25000q JF-Expert Member Joined Dec 27, 2022 Posts 4,805 Reaction score 3,762 Jan 18, 2023 #61 Frank Wanjiru said: Hizo sio akili za mtu anaejitambua. Click to expand... huyu nadhani atakuwa anaishi kwao au kwa shemeji
Frank Wanjiru said: Hizo sio akili za mtu anaejitambua. Click to expand... huyu nadhani atakuwa anaishi kwao au kwa shemeji
25000q JF-Expert Member Joined Dec 27, 2022 Posts 4,805 Reaction score 3,762 Jan 18, 2023 #62 Mpinzire said: Hahaha PELICAN huyo au nani? Pepsi Dar ukifanya kazi masaa 12 unalipwa Tsh 7,800/= per day Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... bado ni unyojaji tu
Mpinzire said: Hahaha PELICAN huyo au nani? Pepsi Dar ukifanya kazi masaa 12 unalipwa Tsh 7,800/= per day Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... bado ni unyojaji tu
H herikipaji JF-Expert Member Joined Aug 23, 2016 Posts 1,198 Reaction score 1,369 Jan 18, 2023 #63 25000q said: bado ni unyojaji tu Click to expand... Ni utumwa kabisa unaendelea huko. Watu wanateseka ni kama jela tu. Unaeza kujiuliza hivi hapa kuna serikali inaongoza nchi kweli au ni Somalia?
25000q said: bado ni unyojaji tu Click to expand... Ni utumwa kabisa unaendelea huko. Watu wanateseka ni kama jela tu. Unaeza kujiuliza hivi hapa kuna serikali inaongoza nchi kweli au ni Somalia?
25000q JF-Expert Member Joined Dec 27, 2022 Posts 4,805 Reaction score 3,762 Jan 19, 2023 #64 Hat-Trick said: Ni kweli TRA inawabana tawi la mbeya tu? Wakati kampuni moja inaviwanda zaidi ya 3 Tanzania vibarua wale wale hulipwa zaidi kwa maeneo mengine. Click to expand... viwanda viote tanzania vinanyonyo watu
Hat-Trick said: Ni kweli TRA inawabana tawi la mbeya tu? Wakati kampuni moja inaviwanda zaidi ya 3 Tanzania vibarua wale wale hulipwa zaidi kwa maeneo mengine. Click to expand... viwanda viote tanzania vinanyonyo watu
25000q JF-Expert Member Joined Dec 27, 2022 Posts 4,805 Reaction score 3,762 Jan 19, 2023 #65 Retired said: Nani alimpigia kura Tulia? Click to expand... tulia alipitishwa na magufuli kwa nguvu sio kura
Retired said: Nani alimpigia kura Tulia? Click to expand... tulia alipitishwa na magufuli kwa nguvu sio kura
25000q JF-Expert Member Joined Dec 27, 2022 Posts 4,805 Reaction score 3,762 Jan 19, 2023 #66 Chen Hu said: Hata hapa dar kuna watu viwandani wanalamba buku 6 kwa kutwa kwa kazi za viwandani, hamna kupumzika hapo. Unakuta wewe una usingizi but mashine inazunguka tu. Click to expand... viwandani bado kuna utumwa tena mbaya sana waziri wa ajira na vijana kauchuna tu unachukua chake mapema tunamalizana sisi kwa sisi
Chen Hu said: Hata hapa dar kuna watu viwandani wanalamba buku 6 kwa kutwa kwa kazi za viwandani, hamna kupumzika hapo. Unakuta wewe una usingizi but mashine inazunguka tu. Click to expand... viwandani bado kuna utumwa tena mbaya sana waziri wa ajira na vijana kauchuna tu unachukua chake mapema tunamalizana sisi kwa sisi