Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So unataka kutuambia Galileo Galilei darubini aliyoitengeneza ilimdanganya? Ilikuwa Karne ya 15 hata kabla Marekani haikuitwa Taifa.Heshima kwenu wote humu ndani.
Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.
Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.
Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.
Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.
Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.
The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
Nakaribisha maswali
View attachment 2601396
sawa, leta ushahidiThe Earth is flat.
Dini yako inakuharibu WakiliHeshima kwenu wote humu ndani.
Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.
Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.
Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.
Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.
Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.
The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
Nakaribisha maswali
View attachment 2601396
Huna akili.Siamini tu bali najua kuwa dunia ni duara kama ulivyo mwezi, jua na sayari. Visivyo na umbo duara huko angani ni small heavenly bodies kama comets na asteroids ambazo hazina muda mrefu tangu ziwe formed. Sayari zipo nyingi na nyingine huonekana kwa macho matupu anga likiwa clear.
Huna akili.Jibu swali we pimbi.
Kwahiyo mimi ni chizi manzese!Niwe mkweli tu, ni bora kudanganywa na NASA kuliko mchizi wa Manzese.
Hahahahah! unavyokasilika sasa, na hiyo bastola nani hana? na utampatia wapi?Kwahiyo mimi ni chizi manzese!
Nitakuvunja vunja kama mawe, nina hasira zaidi ya Simba,nikikukamata nikiwa na bastols yangu aina ya barreta, nitakukwanyua fuvu lote kama tulivyomfanyia rais Kennedy.
Wewe dada unacheka nini humu?
Shkamoo Kijana wa samiaZa kuambiwa changanya na za kwako...
Hata kama ulikuwa unajaribu kumconvis mtu akuamini akifika hapa anaghair.The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
NAKAZIA HAPADunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars..""
, ----____________________________
Yaan ulipofikia hapa nikashindwa Namna ya ku kupata ili nikusaidie haraka sana kukupeleka milembe, tukikuacha unaweza kuatarsha usalama wa majiran na Familia yako
Huwezi kuona mwisho sababu ya ukubwa wake.Kama ni flat Kwa nn hatuoni mwisho,
Unao uthibitisho juu ya kinyume chake ?uzi mzuri ila hapa ndiyo umeharibika
Kwahiyo unakubali kuna mtu aliwahi kufika mwezini ?Nimeishia hapo kwenye hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga kwenda mwezini
Nyie wenzangu mmeishia wapi?