Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Km hujasikia tangazo usotoe taka zako ndani,Acha matusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km hujasikia tangazo usotoe taka zako ndani,Acha matusi.
oooh! Nipe majibu sasaNiko serious ndugu.
Heshima kwenu wote humu ndani.
Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.
Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.
Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.
Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.
Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.
The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
Nakaribisha maswali
View attachment 2601396
Kwa hiyo wameiga uongo wa Marekani wa kupeleka mtu mwezini ?Mamarekani anafanya majaribio kote, kama nchi nyingine zinazopingana na Mmarekani zinafanya hivyo, jua kabisa wameiga kutoka kwa mmarekani.
Kapustin yarHeshima kwenu wote humu ndani.
Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.
Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.
Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.
Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.
Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.
The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
Nakaribisha maswali
View attachment 2601396
Unaijua rainbow? Umbo lake ni la upinde.Haya hamia kwa urusi utuambie sputnik nayo ilikuwa kombora masafa marefu.. kisha utuambie Russian Soyuz nayo ni kombora linaelea kule angani linasubiri kulipuka.. na infact utuhakikishie kabisa kuwa marekan, canada, UK japan na ujeruman nao wakarusha mabom yao yakaenda kuungana na Soyuz la mrusi kisha kuona mabom yameungana yote wakaamu kutoa jina moja wanayaita ISS sasa mabom yote yanazunguka dunia kila baada ya dakika 90
Tuambia na sa hv marekan wamempa Elon Musk lesen anatengeneza space shuttle na amesharusha moja angan tayar
Malizia na kutuambia china nae alirusha kombora lake linaitwa shenzhou mwaka 2003
Yaan tuaminishe kabisa sababu ww ni mtaalam kuwa hakuna human space flight na haitawa kutokea ila wanatujazia Mabom tu huko angan
Halafu onyesha utaalam wako wa kutuambia jinsi jua na mwez vinavyozunguka dunia iliokuwa na umbo la Sahan (flat) . Na tunawezaje kupata usiku na mchana..
Tuambie mkuu mwamba mwenyewe mtaalam wa hiz mambo 🙂
How ying & yang occur?Unaijua rainbow? Umbo lake ni la upinde.
Sasa basi jua kua rainbow inavyo-occur in reflect the dome,which is the firmament.
Unachokiona angani cha Bluu, sio mawingu bali ni firmament, na mawingu yote ni meupe tu.
Turejee kwenye swali lako:
DUnia ni flat na bahari imekingwa na kuta za barafu zinazoitwa Ice wall.
Jua na mwezi viko pande mbili ambazo ni East and West. Mwezi unazunguka dunia pamoja na jua kwa mfumo wa Ying & Yang. Hapo ndipo tunapopata usiku na mchana.
Nilichotaka kusema, mbona nimeshakisema, au haujaelewa?Kwahiyo unataka kusema nini?
Nje ya Media hizo nchi sio maadui na wala hawapigan bal ni wamoja, ndiomaana technolojia nzima za anga wanatengeneza kwa kutegemeana na kugawiana ujuzi na vifaa, hii yote ni nguvu moja iliyotumika kuudanganya ulimwengu na itaendelea kutumika, usishangae siku hata Tanzania ikaja kuwa miongozn mwa hao watusha vyombo angani.Naomba unijibu mbona wanaodai kwenda mwezini sio NASA tu na nchi nyingine kama urusi,china n.k hapo napo unasemaje?
na kama wanahadaa pia ina maana walikaa wote chini wakaamua kuficha ukweli?
Isijekuwa ww ndie unastahil kwenda milembe, msomi wa kwel husikiliza jambo huchuja na kutoa facts zake na sio kupanik wala kuhukum, toa facts acha UPUMBAVUDunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars..""
, ----____________________________
Yaan ulipofikia hapa nikashindwa Namna ya ku kupata ili nikusaidie haraka sana kukupeleka milembe, tukikuacha unaweza kuatarsha usalama wa majiran na Familia yako
Unaijua ISS? ama nawewe kilaza? Ile ni aina ya chombo cha anga ambacho kimeundwa kwa ushirikiano wa USA na Russia pia na nchi zingine mnazoaminishwa ni maadui, je wajua kwanini?Hahahahah! hapa sasa naona tunaanza kushikana masikio
Haya, NASA ya USA ina uhusiano gani na urusi au china wakati unaona yapo mambo mengi hawaelewani na wanapingana. Ndio watakuja kuwa wamoja kwa hiko kitu..??
Try to be serious please!
Unaijua rainbow? Umbo lake ni la upinde.
Sasa basi jua kua rainbow inavyo-occur in reflect the dome,which is the firmament.
Unachokiona angani cha Bluu, sio mawingu bali ni firmament, na mawingu yote ni meupe tu.
Turejee kwenye swali lako:
DUnia ni flat na bahari imekingwa na kuta za barafu zinazoitwa Ice wall.
Jua na mwezi viko pande mbili ambazo ni East and West. Mwezi unazunguka dunia pamoja na jua kwa mfumo wa Ying & Yang. Hapo ndipo tunapopata usiku na mchana.
Wewe ni wale wakristo brain washed kabisa na akina Kibwetere au Mchungaji Mackenzie akikuambia funga ufe uende Mbinguni naamini utafanya hivyo. Ongeza akili zako!Bakwata? Wewe mpumbavu nini!
Mimi ni genius mkristo safi.