Ujue usanii wa bondia Floyd Mayweather katika pambano lake na Connor McGregory

wanatafuta kutengeneza hela tu, hakuna ndondi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaahaaa....we ndo inaonekana ata kurusha ngumi hujui....may jr anauwezo mkubwa wa kushinda...ILA MIAKA 800 hawez thubuti kupambana kwenye cage ya UFC(ultimamate fighting championship)

Sent using Jamii Forums mobile app
Aende huko MMA kufanya nin,ili iweje,yeye sio mchezo wake,..ila mcgregor ndo kashoboka kumtaka may jr.
 
Kama ndo hivo basi Mimi sitakaa nifuatilie tena hilo pambano. May weather mwenyewe msanii msanii yule, na sina hakika kama ni kweli alimpiga Pacquiao ktk lile pambano.

Sent using Jamii Forums mobile app
haujui mchezo wa ngumi fuatilia michezo mingine tu inatosha.


Yaani katika ma boxers ambao hawakumpa changamoto Floyd, Pacquiao ni miongoni mwao.
 
hawa watu kma Floyd Mayweather ndio wamefanya boxing idharaulike nlipoteza mda wangu bure kwenda kuangalia fight yake na Mann Pacyao nika ambulia kuona upuuzi tu in short Floyd Mayweather ni msanii tu kma mrisho mpoto
sio lazima ufatilie ngumi, hauzielewi, fuatilia michezo mingine tu inatosha.
 
mkuu, hivi vitoto vimeanza kumjua Floyd alipocheza na Pacquiao, ndio maana references zao zipo hapo tu.


Huyo Manny Pacquiao ni bondia mdogo sana kwa Floyd hata warudiane mara mia Floyd bado atashinda tu.


Bondia wa kumpiga Floyd alikuwa Miguel Cotto au yule El Chino (Marcus Maidana)


Katika maisha ya boxing Floyd hajawahi kupigwa idadi kubwa ya ngumi kama alizopigwa na Maidana.


Na Cotto, ingawa Floyd alishinda bila ubishi ila alipokea ushindani mkubwa sana na alivuja damu kwa siku kadhaa baada ya pambano.
 
All.in all haya mapambano ya uzeeni ya maywether ni ya kupangwa ....mshindi anajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Floyd mapambano yake ya mwisho yalikuwa

1)na Marcus Maidana (2014)

2)Manny Pacquiao (2015)

3)Andre Berto (2016)

4)CONOR McGregor (2017)

haya taja mapambano yapi unayozungumzia wewe halafu kawangalie hao wapinzani wake kama wa kawaida ukimtoa huyu ngedere Conor McGregor.
 
huna unachokijua kuhusu boxing.
 
hahaahaaa....we ndo inaonekana ata kurusha ngumi hujui....may jr anauwezo mkubwa wa kushinda...ILA MIAKA 800 hawez thubuti kupambana kwenye cage ya UFC(ultimamate fighting championship)

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua tofauti ya boxing na hyo UFC?
Mayweather ana fanya maonyesho ya ngumi.na ndo maana kamchagua mpinzani ambaye hachezi boxing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua tofauti ya boxing na hyo UFC?
Mayweather ana fanya maonyesho ya ngumi.na ndo maana kamchagua mpinzani ambaye hachezi boxing.

Sent using Jamii Forums mobile app
WEE CIWEZI TAJA NCICHOKIJUA...ila kwa kua may jr ni mpiga pesa....amejitaftia mpinzani asiekua proffessional wa boxing...na kwa personalty ya macgregor...ya trash talking..imevuta attention kubwa ITS ALL ABOUT MAKING MONEY JOH

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngumi zilikua enzi ya wakina Tyson sio hawa warembo ngumi gani za kisenge zinaenda raundi kumi na mbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watu msio jua ngumi mnajulikana tu lazima mumtaje Tyson au Pacquiao.


Na kwa taarifa yako Tyson angekuwa na uzito sawa na Floyd halafu wazipige, nakuhakikishia hata ngumi 50 asingefikisha usoni mwa Floyd.
 
Jana kuna kipindi cha sport nimeangalia jana tv1. Mambo ya boxing ya jumuiya ya nchi za Africa. Mtanzania amepigwa kiboya sana mpaka sikukaa nikaamini. Raundi ya kwanza dkk.1: 58s. Mwanaume mzima kaangushwa kwa K.O kama kiroba cha MO sembe.
 
Yaani watu msio jua ngumi mnajulikana tu lazima mumtaje Tyson au Pacquiao.


Na kwa taarifa yako Tyson angekuwa na uzito sawa na Floyd halafu wazipige, nakuhakikishia hata ngumi 50 asingefikisha usoni mwa Floyd.
Wewe naona bado utoto unakusumbua kwanza nenda kapekue historia ya Tyson au Mohamed Ali alafu urudi hapa tuzungumze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata pambano lake na PAC alikua promota vilevile

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Wewe kweli zwazwa, yaani una mfananisha Floyd wa 2010 na Pacquiao wa 2010???


Floyd wa 2010 Pacquiao asingefikisha hata round tano, Floyd alikuwa na kasi balaaa, anarusha makonde ya maana.


Embu tafuta mapambano ya Floyd ya miaka hiyo halafu angalia ya Pacquiao halafu leta mrejesho.


Halafu unataka kudanganya watu kwamba Floyd hajapigana na boxers hatari, nahisi akili yako haipo sawa,

Asilimia kubwa ya Boxers waliopigana na Pacquiao Floyd pia amepigana nao, na hata bondia awe moto kiasi gani akipigana na Floyd anaonekana ni dhaifu sana.

Muangalie bondia kama Canelo Alvarez amepambana mapambano 51 kashinda 49 katoa sare moja na amepigwa moja na Floyd Mayweather.


Alipopigana na Mayweather alionekana bondia dhaifu sana, alipigwa kirahisi sana lakini akikutana na wengine anaonekana moto wa kuotea mbali.
 
Hapo sawa may weather ana ganga njaa.amekuwa kama lipumba.anatuambia anajiuzulu alaf anarud

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…