Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Mtu anathamnani kubwa. lkn mwenye thamani zaidi anatakiwa awe muisla

unadhani lengo la hicho kitabu ni nini ?
ku convert watu kwenye uislamu...
je ulitegemea kingeandikwa nini

kwaiyo hakiwezi kutumika kama reference.

Uislamu pia ni dini nzuri ila kwa akili ya kawaida huwezi kutumia Quran kuthibitisha kwamba uislamu ndo dini sahihi...

hakuna dini bora zaidi labda mimi niseme ukristo ndio bora kwasababu central figure ni masiha ambaye hata nyinyi mnamtambua na alitabiriwa zaidi ya miaka elfumbili kabla kua atakuja na kuiweka sawa torati alipokuja ndo ukristo ulipoanzia.

ila kihistoria uislamu umekuja takriban miaka 500 baada ya ukristo itakuaje mnasema ndo mpo sahihi ?
Barikiwa mtu wa YESU
 
Kuondoka duniani siyo kitu Cha ajabu na hakikuanza Leo. Dunia haishi binadamu peke yake na pia binadamu ni kama wanyama wengine ambao pia hufa Kwa kawaida au Kwa kuliwa na binadamu. Je hiyo Pepo ni ya binadamu peke yake au na viumbe vyote. Kuku. Ngombe uliowala watakuwa wapi badaye.
kama kuna mawazo hayo pole sana tena sana
 
Dini ya waarabu, kitabu cha waarabu, mungu wao ni mwarabu asiyeijua lugha nyinyine isipokuwa kiarabu.
We jamaa una utani na wenye dini yao sasa! kwa imani yangu MUNGU ni muweza wa yote inakuwaje ashindwe kujua lugha nyingine? Ajue kiarabu tu? Yaani ukiamua kumtukana kwa kinyakyusa haelewi anacheka cheka tu na kutoa macho kweli?
 
Ahsante sana Kwa ujumbe huu. Mpaka Karne hii Bado watu Wana Imani za kitumwa. Imani za Uislamu na Ukristo zinamfanya mtu kuwa na mawazo finyu na hajitambui kabisa na maana yake ni kuwa Bado utumwa upo kupitia dini.
Ukisoma vizuri maandiko utajiona pia ndani ya maandiko Kwa maana watu kama wewe walikuwepo na vitabu vimewaelezea, kwahyo hata unachokifanya wewe Wala sio kipya, tayari ilishaelezea.
 
Utayaona siku ukifumba jicho yaani malaika wa mauti atapohitaji raho yako
Hapo pia mnaaminishwa ujinga mwingi kua Kuna malaika mpiga marungu ndani ya kaburi???

Hakika mnachoamini sicho tunachoamini ,BAkini na chenu wengine wabaki na vyao hata kama ni kuabudu mibuyu ,maana hampo salama
 
Maangamizo ya watu mara zote ni kwa sababu ya kutokuwa na maarifa, kuwa gizani
Mleta mada jipe muda kutafakari kuhusu Mungu na Binadamu utagundua Mungu ni mpana sana kuliko dini yeyote au Uislamu uliokumbatia.
Mungu kabla ya kukuumba alikujua na anataka kukuokoa hata sasa jitoe kwenye gereza la uislamu
 
We jamaa una utani na wenye dini yao sasa! kwa imani yangu MUNGU ni muweza wa yote inakuwaje ashindwe kujua lugha nyingine? Ajue kiarabu tu? Yaani ukiamua kumtukana kwa kinyakyusa haelewi anacheka cheka tu na kutoa macho kweli?
halafu wamekwambia wamesoma watu hawa- Biblia imeandikwa kwa kila lugha ikiwemo kiswahili atahari yake unaiona- Ipo ya Tanga ya Mwanza - athari yake ndio hii, kila mwenye pesa anakuja na kanisa na biblia yake tofauti na nyengine
 
Ukisoma vizuri maandiko utajiona pia ndani ya maandiko Kwa maana watu kama wewe walikuwepo na vitabu vimewaelezea, kwahyo hata unachokifanya wewe Wala sio kipya, tayari ilishaelezea.
Siamini maandiko yaliyoletwa na kuenezwa Kwa nguvu Kwa njia kuwa Fanya mababu na mabibi kuwa watumwa. Hapo ulipo una Jina la kiarabu au kizungu ujue kuwa wewe Bado uko utumwani
 
halafu wamekwambia wamesoma watu hawa- Biblia imeandikwa kwa kila lugha ikiwemo kiswahili atahari yake unaiona- Ipo ya Tanga ya Mwanza - athari yake ndio hii, kila mwenye pesa anakuja na kanisa na biblia yake tofauti na nyengine
Maustadh wameruhusiwa kufir watoto wa madrasa? Hiyo ndo unasema tusipoifata tutapa madhara?
 
halafu wamekwambia wamesoma watu hawa- Biblia imeandikwa kwa kila lugha ikiwemo kiswahili atahari yake unaiona- Ipo ya Tanga ya Mwanza - athari yake ndio hii, kila mwenye pesa anakuja na kanisa na biblia yake tofauti na nyengine
Nenda shule ung'amue mambo mi nijiunge na dini dhaifu kama hiyo unatengenezea watu mapepo tunayatoa kwa jina la Yesu
 
Dini anayotambua Mwenyezi Mungu ni uislam, nyengine ukifa katika dini hizo upo katika hasara ndio maana waislam wamepewa jukumu la kuelimisha hilo
Unamaanisha Mungu hatambui dini nyingine zaidi ya Uislamu?
 
halafu wamekwambia wamesoma watu hawa- Biblia imeandikwa kwa kila lugha ikiwemo kiswahili atahari yake unaiona- Ipo ya Tanga ya Mwanza - athari yake ndio hii, kila mwenye pesa anakuja na kanisa na biblia yake tofauti na nyengine
Nenda shule ung'amue mambo mi nijiunge na dini dhaifu kama hiyo unatengenezea watu mapepo tunayatoa kwa jina la Yesu
 
Muhammadi hana fundisho jipya la maana.
Mafundisho yote ya kitabu cha Qurani yalisha fundishwa kabla ya Qurani.

Fundisho Jipya la Qurani ni kuwaeleza Binadamu kuwa Majini yamesilimu na kuwa Maislamu.

Hilo fundisho halina mantiki kwakuwa sisi watu hatuwezi kuthibitisha kuwa Majini ni Maislamu kwakuwa hatuyaoni kwa macho yetu.

Wewe ushamwona Jini Mwislamu?
Nikisema hiyo ni habari ya uwongo utabisha?

Na nia ajabu kati ya viumbe visivyoonekana vinavyo ishi duniani Qurani inasema ni Majini tu ndio yalisilimu.

Vipi viumbe vingine tusivyo viona kama eliens na vinyamkera, navyo ni Viisilamu ?
 
Nenda shule ung'amue mambo mi nijiunge na dini dhaifu kama hiyo unatengenezea watu mapepo tunayatoa kwa jina la Yesu
Malcolm X (El-Hajj Malik El-Shabazz): Malcolm X alikuwa mwanaharakati maarufu wa haki za kiraia nchini Marekani na mwanachama wa Nation of Islam kabla ya kuingia kwenye Uislamu wa Kiorthodoksi baada ya kufanya hija ya Makka. Aligeuka kuwa Muislamu mwenye itikadi ya Kiislamu ya kweli na akajitolea kuelimisha umma kuhusu Uislamu wa kweli.
 
Muhammadi hana fundisho jipya la maana.
Mafundisho yote ya kitabu cha Qurani yalisha fundishwa kabla ya Qurani.

Fundisho Jipya la Qurani ni kuwaeleza Binadamu kuwa Majini yamesilimu na kuwa Maislamu.

Hilo fundisho halina mantiki kwakuwa sisi watu hatuwezi kuthibitisha kuwa Majini ni Maislamu kwakuwa hatuyaoni kwa macho yetu.

Wewe ushamwona Jini Mwislamu?
Nikisema hiyo ni habari ya uwongo utabisha?

Na nia ajabu kati ya viumbe visivyoonekana vinavyo ishi duniani Qurani inasema ni Majini tu ndio yalisilimu.

Vipi viumbe vingine tusivyo viona kama eliens na vinyamkera, navyo ni viisilamu ?
Yesu mwenye anamjua Mtume Muhammad , wewe kukua mavi unamkataa?
 
Back
Top Bottom