Ujue ukweli kuhusu NASA

Mleta mada fanya kazi upate hela ya kula kwanza, haya mambo ni makubwa sana kwa akili yako ndogo y kutafuta ugali.

Unakijua kisiwa cha Alaska? Kilikuwa ni kisiwa ch Russia kabla ya kuuzwa kwa Marekani na kinapakana na Russia. Kama dunia ni Flat inakuaje kiwe karibu na Urusi wakati urusi iko mashariki zaidi na chenyewe kipo west zaidi?
 
Niwe mkweli tu, ni bora kudanganywa na NASA kuliko mchizi wa Manzese.
 
Unakijua kisiwa cha Alaska? Kilikuwa ni kisiwa ch Russia kabla ya kuuzwa kwa Marekani na kinapakana na Russia. Kama dunia ni Flat inakuaje kiwe karibu na Urusi wakati urusi iko mashariki zaidi na chenyewe kipo west zaidi?
Huna akili.
 
Wewe ni wale wakristo brain washed kabisa na akina Kibwetere au Mchungaji Mackenzie akikuambia funga ufe uende Mbinguni naamini utafanya hivyo. Ongeza akili zako!
Kwahiyo unaamini DUNIA NI YAI? [emoji1787]
 
VERY GOOD.

Haya MANYUMBU yaliyosoma SENTI KAJAMBA hayawezi kuelewa hizi akili kubwa.

Wao ni KULA, KUJAMBA na kushabikia MPIRA WA YANGA.
 
Isijekuwa ww ndie unastahil kwenda milembe, msomi wa kwel husikiliza jambo huchuja na kutoa facts zake na sio kupanik wala kuhukum, toa facts acha UPUMBAVU
Hao ni MAZOMBI yaliyokwisha kuwa PROGRAMMED.

Hayaambiliki, ni kama CORRUPTED FILES.

Mtu kasoma JOGRAFE kwa miaka kumi alishakaririshwa DUNIA NI YAI, huwezi kumwambia vinginevyo.

Tena ukute ndio INJINIA WA MITARO [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yooh!
 
Very good.

Mwaga mchele angalau haya MANYUMBU yadonoe donoe kidogo.
 
Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.
Doh!
Kama ubao eeh?
Upande wa pili wa huo ubao kuna nini?!!

Cult huanza kwa imani tatanishi zitokanazo na maelezo tata kama ya huu uzi
 
Uchambuzi usio na references ni bure. I bet you don't have both geographic and physics knowledge at all.
 
Kwahiyo unaamini DUNIA NI YAI? [emoji1787]
Siamini tu bali najua kuwa dunia ni duara kama ulivyo mwezi, jua na sayari. Visivyo na umbo duara huko angani ni small heavenly bodies kama comets na asteroids ambazo hazina muda mrefu tangu ziwe formed. Sayari zipo nyingi na nyingine huonekana kwa macho matupu anga likiwa clear.
 
Nimecheka sana coz jana tu nimetoka kukagua madaftari ya dogo nikakutana na evidences to prove the sphericity of the planet Earth. Sasa tupe na za kuonesha dunia ni flat tukuamini mbwa wewe.
 
Halafu unajiita wakili...!?
Acha Law School wawalambe vichwa tu.
 
Wewe ni wale wakristo brain washed kabisa na akina Kibwetere au Mchungaji Mackenzie akikuambia funga ufe uende Mbinguni naamini utafanya hivyo. Ongeza akili zako!
Mimi genius.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…