Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Niko nae DSM mkuuNina dawa ya Mba ambayo mtumiaji asipopona huwa narudisha hela.
Mlete nimpe dawa hazitarudi ever. mumu kwani yuko mkoa gani mgonjwa?
Dawa ninayo ni locally made tena ya uhakika kabisa na inamaliza na ataumwa tena Mba katika maisha yake. Uzuri wa hii dawa mabadiliko ni ndani ya siku nne tu.Niko nae DSM mkuu
samahani mkuu, hii kliniki bado ipo? tafadhali toa direction ya LUTHER HOUSE. nina tatizo la mba (dandruff) kichwani mwangu tangu mwaka 1988.Kwa ushauri na Tiba yenye akili, nenda pale LUTHER HOUSE kuna clinic ya magonjwa ya ngozi, utampata mtaalam aliyebobea (Dermatologist), au unaweza kwenda TUMAINI HOSPITAL upanga matatizo yako yataisha.
Asante kwa taarifa hii nyeti mkuu kwani nimeishateseka na tatizo la dandruff tangu 1988 hadi nimekata tamaa.Namimi naunga hoja >100% kama wah. waliotangulia kwa ku-recomend Prof. Massawe (Upanga karibu na MUHIMBILI), Dr Mboneko (Luther House), Dr Mgonda (MNH), Dr Bakari (MNH), hao wataalam pia utawakuta ukienda TUMAINI HOSP. pale Upanga karibu na makao makuu ya JWTZ.
Put it in English please!Habari za zenu wapendwa...
Nauliza nani anafahamu dawa ya Utango tango..?
Kwa english sijui kwakweli.Put it in English please!
shingoni vimenitoka gaflaZipo wapi izo tango, kuna dawa moja nnayo ni ya kupaka,..ni nzuri ilinisaidia Sana nkifika homu ntakutuma jina,..
shingoni vimenitoka gafla
Dactari wangu namtoa wapi ndugu[emoji23]Inaitwa Whitfield's ointment ila kwa ushauri zaid mwone daktar wako wa ngozi..
Tafuta fundi wa magari akupemafuta ya break