Ujue ukweli kuhusu NASA

Ujue ukweli kuhusu NASA

Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars..""
, ----____________________________
Yaan ulipofikia hapa nikashindwa Namna ya ku kupata ili nikusaidie haraka sana kukupeleka milembe, tukikuacha unaweza kuatarsha usalama wa majiran na Familia yako
Wewe hujui chochote.
 
Yaan ulipofikia hapa nikashindwa Namna ya ku kupata ili nikusaidie haraka sana kukupeleka milembe, tukikuacha unaweza kuatarsha usalama wa majiran na Familia yako
Kwahiyo na wewe unaamini kwamba DUNIA NI YAI linalozunguruka angani kwa mwendokasi?
 
Wahi dawa zako mkuu..milembe wapo wazi mpaka saa 2 usiku.
Na wewe wahi kavute bangi zako,ila nikuonye tu mimi ni afisa usalama wa taifa na tunawasaka kwa udi na uvumba tuwatie kwenye 18 zetu wavuta bangi wote, nakuapia hautapona risasi ya moto inakungoja.
 
Naomba unijibu mbona wanaodai kwenda mwezini sio NASA tu na nchi nyingine kama urusi,china n.k hapo napo unasemaje?


na kama wanahadaa pia ina maana walikaa wote chini wakaamua kuficha ukweli?
Ni mtandao wa NASA huo.
 
Leo lazima wakutane na ukweli, mpaka waelewe na kutoka gizani.
Naona umetayarisha fimbo za kutosha,,Kila anayenyanyua kichwa unae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanapotaka kwenda anga za mbali lazima Engine wakodi Toka Urusi,,,je panasiri hapo kuwa wanapeleka siraha?
 
Naona umetayarisha fimbo za kutosha,,Kila anayenyanyua kichwa unae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanapotaka kwenda anga za mbali lazima Engine wakodi Toka Urusi,,,je panasiri hapo kuwa wanapeleka siraha?
Ndugu NASA ni wajanja mno,mimi simshabikii mrusi,No! Mimi napenda Mmarekani ashinde vita zote.
Ishu ni moja tu hii siri ni muhimu watu waijue.
 
Back
Top Bottom