Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Tufafanulie nini maana ya hizi picha
 

Attachments

  • IMG_9655.png
    93.6 KB · Views: 4
  • IMG_4509.jpeg
    35.1 KB · Views: 4
  • IMG_9657.png
    104.1 KB · Views: 5
  • IMG_9660.png
    105.5 KB · Views: 5
  • IMG_9664.png
    74 KB · Views: 3
  • IMG_9665.png
    85.2 KB · Views: 3
  • IMG_9662.png
    97.5 KB · Views: 3
  • IMG_9658.jpeg
    31.5 KB · Views: 3
  • IMG_4499.png
    94.9 KB · Views: 3
  • IMG_9666.png
    71 KB · Views: 3
  • IMG_9667.jpeg
    32.4 KB · Views: 3
  • IMG_9668.jpeg
    41.4 KB · Views: 3
  • IMG_9671.jpeg
    36 KB · Views: 3
  • IMG_9670.jpeg
    37 KB · Views: 3
  • IMG_9669.jpeg
    28.8 KB · Views: 3
  • IMG_9672.jpeg
    43.1 KB · Views: 3
  • IMG_9673.jpeg
    24.6 KB · Views: 5
  • IMG_9674.jpeg
    35.7 KB · Views: 4
MARYMA ALIZAA YESU AKIWA AKIWA HANA MUME - WAKIRISTO WNASEMA ALIZINI WAISLAM WANASEMA ALIKUW AMTAKATIFU HAKUZINI. Kawaida yako kuropokwa
Mariam anguingiliana na mmewe ndio maana anitwa bikira mariam
 
Hivi katika Uislam,ukafiri ni Uzayuni na Ukristo tu?maana duniani tuna Dini nyingi zaidi ya Ukristo ambazo zinaamini Miungu wengine zaidi ya Allah au Jevovah kama Buddha, Hindu, Voodoo nk lakini huwezi kukutana na mafundisho au ukosoaji wa kiislamu ukiwalenga !
Cha ajabu ukifuatilia msingi ya hizi dini mbili Ukristo na Uislam utashangaa zote zimetoka kwenye chimbuko Moja la Baba wa Imani Ibrahim.Mungu aendelee kutubariki.
 
Em focus na mambo mengine dini achana nazo wewe NI muislam ila jinsi unavoamin mungu inaeza kua Tofauti na muislam mwenzio kabisa dini kila mtu na mazingira alio yakuta mtu akufate uislam afikd uko ahela akute ndo dini ya uongo😂😂
 
Hujaonesha neno upendo
 
Pole sana mkuu na hongera kuepuka hukumu mbaya. Uislam ni ushetani
 
Hii habari ya kitabu kiliteremhwa Maka Mudi ndio akakidaka au ,, Quran ni kitabu kilicho okoteza okoteza vitu kutoka katika bibilia na kuongezwa ongezwa uwongo .
Ndo mana ukaambiwa kama Unahisi Muhammad alitunga na wew tunga walau surah moja tu na sio kitabu mfano wa Quran utuletee hapa wana Jf tusome na sio kuleta ngonjera
Hiyo elimu nyingine inaleta maendeleo gani kwa nchi? Usifananishe science na dini, atleast science iko pratical and real. Tafuta kikundi cha wenzio wenye mawazo ya kitoto kama yako.
Elimu gani ambayo unayo ulizia ikiwa ni Elimu ya kiislamu imeeleza nyanja zote haijaacha kitu na ktk vitu ambavyo imehimiza ni watu kusoma au kutafuta elimu kama ambavyo muhammad aliambiwa kwa mara ya kwanza kwamba soma kwa jina la mola wako alie umba.amemuumba binadam kwa tone la manii soma na mola wako ni mkarim mnoo.Mola ambae amewafundisha watu kwa wino wa kalamu.Mola ambae amewafundisha watu yale ambayo walikuwa hawaya jui..hapa unatakiwa kuzingatia mambo 3
1)Unaposoma soma kwa ajili ya kufanya yale yatakayo mridhia Mungu eg ukiwa daktar fanya kazi yako ktk misingi anayotaka Mungu,Uwe Rais Waziri Mbunge nk
2)Ni kwambaQuran inajidhihirisha na kujithibitisha kuwa ni kitabu cha kweli toka kwa Mungu
 
Hao viumbe waliishi wapi ? Hiyo dini ilianzishwa nani?
 
Sema wakikupinga na hii basi wao dini ni kama chama au team unashabikia Tu Tofauti na ukristo huubiri ubaya WA dhambi na upendo
 
Uislam huu huu wa vita kila siku? Si bora nikahukumiwe tu?
Bora kufa huna dini utakuwa na cha kumwambia Mungu akakuelewa kuliko kuwa upande huo then ukamkute aanze kukubana ”yaani hata kupitia matendo ya wenye dini hiyo ulishindwa kung'amua kama siyo njia sahihi ya kunitafuta?”

Ni hatari sana leo dunia inahangaika visasi ni vingi mno wengi wameumizwa na hiyo dini yaani kitu kikishakuwa cha kisasi huwezi mtu ukakiita ni cha Mungu.
 
We nae ni fala wa wapi aisee
 
Mtu mmoja kaenda pangoni kisha karudi na kusema alikuwa anaongea na Mungu na watu wakaamini
 
Huu ujumbe wa kwamba hakuna mtu awezae kufika mbinguni bila kumfuata yesu uko sawa lkn jiulize ni kwa wakati gani.kuna vitu inabid kabla ya kubishana tujiulize wenyew katika akili zetu mfano hapa Tz kila baada ya miaka 10 anateuliwa Rais mpyaa na kila Rais anakuja na mifumo baadh mpyaa na haijawah tokea mtu akasema Rais wa sasa simtambui na hata dini ni hivo kama tunajua Mungu alimtuma Ibrahim akamtuma Daud Musa na kisha yesu kwanini mkatae ujio wa Muhammad?
 
Imani yoyote ambayo ina wao na sisi kwangu mimi haituunganishi sisi kama jamii.., ukizingatia Imani hizi zimekuja katika jamii yetu (hivyo huenda tujiulize kama zinajenga umoja)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…