Ujue ukweli kuhusu NASA

So unataka kutuambia Galileo Galilei darubini aliyoitengeneza ilimdanganya? Ilikuwa Karne ya 15 hata kabla Marekani haikuitwa Taifa.
 
Dini yako inakuharibu Wakili
 
Huna akili.
 
Niwe mkweli tu, ni bora kudanganywa na NASA kuliko mchizi wa Manzese.
Kwahiyo mimi ni chizi manzese!
Nitakuvunja vunja kama mawe, nina hasira zaidi ya Simba,nikikukamata nikiwa na bastols yangu aina ya barreta, nitakukwanyua fuvu lote kama tulivyomfanyia rais Kennedy.
 
Hapa mzee umetudanganya... hata mtoto wa darasa la kwanza hadanganywi kizembe hivi
 
Kwahiyo mimi ni chizi manzese!
Nitakuvunja vunja kama mawe, nina hasira zaidi ya Simba,nikikukamata nikiwa na bastols yangu aina ya barreta, nitakukwanyua fuvu lote kama tulivyomfanyia rais Kennedy.
Hahahahah! unavyokasilika sasa, na hiyo bastola nani hana? na utampatia wapi?



TAFUTA PESA makasiliko sio solution.
 
wajinga Watakubishia ila hicho unachosema ni Ukweli wa Asilimia 100, Earth is Flat Na kuhusu kwenda mwezini nayo umesema ukweli hakuna aliyewahi kwenda mwezini wala hakuna mtambo wowote unaoweza kukanyaga mwezini.

Watu wasichokijua ni kwamba mwanadamu kapewa Leseni na Hati miliki ya kuzunguka hii dunia atakavyo ila Sio kwenda mwezini wala kweny Jua au nyota hiyo haiwezekani.

Hata kam watakupinga uzi mzima ila mi naujua huu ukweli kitambo sana na Nina evidence kibao sema naona uvivu kuanzisha uzi kuelezea hayo mambo maan ni Mengi mno sku nkifungua uzi ntakutag Ndugu yangu Wakili ila wakuamini kwa evidence wanazozitaka.
 
The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
Hata kama ulikuwa unajaribu kumconvis mtu akuamini akifika hapa anaghair.
 
NAKAZIA HAPA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…