njia ya kujikimu kiuchumi ni mikopo na kuleta wawekezaji wa nje ambao kwa kila namna wanaangalia namna ya kuingia mikataba itakayowafaidisha wao zaidi kuliko sisi .

TULISHAFELI KAMA TAIFA , yaani inashindikana vipi kujifunza kwa walioweza kukuza uchumi sa nchi zao bila kutegemea kubebwa bebwa? Gadaffi aliweza vipi kuinyanyua libya mpaka ilipofikia hatua ya kutokuwa na masikini hata mmoja nchini kwa kutegemea mafuta pekee? Najua kuna watu watasema oooo mafuta yana mzunguko mkubwa kuliko rasilimali tulizokuwa nazo haya "seretse khama" raisi wa kwanza wa botswana aliweza vipi kuinyanyua nchi yake bila kutegemea wawekezaji wa nje na mikopo na ukiangalia alipokea nchi kutoka kwa wakoloni ikiwa na 90% wasio na elimu ambao wengi ni wafugaji na wakulima? Tulifeli wapi?

N.b
Ndiyo maana sipendi kabisa kufuatilia siasa za bongo maa a ghadhabu niliyonayo basi tu.
 
Mikocheni ,kinondoni block 41, msasani wanafungua migahawa yao na supermarket zao yale majengo na ardhi wameyanunua kabisaa.............sasa hapo ndio kivumbi kinapoanzia.........sisi tumelala yoyo wenyewe wanapiga pesa...........
 
I'm not pinning ish.

Nilisema hapo juu sera zinachangia pamoja na population growth isiyo na tija. Population inayoongezeka exponentially kuliko uwezo wenu ni hasara. Nigeria ina uchumi mkubwa Africa as well as population kubwa, wanapiga mark time tu. Botswana uchumi unakua huku population ipo pale pale wanaendelea, you see the difference? Leo hii DSM ina watu wengi kuliko Chicago, hata serikali ijenge DSM vp miundombinu itazidiwa tu.

I can legitimately argue that Nyerere did a better job economically than any other president, given the challenges he had to navigate. Wengi mnaangalia shortcomings zake bila kuangalia changamoto he faced ambazo wengi mnazijua juu juu tu if mnazijua at all.

Endelea kutofuatilia ili upigwe vizuri na usilalamike pia.

"I can legitimately argue that Nyerere did a better job economically than any other president"

☝️☝ Back this up
 
Kwani majasusi wetu wa kiuchumia wanasemaje na wamejiandaje?
Wanasema Mbowe na Lisu,we acha tu ndugu yangu,ujasusi wa hapa ni wa vyeo tu.Ukiua kiwanda unapewa cheo,ukitukana kiti unapotea au kufungwa kabisa
Unaanzisha kiwanda halafu watching wanaleta bidhaa hiyo hiyo japo feki kwa bei ta kutupa na hawalipi kodi stahiki
Nimeskitika maana kuna kiwanda niliwahi kufunga baada ya wachina kuleta bidhaa feki na kwa bei ya chini,nikiumia haswa,vijana walilia kabisa
 
Iko hivi madalali wa kichina wana watu wao.. Wanawalipa 1M kwa ajili ya kusimama kama wanunuzi.. Kisha wakishanunua ndio wanasajili kampuni na kumpa mbongo adilimia chini ya kumi
Baada ya hapo wanantafuta mteja atakayekwendwa TIC ..
Basi ardhi bado iko chini ya Mtz.
 
Wachina wakiwa wengi nchi yoyote wanaeka police center yao walianza marekan ila kule wanajielewa wakawafatilia,,,wakaja Zambia sasa wanajuta huko baadhi ya restaurant wao wanawabagua waziwazi, hawa watu wanampango wa kuitawala Africa siku moja,,, hawa wafungwa walioletwa kujenga wanaacha damu zao maksud ili baadae iwe rahisi kutawala,,,huko Uganda wanaona sifa kuzaa nao huku pia baadhi ya maeneo kuna blasians
Uganda machotara wa kichina wengi sana mimi mpaka kuna mmoja nimebahatika amenizalia mtoto
 
Mao alimwambia Nyerere anaomba amletee wachina laki moja, Nyerere akasema Kama ni urafki bora ufe, sasa kina Mangungo wanaletewa wachina laki tano, almost kabila zima jipya linaongezeka, wanashangilia
 
acheni ushamba, kwani wakija, wanachukua pesa zenu mfukoni, fanyeni kazi, dunia hii ni ya wote, wakija wataanzisha biashara, zinaleta mzunguko wa pesa na kodi na vitu vinapatikana kwa bei rahisi. acheni waje walete na ustaarabu, tangu mmebaki peke yenu mmefanya nini la maana zaidi ya siasa chafu na uzinzi tu.
 
Ni ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe. Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno

Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu. Migodi hivyohivyo, Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure. Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10

Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu. Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo

Je, baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini? Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana

Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Baada ya vizazi vitatu vijavyo tutakuwa na nyumba za kufanyia ibada kwenye mitaa yote nchini
Ni ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe. Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno

Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu. Migodi hivyohivyo, Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure. Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10

Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu. Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo

Je, baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini? Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana

Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Baada ya vizazi vitatu vijavyo tutakuwa na nyumba za kufanyia ibada kwenye mitaa yote nchini . Tutakuwa tumefikia wetu mil 150, Huku watanganyika wakiwa wanakesha misikitini na makanisani na kupigania dini waliezoletewa na wazungu na waarabu badala ya kupigania rasilimali walizopewa na Mungu Muumbaji .
 
Mchina ni mkoloni mpya anayejitetea kwa kigrzo cha kutoa ajira ya sh 6000/=Kwa siku hii ni hatari.Yaani Mungu atusaidie,maana wanasomba kila wanachoona kinawafaa.
😄Serikali yenu inafanya nini kuhusiana na hiyo hali, au wao wakishahongwa huko juu inatosha.
 
acheni ushamba, kwani wakija, wanachukua pesa zenu mfukoni, fanyeni kazi, dunia hii ni ya wote, wakija wataanzisha biashara, zinaleta mzunguko wa pesa na kodi na vitu vinapatikana kwa bei rahisi. acheni waje walete na ustaarabu, tangu mmebaki peke yenu mmefanya nini la maana zaidi ya siasa chafu na uzinzi tu.
Heri yako wewe BOYA umeongea
 
Back
Top Bottom