Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Hakujawahi kuwapo vita ya kumpigania Kristo wala ukristo popote pale

Vita vya Mikataba na Mikoa (Vita vya Kidini vya Kati ya Karne):

  • Vita vya Mikataba (Religious Wars):
    • Katika kipindi cha Karne ya Kati, Ulaya ilishuhudia vita vya kidini, ikiwa ni pamoja na vita kati ya madhehebu ya Kikristo tofauti, kama vile vita vya Mikataba vilivyopiganwa kati ya Wakatoliki na Waprotestanti.
  • Vita vya Wakatoliki na Waprotestanti:
    • Vita vya Huguenots nchini Ufaransa (1562-1598), ambavyo vilikuwa na mgogoro kati ya Wakatoliki na Waprotestanti wa Huguenots.
    • Vita vya Tamaa vya Kiskoti (The Wars of the Three Kingdoms) vilihusisha mizozo ya kidini kati ya madhehebu ya Kikristo katika Uingereza, Scotland, na Ireland.

2. Vita vya Mzingo na Mahakama za Kikatoliki:

  • Mchakato wa Mahakama za Kikatoliki:
    • Katika karne ya 15 na 16, Mahakama za Kikatoliki zilipiga vita dhidi ya madhehebu ya Kikristo yasiyo ya Kikatoliki kama sehemu ya kutokomeza heretiki na mazoea yasiyo ya Kikatoliki.
    • Hii ilikuwa na athari kwa Waprotestanti ambao walikuwa wanatofautiana na Kanisa la Kikatoliki, ikiwemo vita vya Ukarimu wa Kikatoliki.

3. Vita vya Dini vya Ulaya:

  • Vita vya Dini vya Ulaya (Thirty Years' War, 1618-1648):
    • Vita vya Dini vya Ulaya vilikuwa na mgogoro mkubwa kati ya madhehebu ya Kikristo, hasa kati ya Wakatoliki na Waprotestanti. Vita hivi vilileta uharibifu mkubwa na kubadilisha hali ya siasa na kidini barani Ulaya.

4. Vita vya Kikristo vya Mashariki:

  • Vita vya Kiislamu vya Mashariki:
    • Katika Mashariki ya Kati, kulikuwa na migogoro kati ya Wakristo na Waislamu. Hata hivyo, vita vya ndani kati ya Wakristo vilikuwa na athari kubwa kwa historia ya Kikristo katika maeneo haya.
  • SOMENI HISTORIA MSIJE HUMU NA MIHEMKO MTAABIKA- JF KISIMA CHA ELIMU USIJE UKIWA UMELEWA
 
ukweli upi? kwamba mohamad alioa katoto ka miaka 6 akakapelekea moto kakiwa na miaka 9? ukweli kwamba mnaruhusiwa kuwauwa wasio waislam, ukweli kwamba mnasema ndugu yenu ni muislam tu, ukweli kwamba mmeambiwa ukipata nafasi chinja kafiri? ukweli kwamba ulimwengu wa kiislam haujawahi kutengeneza zana yoyote, zote mnatumia toka ulimwengu wa makafiri? au ni upi? hao wanaokuja kwenye uislam wamepotea tu kama ninyi wenyewe.
 
Shida ni kwamba unaleta ujumbe kwa wasio waislam kwa kuweka ushahidi wa kuruani ambayo wasio waislamu hawaiamini. Kazi unayo ndugu yangu.
Amechanganyikiwa
 
MARYMA ALIZAA YESU AKIWA AKIWA HANA MUME - WAKIRISTO WNASEMA ALIZINI WAISLAM WANASEMA ALIKUW AMTAKATIFU HAKUZINI. Kawaida yako kuropokwa
 
Umekwenda Chatgpt na ukaja na maelezo matupu, empty ni wapi katika maelezo haya wanasema walikua wanapigania kristo au ukristo?? Hata leo hii kuna kutokuelewa kwa madhehebu lkn sio kwasababu ya kristo au ukristo , hakunaga jambo la namna hiyo
 
MARYMA ALIZAA YESU AKIWA AKIWA HANA MUME - WAKIRISTO WNASEMA ALIZINI WAISLAM WANASEMA ALIKUW AMTAKATIFU HAKUZINI. Kawaida yako kuropokwa
 

Attachments

  • Screenshot_20231123-143747_Quora.jpg
    319.6 KB · Views: 2
inawezekana huwa husomi kuran. soma icho kwenye hiyo picha halafu pangua. kama uomgo.
 
MARYMA ALIZAA YESU AKIWA AKIWA HANA MUME - WAKIRISTO WNASEMA ALIZINI WAISLAM WANASEMA ALIKUW AMTAKATIFU HAKUZINI. Kawaida yako kuropokwa
Haya maandiko alizini umeyatoa wapi? na maandiko kua hakua na mume umeyatoa wapi? Mariamu alibeba mimba hakua na mume lkn sio wakati wa kuzaa, tayari alikua na mume
 
Uislamu umeletwa na nani? 2. Kwanini katika migogoro mingi duniani waislamu wanalialia tu namana Allah hawatetei 3. Unafikiria hadithi ya mabikira pepon 72 ni kweli? 4. Mungu wa Elia, Yakobo, Ibrahim na Isaka Anawatokea watu wake na kuwapigania mbona ninyi Allah hajawahi kuwatokea na kuwapigania Naomba majibu
 
Hilo jinga linaenda Chatgpt linacopy linaleta huku alafu linajinasibu "kisima cha maarifa" matakle yake
 
Amechanganyikiwa

Umekwenda Chatgpt na ukaja na maelezo matupu, empty ni wapi katika maelezo haya wanasema walikua wanapigania kristo au ukristo?? Hata leo hii kuna kutokuelewa kwa madhehebu lkn sio kwasababu ya kristo au ukristo , hakunaga jambo la namna hiyo

Vatican yashutumiwa kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda​

Elizabeth Shoo04.02.20154 Februari 2015
Hakimu mmoja wa mahakama maalumu ya kusimamia kesi ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ameulaumu uongozi wa kanisa katoliki kwa kuwalinda washukiwa waliohusika ambao ni viongozi wa dini.
 
Hilo jinga linaenda Chatgpt linacopy linaleta huku alafu linajinasibu "kisima cha maarifa" matakle yake
matusi ya nini? wakiristo mbona mahasira sana ?Jenga hoja usilete matusi. nani mjinga anaelala baa akiwa na Pombe kichwani na anaelala kwake?
 
Surah Al-Jinn ni surah ya 72 katika Quran. Inaitwa hivyo kwa sababu inaelezea kisa cha Majinni (jinn) ambao walisikiliza Quran na kisha wakaamini. Hii sura ina aya 28 na iliteremshwa Makka.
Kwahiyo NETANYAHU, MFALME DAUDI, KOMANDO SAMSON ALIYEFEKA WAFILISTI 1000 KWA UTAYA ANAMAISHA MAGUMU
 
Mwisho Mungu humrehemu amtakaye, habagui dini, rangi wala kabila.
 
Kuacha njia mbaya ni kuwa muislamu?
Wewe huwajui watu wasio tenda maovu na sio waislamu?
 
Mwisho Mungu humrehemu amtakaye, habagui dini, rangi wala kabila.
Dini anayotambua Mwenyezi Mungu ni uislam, nyengine ukifa katika dini hizo upo katika hasara ndio maana waislam wamepewa jukumu la kuelimisha hilo
 
Kuacha njia mbaya ni kuwa muislamu?
Wewe huwajui watu wasio tenda maovu na sio waislamu?
Ili ufaulu F4 usijaliwe kumfanya mtihani F4. haiwezekani ukamfanya mtihani f4 hujasajiliwa. ili ukubaliwe na Mwenyezi Mungu uwe muislam
 
Quran inasema kila nafsi itaonja mauti (Kufa) bibi zako bado wapo hai kijijini?
Kutokana na Biblia Aya hii ni ya uwongo.
Henoko hakufa bali alinyakuliwa Mbinguni na Mungu.
Mwanzo (Gen) 5:24
Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.
Nabii Eliya pia Alitwaliwa Mbinguni na Gari la Upepo na Moto.
Ndio maana Wakristo tunaiona Qurani kama kitabu cha vichekesho tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…