Ujue ukweli kuhusu NASA

Ujue ukweli kuhusu NASA

NASA inajihusisha na tafiti nyingi za anga na anga za mbali. Tafiti za siri pia za kijasusi kama nchi nyingine.
Kuhusu mwezini mleta mada kachemka..
Mimi ni genius najua kila kitu.
 
Kwenye mambo yanayohitaji akili nyingi kama haya,hatutaki watu wanaokurupuka kutoka usingizini na kama nyie.Hapa ni ma-genius tu ndio wanaoshiriki.
Sawa ndugu Wakili.
Leo umenielewesha kwamba sayari Ni moja tu.
 
Ni mtandao wa NASA huo.
Hahahahah! hapa sasa naona tunaanza kushikana masikio

Haya, NASA ya USA ina uhusiano gani na urusi au china wakati unaona yapo mambo mengi hawaelewani na wanapingana. Ndio watakuja kuwa wamoja kwa hiko kitu..??


Try to be serious please!
 
Hahahahah! hapa sasa naona tunaanza kushikana masikio

Haya, NASA ya USA ina uhusiano gani na urusi au china wakati unaona yapo mambo mengi hawaelewani na wanapingana. Ndio watakuja kuwa wamoja kwa hiko kitu..??


Try to be serious please!
Niko serious ndugu.
 
Kwenye mambo yanayohitaji akili nyingi kama haya,hatutaki watu wanaokurupuka kutoka usingizini na kama nyie.Hapa ni ma-genius tu ndio wanaoshiriki.
Km hujasikia tangazo usotoe taka zako ndani
 
Mamarekani anafanya majaribio kote, kama nchi nyingine zinazopingana na Mmarekani zinafanya hivyo, jua kabisa wameiga kutoka kwa mmarekani.
Kuiga sio chanzo cha wao kuwa mtandao mmoja wanaweza hata wakawa wanaiga kisiri siri bila marekani kujua
 
Namshukuru Mungu wa mbinguni amenipa akili nyingi sana na ujuaji mwingi, na toka nizaliwe sijawahi kushindwa na mtu.
Aaah wapi tuonyeshe umevumbua nini Cha zaidi mpaka sasa ? Acha kua na kiburi Cha uzima
 
Ni hivi, mimi ni noma wa noma zoote ambazo ushawahi ziona na kuzisikia.
Wewe kwangu ni kilaza wa kiwango cha lami.Mimi ni genius.
Yawezekana wewe ni genius wa vilaza wenzako

Karine hi ya Leo bado haujui kuwa Dunia ni duara

Kama Dunia ni flat Kwa Nini sahizi Morocco ni mchana?

Kama Dunia ni flat kile kivuli Cha duara kinachoonekana mwezi unapokamatwa ni kivuli Cha Nini kile?
 
Aaah wapi tuonyeshe umevumbua nini Cha zaidi mpaka sasa ? Acha kua na kiburi Cha uzima
Mimi ni noma wa noma zoote ambazo umeshawahi kuziona na kuzisikia.
Mimi ni mwanajeshi na afisa usalama wa taifa.
 
Back
Top Bottom