Ni kweli kabisa watu hawajui kuwa hii dunia bado inasiri kubwa na inaongozwa na wahuni walioamua kuifanya dunia watakavyo.
Elimu tusomazo ni uongo by90%, how? Baada ya vita hizo mnazoita vita za dunia kumbe bi vita za wazungu, waliamua kuunda mifumo mipya ya kuicontrol dunia na kugawa matabaka na tawala mbalimbali bila kusahau milki na mipaka ya nchi, huku baadhi ya mambo ama elimu za baadhi ya mambo zikiwekwa kama elimu kwa baadhi ya watu kulingana na matabaka yao.
Na kuna mambo mtu wa kawaida hutakiwi kuyajua kwa mujibu wao, hivyo ni jukumu lao kuhakikisha bloodline ya watu walio kwnye circle ya kutokujua haya mambo waendelee kutoyakua tokea kuzaliwa mpka kufa na vizaz vyao vyote, ila tu kwa wale waliochaguliwa kuyajua hayo mambo ambao nao wako ktk hio circle ya kuyajuwa hayo mambo kulingana na level za kinguvu ktk uhusika wa hizi jamii za hawa wahuni.
Mambo ambayo wanatumia kuhakikisha mtu wa kawaida ama ambaye hayuko ktk circle ya kuzijua hizo elimu ni kupitia
[emoji117] Shule
mtoto anapozaliwa tu anapewa hizi elimu zetu za uongo uongo na historia za uongo kumfanya asitoke nje ya mfumo wa kimaisha wa kuujua ulimwengu kwa kumpandikiza mindset za kijinga na kitumwa za kuaminishwa kila jambo la kisayansi na technolojia za uongo.
[emoji117]dini, hapa ndipo walipowaweza watu na kuwakamata wengi kwa kuwaaminisha kuwa dini ndio chanzo cha mtu kumjua Mungu, na usipokuwa na dini basi wew ni mpagani na mtu wa motoni, hivyo dini zikawekwa kuwafanya watu watumwa wa agenda fulan zinazowafanya watu wawe limited kimawazo, kiakil, kiroho na kinguvu yaan wasifikir nje ya mifumo na mipaka ya dini(Mind-control) hivyo basi huu nao ni mtego ama gereza la kuwapofusha watu akili litumiwalo na hao wachache wasiotaka watu wasio ktk circle yao waujue ukweli nje ya hizi imani za kidini.
[emoji117]Media, hizi ni baadhi ya njia watumiazo kusambaza propaganda, uongo, uzushi, makala za uongo, historia za uongo, na mengi ya hovyo, lengo kuwafanya watu wasio wa mlengo wao kuaminisha yale waliyowadanganya tangu utoton kuwa ni kweli pia kuyakazia mafundisho yao ya uongo ya kidini na elimu zao za uongo,
[emoji117]Sanaa za muziki+mpira
Hapa hata sizungumzii kitu maana kuna watu hata humu hawawezi kuitaja mikoa 20 ya Tanzania lkn wanaweza kuwataja wachezaji wa kikosi kizima cha simba na yanga ambayo haina msaada ktk jamii zaidi ya kuwaweka bize na mambo ya msingi na kuwapotezea muda, hapa wale wahuni ndio wanaosapot vzr sana hiz mambo ya burudan kwa kuwafanya hawa watoa burudan kama kioo cha jamii na mifano ya jamii, hili lote ni kuifanya jamii isiyo ktk circle yao iwe bize na maupuuzi ya mamipira.
[emoji117]Nirudi kwenye point.
Baada ya hawa wahuni kuweka hii misingi yao ndipo sasa walioamua hata kuifanya jamii ione Dunia ama huu ulimwengu uko vipi na vitu vipi vinavyouunda huu ulimwengu.
Hushangai kwann USA+Russia+China n.k hizi nchi hazipatan lkn linapokuja suala la Technolojia ya Anga huwa wapo pamoja?, Jiulize kwanin, hawa wote kiukweli wanajuana vzr na hawa ndio maadui zetu wakuu ambao ndio waliosuka mipango ya uongo kuhusu Umbo la dunia na ramani nzima ya dunia bila kusahau Elimu nzima ya anga.
[emoji117] Dunia sio mviringo
[emoji117] Dunia haina mabara 7
[emoji117] Dunia inaundwa na bara moja tu ambalo ni Afrika na hayo mengine waitao mabara ni vijisehem vya ardhi vilivyomeguka ktk Bara la Africa hapo zamani(Pangea) na kuunda viji ardhi vingine.
[emoji117] Dunia haizunguki wala haitembei, bali jua ndilo huizunguka dunia pia mwezi vivyo hivyo.
[emoji117] Jua sio nyota wala jua haliko umbali waliotuaminisha, vile vile jua ni dogo kulko hata umbo la dunia.
[emoji117]Hakuna chombo chochote kilichowai kutoka ktk anga la dunia, wala hakuna aliyewai kutoka nje ya anga la dunia, hata hizo parachuti zao wanazoziita satellite zinaelea ktk anga hili hili na si nje ya anga la dunia, kwanin? Kwasababu hicho kitu wanachoita space, ni uongo na elimu nzima kuhusu Gravitation force ni uongo na uzushi uliotungwa kutetea elimu ya uongo.
[emoji117]hiyo michezo yao ya kurusha satellite nje ya dunia haijawai kufanikiwa wala hiyo michezo ya kurusha rocket nje ya dunia haijawai kufanikiwa zaid ya kuangushwa huko mnakoita bahar ya shetan a.k.a Bermuda triangle [emoji1787][emoji1787].
[emoji117]pia hata zile picha za sayari na mwezi mnazoaminishwa , zile nazo zimetengenezwa hapa hapa dunian huko majangwa ya Arizona na area51 ambako hawataki mtu yeyote aingie kwa kuwaisha kuwa kuna aliens kumbe kuna makambi ya kijeshi kulinda studio zao za kutengeneza mapicha yao ya uongo kuhusu dunia.
[emoji117]Hii michezo inajulikana na wengi tu hata wao wanajua ni wengi wanajua basi tu Nguvu waliyoitumia kuwaaminisha UONGO, watu wengi tangu utotoni NGUVU HIYO ni ngumu sana kupindua meza na uongo wao kuwa peupe, ndiomaana hawaishi kuleta uzushi wa kuendelea kuutetea uongo wao.
Niishie hapa watu wasiopenda kujifunza nje ya box watachanganyikiwa bure[emoji1787].
View attachment 2601925