Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Hapa tu. Huyo Uzair ni nani?
Na ni wapi Wayahudi walisema Uzair ni mwana wa Mungu? Ukiweka ushahidi wa hili tu, wallahi wabillahi nasilimu leo hii kabla halijazama jua topeni.
 
Uislamu umekuja baada ya miaka mingi ya masiah kupita na aliyeleta hakuwahi kufanya muujiza wowote
 
Mkuu afande aliyef*rwa Zanzibar anaitwa RAMADHANI.
Mwalimu aliyef*rwa Mtwara nae anaitwa RAMADHANI.
Wewe huogopi?
sio tatizo, tatizo liko wapi? kwani Padri wa VATIKAN alibakwa inamaana kabakwa Papa? au kabakwa Padri? akili zako zako zinakasoro gani? au una masongo wa mawazo?
 
Nyinyi wagalatia sijui mnakwama wapi mbona hata mimba ya Isaka ilipatikana pasipo kushiriki tendo la ndoa kati ya Ibrahim na Sara

Ni neno tu la Mungu Sara akapata mimba
melekisedeki amezariwa bila baba wala mama
 
Hii khutba peleka msikitini kwenye Watu kama ww ukazawadiwe takbirrr!
Hayo mashairi uliyo weka hata shetani anaweza kuyaghani
Muhammad aka allah Anasema ktk suratul tawba.30 kwamba!;
MWENYEZI MUNGU, Malaika Gabriel, YESU, na Wakristo woote duniani ni MAKAFIR SABABU YA KUSEMA "YESU NI MWANA WA MUNGU!"
👇👇
MWENYEZI MUNGU ANASEMA YESU NI MWANAE
👇👇
Matthew 3:17
[17]na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.

MALAIKA GABRIELI ANASEMA YESU NI MWANA WA MUNGU.
👇👇
Lk.1:26-32
26 Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti,

27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.

28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.

29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?

30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.

31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.

32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.

YESU ANASEMA YEYE NI MWANA WA MUNGU.
👇👇
Matthew 10:33
[33]Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Si Amani, Bali Upanga

Quran inasema hao Wanakufuru/makafiri.😳🤪
👇🏼👇🏼
وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

(AT-TAWBA - 30)
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!

Kwa Mujibu wa Imani yangu muham mad aka allah, jiburilu, na waisilama woote duniani ni MAKAFIRI 🔥👍
 
vipi hilo neno eloi linasound vipi ??? eloi =Allah
unamjua huyo eloi ?????? huyo ndo anapaswa kuabudiwa na siyo yesu mtumwa wa eloi
 
ushawahi kujiuliza kama tungetawaliwa na mchina au mjapan leo hii tungekuwa dini gani? acha hizo kijana dini ni tamaduni kama tamaduni nyingine tuu
 
hakuna Bible. Bible neno la UK , Wakati Yesu anakuja UK ikiitwaje?
Bible Muddy Kaikuta- akacopy na kucopy!! Muislam
Wa kwanza ni Muddy sio Adam wala Ibrahim.
Wajanja ni hawa -Mjomba ake Muddy Abu Talib na Abu Lahab.Walikataa Uislam mbele ya Muddy
 
Bora Muhamad hayupo😁
 
Sasa kama hujui YESU NI MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI!
👇👇
IMEANDIKWA KABLA YA muhammad Wala Quran KUWEPO!
👇🏼👇🏼
يوحنا 1: 1-4، 14
[1] في البدء كان الكلمة، والكلمة كان عند الله، وكان الكلمة الله.

[2] في البدء كان عند الله.

[3] حدث له كل شيء؛ وبدونه لم يحدث شيء مما تم.

[4] فيه كانت الحياة، وكانت الحياة نور الشعب.

[14] والكلمة صار جسدا وبقي معنا. ورأينا مجده مجدا كما لوحيد من الآب. وهو مملوء نعمة وحقًا.

8 قال له فيلبس يا سيد أرنا الآب يكفينا.

9 قال له يسوع: «أنا معكم هذه الأيام كلها، أما تعرفني يا فيلبس؟» الذي رآني فقد رأى الآب. فكيف تقول أرنا يا أبانا؟

yuhanaa 1: 1-4, 14
[1] fi albad' kan alkalimatu, walkalimat kan eind allahi, wakan alkalimat allahu.
[2] fi albad' kan eind allahi.
[3] hadath lah kulu shay'a; wabidunih lam yahduth shay' mimaa tama.
[4] fih kanat alhayaatu, wakanat alhayaat nur alshaeb.
[14] walkalimat sar jasadan wabaqi maena. wara'ayna majdah majdan kama liwahid min alab. wahu mamlu' niemat whqan.
8 qal lah filbas ya sayid 'arna alab yikfina.
9 qal lah yasuea: <<ana maeakum hadhih al'ayaam kullha, 'ama taerifuni ya filibis?>> aladhi rani faqad ra'aa alab. fakayf taqul 'arnan ya 'abana?

John 1:1-4,14
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

[14]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Tatizo la Waislamu ni kumjadili YESU AKIWA KATIKA HALI YAKE YA UBINADAMU KAMILI! JN.1:14!
HAWANA HOJA ALIPO KUWA MUNGU KAMILI! "NENO" JN.1:1

TAMKA SASA MUNGU HANA UWEZO WA KUWA MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI ILI UJIPE WEPESI WA KUFA KAFIRI!

لا يوجد إله يمكن أن يُعبد بالبر إلا يسوع ورسوله بولس!
تكبير المسيح أكبر

la yujad 'iilah yumkin 'an yuebd bialbiri 'iilaa Yasue warasulih Bulis!💪👍
takbir ✊🏼 alMasih 'Akbar 👊🏼
HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILA YESU NA PAULO MTUME WAKE!💪👍
TAKBIR ✊🏼YESU AKBAR 👊🏼
 

nashangazwa na namna unachofikr !
lete ushahid kuwa Qurani inasema yesu kafir, ????
wakiristo ndio makafiri,
na pia, kusema yesu mwana wa mungu hakutoi haki ya yeye kuabudiwa, kwa sababu yesu anatoa ufafanunuzi wa neno mwana wa mungu nn maana yake,
" maana wa mungu ni wale wanaofuata maelekezo ya mungu, wale wanamuamini yesu kwa kufuata mafundisho yake you ya kumuabudu mungu na wakamwabudu mungu kwa usahihi hao ndio wana wa MUNGU, na sio kwamba mungu kazaa na binti mariam,

ata yesu mwenyewe walipomuuliza unatafutwa na ndugu zako, alijibu ndugu zake ni wale wanaofuata mafumdisho aliyokuja nayo, nayo ni kumuabudu mungu mmoja wa pekee,
kwa hiyo ata wew ungefuata maamrisho ya mungu ungeitwa mwana wa mungu, kwa vile hufuati ni KAFIRI
 
qaraa ni Maneno ya nani?🎤
 
Nimekuwekea Ushahidi suratul tawba.30!
👇👇
وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

(AT-TAWBA - 30)
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!

Tatizo Linu ni kukaririshwa madrasa Kwa bakora za makalio na vitishi!
YESU ANASEMA YEYE NI MWANA WA MUNGU
👇👇
Matthew 15:13
[13]But he answered and said, Every plant, which my heavenly Father hath not planted, shall be rooted up.
Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang’olewa.

Kwa Mujibu wa suratul tawba.30 yeyote mwenye Itikadi Kuwa YESU ni Mwana wa Mungu ni kafiri!
Dhahir eeh!
 
Hivi Vibuyu ndani ya Kaaba Macca vina kazi gani?? Na hili jiwe
 

Attachments

  • IMG_9713.png
    101.2 KB · Views: 3
  • IMG_9657.png
    104.1 KB · Views: 2
  • IMG_9712.png
    119.5 KB · Views: 3
  • IMG_9715.jpeg
    80 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…