Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni afisa usalama wa taifa.
NASA inajihusisha na tafiti nyingi za anga na anga za mbali. Tafiti za siri pia za kijasusi kama nchi nyingine.Nimeishia hapo kwenye hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga kwenda mwezini
Nyie wenzangu mmeishia wapi?
Swali zuriNaomba unijibu mbona wanaodai kwenda mwezini sio NASA tu na nchi nyingine kama urusi,china n.k hapo napo unasemaje?
na kama wanahadaa pia ina maana walikaa wote chini wakaamua kuficha ukweli?
Daah mwanangu huna akili kabisa yaani..Heshima kwenu wote humu ndani.
Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.
Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.
Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.
Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.
Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.
The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
Nakaribisha maswali
View attachment 2601396
Punguza chuki binafs mla nguruweBakwata bana mshaanza.....
Kwenye mambo yanayohitaji akili nyingi kama haya,hatutaki watu wanaokurupuka kutoka usingizini na kama nyie.Hapa ni ma-genius tu ndio wanaoshiriki.Kwa kuangalia huu uelewa wa Wakili unaweza kuona kabisa Ni kwanini kule Kenya watu wameambiwa wafunge Hadi wakafa au Ni kielelezo tosha kwamba Mwamposa hatakosa watu wa kumchangia pesa ajenge hoteli.
Mimi ni genius, wewe ni kilaza mkubwa kwangu.Yaan kuanzia salutations, title head, main body, vipo sawa Ila ulipofika karibu na Conclusion tu ndio maharage yakaanza kurukaruka kichwani ukanza kunya kunya huaro tu unafanya JF nzima inanuka huaro kwa ulichoandika, acha nisiendelee kuandika