Ujue ukweli kuhusu NASA

🤔🤔🤔🤔🤔
Hamna haja ya kuchemsha ubongo hapo!
Siri imefichuka NASA ni taasisi ya siri ya mmarekani ya ku-testia makombora ya masafa marefu.
Mimi ni team USA daima ila haka ka siri lazima kafichuliwe bwana.
 
Nimeishia hapo kwenye hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga kwenda mwezini

Nyie wenzangu mmeishia wapi?
NASA inajihusisha na tafiti nyingi za anga na anga za mbali. Tafiti za siri pia za kijasusi kama nchi nyingine.
Kuhusu mwezini mleta mada kachemka..
 
Daah mwanangu huna akili kabisa yaani..
 
Yaan kuanzia salutations, title head, main body, vipo sawa Ila ulipofika karibu na Conclusion tu ndio maharage yakaanza kurukaruka kichwani ukanza kunya kunya huaro tu unafanya JF nzima inanuka huaro kwa ulichoandika, acha nisiendelee kuandika
 
Kwa kuangalia huu uelewa wa Wakili unaweza kuona kabisa Ni kwanini kule Kenya watu wameambiwa wafunge Hadi wakafa au Ni kielelezo tosha kwamba Mwamposa hatakosa watu wa kumchangia pesa ajenge hoteli.
 
Kwa kuangalia huu uelewa wa Wakili unaweza kuona kabisa Ni kwanini kule Kenya watu wameambiwa wafunge Hadi wakafa au Ni kielelezo tosha kwamba Mwamposa hatakosa watu wa kumchangia pesa ajenge hoteli.
Kwenye mambo yanayohitaji akili nyingi kama haya,hatutaki watu wanaokurupuka kutoka usingizini na kama nyie.Hapa ni ma-genius tu ndio wanaoshiriki.
 
Yaan kuanzia salutations, title head, main body, vipo sawa Ila ulipofika karibu na Conclusion tu ndio maharage yakaanza kurukaruka kichwani ukanza kunya kunya huaro tu unafanya JF nzima inanuka huaro kwa ulichoandika, acha nisiendelee kuandika
Mimi ni genius, wewe ni kilaza mkubwa kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…