Ujue usanii wa bondia Floyd Mayweather katika pambano lake na Connor McGregory

Ujue usanii wa bondia Floyd Mayweather katika pambano lake na Connor McGregory

Bondia maarufu duniani floyd mayweather,ambaye amepigana mara 49 bila kupigwa anategemea kuingia ulingoni na mc gregory ambaye sio proffesional boxer na hana rekodi yoyote katika boxing,yeye ni proffesional katika mchezo unaitwa mixed martial artist,(ni mchezo ambao unachanganya ngumi,mateke,kukabana,kudondoshana na vitu kama hivyo. kwanini nasema floyd ni mjanja.Ni wazi kabisa floyd atashinda hilo pambano kwa uhakika wa asilimia 90. kwa sababu zifuatazo

Mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.

May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.

Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.

May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.

Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa​
hili pambano ni kupotezeana mda jamaa anapigwa hilo halipingiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
McGregor ndiye aliyeanza kujigamba kwamba anaweza kumpiga Mayweather. Mayweather akawa anampuuza. Baada ya matchmakers kuweka mpunga mrefu mezani, Mayweather akaona kwanini aache mpunga wa bure? Acheni kumlaumu, anajua kwamba anaingia ulingoni na kuondoka na fedha ndefu bila kuzitolea jasho! Hata ungekuwa wewe usingekataa hela za bure!

McGregor ndiye aliyeanza kujigamba kwamba anaweza kumpigana na Mayweather. Mayweather akawa anampuuza. Baada ya matchmakers kuweka mpunga mrefu mezani, Mayweather akaona kwanini aache mpunga wa bure? Acheni kumlaumu, anajua kwamba anaingia ulingoni na kuondoka na fedha ndefu bila kuzitolea jasho! Hata ungekuwa wewe usingekataa hela za bure!



Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo wengi wanaompuuza Mayweather . mfano: Pacquauo aliomba warudiane . Hataki na katangaza kustaafu. Au aende kwa Dogo Joshua kama hajatokwa jicho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
104cd0c6ae50c1207d18e61d6d249f6a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie ni mpenzi wa boxing na miaka yote tangu nipo mdogo nishakesha sana kisa haya mapambano makubwa
Mayweather ni boxer mzuri, in short ana techniques mbalimbali na ni mjanja mjanja.. Kwa wanaofananisha kina Mike Tyson na huyu jamaa basi hawajui ngumi, kwanza hawa ni uzito tofauti kabisa
Tatizo kuu ni kwamba game za sasa hivi zimekua usanii mtupu, Ile ladha ya ngumi imepotea umebaki usanii, Mayweather ni mjanja na anaangalia na mtu na mtu, hiyo game ya 27 kuna mawili
1) Iwapo akishinda basi utaichukia boxing moja kwa moja maana itakua kukumbatiana ili round zisogee then ya 6,7 au hata 10 ndo amkalishe mtu
2) Jamaa yupo kifedha zaidi so watu wanaamini atashinda kama Birdman lile pambano aliwema $1 million so this time anaweza kupigwa ili wengi waliwe pesa zao hivyo kutajirishwa sana yeye
Lolote linawezekana ila game la sasa halina mvuto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngumi za uzito wa kuku,my weather anapigana ngumi au biashara,bondia muuza sura na vidola vyake uchwara awekw mezani.huyu angekutana na vyuma vizito km lenox lewis tungemsahau
 
nawasi wasi na uelewa wako, hamna anaepiga majungu,hapa naeleza kama mpenzi wa ngumi kilichopo nyuma ya ngumi hizo,siku nyingine kama huna cha kuongea wawezapita kimya,kwanza wapenzi wa ngumi washanielewa mda mrefu nnachomaanisha
Mi pia sijamuelewa huyo ndugu. Kama ndio hivyo basi tuache kuangalia Mpira, burudani na michezo mingine yote wala kuiongelea coz hela wanazoingiza hao wote c zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mayweather umri wake umeenda sana ana 40 wakati Connor ana 28,kwa taarifa yako katika boxing umri haukuwahi kumwacha boxer salama!......akina Tayson walipigwa kwa sababu ya umri kusogea sana,Mayweather umri utampiga believe me!
 
Bondia maarufu duniani floyd mayweather,ambaye amepigana mara 49 bila kupigwa anategemea kuingia ulingoni na mc gregory ambaye sio proffesional boxer na hana rekodi yoyote katika boxing,yeye ni proffesional katika mchezo unaitwa mixed martial artist,(ni mchezo ambao unachanganya ngumi,mateke,kukabana,kudondoshana na vitu kama hivyo. kwanini nasema floyd ni mjanja.Ni wazi kabisa floyd atashinda hilo pambano kwa uhakika wa asilimia 90. kwa sababu zifuatazo

Mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.

May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.

Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.

May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.

Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa​

Tatizo lako umeandika kiushabiki sana, ni kweli Mayweather ni undefeated but hakupata misuko suko kama ya kina tyson, Mapambano yake mengi ya Myweather alikuwa anapigana na watu ambao ni aged au ambao washapoteza zile nguvu mfano Pacquiao alikataa kupigana nae mara ya kwanza 2010 kwa sababu alimuhofia atampiga kaweka vikwazo viiingi kipindi hicho Pacman yupo on fire akaja kukubali baadae pacman kashaanza kupigwa na madogo hvyo hvyo kwa Dela hoya na wengineo,
halafu chengine usiende kupigana na Unknown enemy hicho mmarekani anakijua sana hapigani vita na nchi asiyojua atashindaje sasa mayweather anaenda kupigana na mtu ambaye hajui game plan yake aiset vipi, maana kama ingekuwa ni boxer mwengine angetumia tu video kuangalia weakness za enemy wake lakn kwa huyu Macgregor ni ngumu kwakwe kujua atatokeaje ulingoni, cha msingi nacho kiona kwa Mayweather atatumia experience tu na sometimes experience haitoshi kumaliza kazi.

for your info tu labda nikusaidie Professionally katika MMA Macgregor amepigana 24, 21 wins (18 times by knockout) 3 loses and he's just 29 yrs old.

Halafu round 4 za MMA usifananishe na boxing kijana vitu viwili tofauti wataalamu watakwambia so usimdharau Macgregor ukaona wa kawaida ila tukutane tu august 26 tushuhudie May weather akipewa kichapo kitakatifu
 
Nikweli kabsa,boxing ni mchezo namba moja wa real fight dunian,..mcgregor anacheza round4 halaf anatumia had mateke,kukabana,kupigana makofi ndo aje akutane na mtu anaye aim kichwan tuu na ndo mkali wa hizo kaz,mcgregor atakufa ulingon..kama ni mfatiliaj wa boxing utakumbuka jins kaseba alivochapwa na cheka had alitaka poteza maisha,
WEEE....BOXING NDO NIN...?ACHANA NA MMA BHANAAA....NDO MANA M2 WA BOXING HAWEZI THUBUTU MAISHA KUINGIA KWENYE CAGE YA MMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WEEE....BOXING NDO NIN...?ACHANA NA MMA BHANAAA....NDO MANA M2 WA BOXING HAWEZI THUBUTU MAISHA KUINGIA KWENYE CAGE YA MMA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kukabana,kupigana mateke,kurukiana,kufinyana,kutekenyana,..nakadhalika,ndo unaona mchezo huo,..ogopa mtu aliezaliwa ku aim kichwa tuu,.,naiman wew si mjuz wa ndondi ndiomaana,..na mayweather ni boonge la businesman,yaan kawaaminisha watu kua anaeza kupigwa ili aje apige pesa za kufa mtu,si unaona beting znazoendelea sasa hiv,kumbetia tuu mayweather ni USD 8000,..akat kumbetia mcgregor ni USD 200,..sasa ndo utaona jins boxing ilivo tofaut na hyo MMA,
 
Mayweather ana miaka 40, sasa hiyo professional boxing ya miaka 30 alianza akiwa na miaka 10?
 
Ladha ya lugha inanitesa Mimi std 8 ni proffesional katika boxer au boxing mnatutesa sisi wengine jamani na wanapigana jumamosi SAA ngapi hasa kwa huku tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukabana,kupigana mateke,kurukiana,kufinyana,kutekenyana,..nakadhalika,ndo unaona mchezo huo,..ogopa mtu aliezaliwa ku aim kichwa tuu,.,naiman wew si mjuz wa ndondi ndiomaana,..na mayweather ni boonge la businesman,yaan kawaaminisha watu kua anaeza kupigwa ili aje apige pesa za kufa mtu,si unaona beting znazoendelea sasa hiv,kumbetia tuu mayweather ni USD 8000,..akat kumbetia mcgregor ni USD 200,..sasa ndo utaona jins boxing ilivo tofaut na hyo MMA,
hahaahaaa....we ndo inaonekana ata kurusha ngumi hujui....may jr anauwezo mkubwa wa kushinda...ILA MIAKA 800 hawez thubuti kupambana kwenye cage ya UFC(ultimamate fighting championship)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom