Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

BIKRA:

kWLI?

Kashfa mpya ya unyanyasaji wa kijinsia yaikumba Kanisa Katoliki Chile​

Mapadri hawajaja na andiko kutokufata ukristo Kuna madhara

Wewe ndo umesema hiyo ndo dini ya haki na Kuna madhara kutoifata ndo nimeuliza tuje huko ambapo maustadh wanafir watoto? Hakuna usalama"Kila mtu abaki kwake,unachoabudu sicho wanachoabudu"
 
Mapadri hawajaja na andiko kutokufata ukristo Kuna madhara

Wewe ndo umesema hiyo ndo dini ya haki na Kuna madhara kutoifata ndo nimeuliza tuje huko ambapo maustadh wanafir watoto? Hakuna usalama"Kila mtu abaki kwake,unachoabudu sicho wanachoabudu"
ustadh kufanya hivyo katika ya kiislam adhabu yake ni kuuuliwa katika uwanja wenye watu wengi ili kila mtu ashuhudie ili iwe fundisho- katika nchi ya kikiristo adhabu yake nini? naomba ujibu kwa faida ya jukwaa. halafu tupime dini gani inapiga vita hayo mambo?
 
Surah Al-Jinn ni surah ya 72 katika Quran. Inaitwa hivyo kwa sababu inaelezea kisa cha Majinni (jinn) ambao walisikiliza Quran na kisha wakaamini. Hii sura ina aya 28 na iliteremshwa Makka.
Kha! kwahiyo majini yakasilimu au?
 
Mbona Allah alisema atawapa pepo kama wakitenda mema na kuamini siku ya mwisho?
Unajua maana mema? kuswali sala 5 , kufunga , kutoa sadaka, kumsifu Mtume Muhammad S. A. W. jee wnafanya hayo?
 
Kha! kwahiyo majini yakasilimu au?
Ndio. Huna ilmu wewe, ushawahi kuona jinni? si unaona mbwa , kuku , ndege? maco ya binaadam tumpewa vitu vichache ttuvione, mabilion ya vitu tumefichwa
 
KAZI YANGU KULETA UJUMBE NA USHAUSOMA NI JUKUMU LAKO KUUTAFUTA UKWELI, UKIBAKI HIVYO HIVYO NA GIZA LAKO HIO SIO KAZI YANGU MIMI
Asilimiankubwa sana ya Wachina , Wajapan, Wahindi ndiyo watajaa jehanum ya Allah maana hao hawafuati dini yenu.

Hivi Malaria 2 nikuulize...kwa nini mnataka watu wengi wawe Waislam? Kwani mkiwaacha wakaenda motoni nyie mtapata hasara gani?
 
Asilimiankubwa sana ya Wachina , Wajapan, Wahindi ndiyo watajaa jehanum ya Allah maana hao hawafuati dini yenu.

Hivi Malaria 2 nikuulize...kwa nini mnataka watu wengi wawe Waislam? Kwani mkiwaacha wakaenda motoni nyie mtapata hasara gani?
Ndio maana kuna makundi ya waislam wanaenda kuwapa neno la ukweli huko.
 
Mtumishi ubarikiwe sana kwa neno lako damu ya Yesu ikufunike popote uendapo, nimebarikwa na neno lako.
 
Asilimiankubwa sana ya Wachina , Wajapan, Wahindi ndiyo watajaa jehanum ya Allah maana hao hawafuati dini yenu.

Hivi Malaria 2 nikuulize...kwa nini mnataka watu wengi wawe Waislam? Kwani mkiwaacha wakaenda motoni nyie mtapata hasara gani?
Tunataka watu wengi wawe waislam kwa sababu: UPATE HAYA . AU HAMUYATAKI?
Katika Uislamu, maisha ya peponi (Jannah) yanatajwa kuwa ni mahali pa furaha na baraka zisizo na kifani. Qur'an na Hadithi (mapokezi kutoka kwa Mtume Muhammad) zinatoa picha za raha na zawadi zitakazowapata waumini waaminifu katika Ufalme wa Mungu. Hapa kuna baadhi ya maelezo kuhusu raha za watu wa peponi:

  1. Furaha na Amani: Watu wa peponi wataishi katika hali ya furaha na amani, bila huzuni au maumivu. Qur'an inasema:
    • Surat Al-Hijr (15:48): "Hawataona ndani yake joto wala baridi."
  2. Matunda na Chakula: Watu wa peponi watapata matunda na chakula cha aina mbalimbali, ambacho kitaonekana kuwa kimejaa ladha na uzuri.
    • Surat Al-Insan (76:14): "Na kutoka chini yao, vyanzo vya maji vya pekee, na matunda ya aina mbalimbali."
  3. Maji na Vinywaji: Katika peponi, watu watapata maji safi, vinywaji vitamu, na divai isiyo na madhara.
    • Surat Al-Insan (76:5): "Kwao utakuwa na divai ya aina ya kijani ya asali."
  4. Ndoa na Huraa: Watakua na wake wa peponi, ambao ni wenye uzuri na tabia nzuri, kwa jina la "huraa."
    • Surat Ar-Rahman (55:56): "Katika hizo, kuna wanawake wenye macho makubwa ya kuvutia."
  5. Mataifa ya Mbinguni: Hali ya maisha ya peponi itakuwa ni kama bustani nzuri na yenye matunda, mito, na kivuli.
    • Surat Al-Baqarah (2:25): "Na wape watu wa peponi mifano ya bustani zilizojaa matunda na mito."
  6. Uhusiano na Mungu: Watu wa peponi watakuwa na furaha ya kiroho na wataweza kuonja karibu na Mungu, ambao ni furaha kuu zaidi.
    • Surat Al-Qiyamah (75:22-23): "Macho yao yatakuwa na macho, kwa kuwa wataangalia Mola wao."
  7. Kutokuwepo kwa Maumivu: Katika peponi, maumivu, huzuni, na shida zote zitakuwa zimeondolewa.
    • Surat Al-Ankabut (29:58): "Tutawaingiza katika Bustani zenye mito itakayopita chini yao."
 
Ndio maana kuna makundi ya waislam wanaenda kuwapa neno la ukweli huko.
Hujanijibu kwanini mnataka watu waende kwenye pepo ya Allah? Kwani mkiwaacha waende motoni kuna hasara gani mtapata?
 
Tunataka watu wengi wawe waislam kwa sababu: UPATE HAYA . AU HAMUYATAKI?
Katika Uislamu, maisha ya peponi (Jannah) yanatajwa kuwa ni mahali pa furaha na baraka zisizo na kifani. Qur'an na Hadithi (mapokezi kutoka kwa Mtume Muhammad) zinatoa picha za raha na zawadi zitakazowapata waumini waaminifu katika Ufalme wa Mungu. Hapa kuna baadhi ya maelezo kuhusu raha za watu wa peponi:

  1. Furaha na Amani: Watu wa peponi wataishi katika hali ya furaha na amani, bila huzuni au maumivu. Qur'an inasema:
    • Surat Al-Hijr (15:48): "Hawataona ndani yake joto wala baridi."
  2. Matunda na Chakula: Watu wa peponi watapata matunda na chakula cha aina mbalimbali, ambacho kitaonekana kuwa kimejaa ladha na uzuri.
    • Surat Al-Insan (76:14): "Na kutoka chini yao, vyanzo vya maji vya pekee, na matunda ya aina mbalimbali."
  3. Maji na Vinywaji: Katika peponi, watu watapata maji safi, vinywaji vitamu, na divai isiyo na madhara.
    • Surat Al-Insan (76:5): "Kwao utakuwa na divai ya aina ya kijani ya asali."
  4. Ndoa na Huraa: Watakua na wake wa peponi, ambao ni wenye uzuri na tabia nzuri, kwa jina la "huraa."
    • Surat Ar-Rahman (55:56): "Katika hizo, kuna wanawake wenye macho makubwa ya kuvutia."
  5. Mataifa ya Mbinguni: Hali ya maisha ya peponi itakuwa ni kama bustani nzuri na yenye matunda, mito, na kivuli.
    • Surat Al-Baqarah (2:25): "Na wape watu wa peponi mifano ya bustani zilizojaa matunda na mito."
  6. Uhusiano na Mungu: Watu wa peponi watakuwa na furaha ya kiroho na wataweza kuonja karibu na Mungu, ambao ni furaha kuu zaidi.
    • Surat Al-Qiyamah (75:22-23): "Macho yao yatakuwa na macho, kwa kuwa wataangalia Mola wao."
  7. Kutokuwepo kwa Maumivu: Katika peponi, maumivu, huzuni, na shida zote zitakuwa zimeondolewa.
    • Surat Al-Ankabut (29:58): "Tutawaingiza katika Bustani zenye mito itakayopita chini yao."
Hujaweka mito ya pombe na wanawake bikra
 
Hujanijibu kwanini mnataka watu waende kwenye pepo ya Allah? Kwani mkiwaacha waende motoni kuna hasara gani mtapata?

Hujanijibu kwanini mnataka watu waende kwenye pepo ya Allah? Kwani mkiwaacha waende motoni kuna hasara gani mtapata?
Warumi 13:8:

"Msiwe na deni la chochote kwa mtu, isipokuwa deni la kupendana. Kwa maana yeye anayependa mwenzake amekamilisha sheria."
KWA SABABU TUNAKUPENDENI TUKAKAE PAMOJA PEPONI
 
Tunataka watu wengi wawe waislam kwa sababu: UPATE HAYA . AU HAMUYATAKI?
Katika Uislamu, maisha ya peponi (Jannah) yanatajwa kuwa ni mahali pa furaha na baraka zisizo na kifani. Qur'an na Hadithi (mapokezi kutoka kwa Mtume Muhammad) zinatoa picha za raha na zawadi zitakazowapata waumini waaminifu katika Ufalme wa Mungu. Hapa kuna baadhi ya maelezo kuhusu raha za watu wa peponi:

  1. Furaha na Amani: Watu wa peponi wataishi katika hali ya furaha na amani, bila huzuni au maumivu. Qur'an inasema:
    • Surat Al-Hijr (15:48): "Hawataona ndani yake joto wala baridi."
  2. Matunda na Chakula: Watu wa peponi watapata matunda na chakula cha aina mbalimbali, ambacho kitaonekana kuwa kimejaa ladha na uzuri.
    • Surat Al-Insan (76:14): "Na kutoka chini yao, vyanzo vya maji vya pekee, na matunda ya aina mbalimbali."
  3. Maji na Vinywaji: Katika peponi, watu watapata maji safi, vinywaji vitamu, na divai isiyo na madhara.
    • Surat Al-Insan (76:5): "Kwao utakuwa na divai ya aina ya kijani ya asali."
  4. Ndoa na Huraa: Watakua na wake wa peponi, ambao ni wenye uzuri na tabia nzuri, kwa jina la "huraa."
    • Surat Ar-Rahman (55:56): "Katika hizo, kuna wanawake wenye macho makubwa ya kuvutia."
  5. Mataifa ya Mbinguni: Hali ya maisha ya peponi itakuwa ni kama bustani nzuri na yenye matunda, mito, na kivuli.
    • Surat Al-Baqarah (2:25): "Na wape watu wa peponi mifano ya bustani zilizojaa matunda na mito."
  6. Uhusiano na Mungu: Watu wa peponi watakuwa na furaha ya kiroho na wataweza kuonja karibu na Mungu, ambao ni furaha kuu zaidi.
    • Surat Al-Qiyamah (75:22-23): "Macho yao yatakuwa na macho, kwa kuwa wataangalia Mola wao."
  7. Kutokuwepo kwa Maumivu: Katika peponi, maumivu, huzuni, na shida zote zitakuwa zimeondolewa.
    • Surat Al-Ankabut (29:58): "Tutawaingiza katika Bustani zenye mito itakayopita chini yao."
Je kama hawayataki hayo yote uliyotaja. Mimi binafsi sitaki kwenda pepo ya Allah hata bure sitaki. Wewe unapata hasara gani mimi nikikataa?
Mkienda nyie peke yenu haitoshi?
 
Lengo la Uislamu ni kuwasilimisha Wayahudi na Wakristo ili wawe Waislamu.
Maana yake wanataka Uyahudi na Ukristo ufe.
Ubaki Uislamu, Uhindu, na Dini nyingine.
Kwakuwa hizi imani mbili ni tishio kwao na ni imani halisi za Mungu wa Kweli.
Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo. Mungu aliyemwumba Adam na Hawa, Mungu wa Nabii Musa aliyeumba Mbingu na Nchi na vyote viujazavyo.
Aliyejitambulisha kwa jina la.

Kutoka (Exo) 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO amenituma kwenu.
And God said unto Moses, I AM THAT I AM: and he said, Thus shalt thou say unto the children of Israel, I AM hath sent me unto you.

Huyo Mungu Allah sijui katokewa wapi.
Allah alitakiwa aseme hivi.

"Mimi Mungu wenu Allah ndiye niliyejitambulisha kwa Nabii Musa kwa jina la, MIMI NIKO, Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo leo nakutuma Muhammadi kwa watu wangu"

Sio Mwarabu kaleta Kitabu na kumtambulisha Mungu Allah bila kutueleza katokewa wapi, kabla ya Muhamadi alikuwa anaitwa nani kwa jina. Nk.
 
Je kama hawayataki hayo yote uliyotaja. Mimi binafsi sitaki kwenda pepo ya Allah hata bure sitaki. Wewe unapata hasara gani mimi nikikataa?
Mkienda nyie peke yenu haitoshi?
nitaulizwa nilikufishia ujumbe. nitasema ndio lkn kwa kuwa akili zake zimekumbwa na mdudu mbaya akakataa na akatoa ujeuri. hapo kwangu limeisha tena
 
Lengo la Uislamu ni kuwasilimisha Wayahudi na Wakristo ili wawe Waislamu.
Maana yake wanataka Uyahudi na Ukristo ufe.
Ubaki Uislamu, Uhindu, na Dini nyingine.
Kwakuwa hizi imani mbili ni tishio kwao na ni imani halisi za Mungu wa Kweli.
Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo. Mungu aliyemwumba Adam na Hawa, Mungu wa Nabii Musa aliyeumba Mbingu na Nchi na vyote viujazavyo.
Aliyejitambulisha kwa jina la.

Kutoka (Exo) 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO amenituma kwenu.
And God said unto Moses, I AM THAT I AM: and he said, Thus shalt thou say unto the children of Israel, I AM hath sent me unto you.

Huyo Mungu Allah sijui katokewa wapi.
Allah alitakiwa aseme hivi.

"Mimi Mungu wenu Allah ndiye niliyejitambulisha kwa Nabii Musa kwa jina la, MIMI NIKO, Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo leo nakutuma Muhammadi kwa watu wangu"

Sio Mwarabu kaleta Kitabu na kumtambulisha Mungu Allah bila kutueleza katokewa wapi, kabla ya Muhamadi alikuwa anaitwa nani kwa jina. Nk.
unapotosha jamii.
 
Back
Top Bottom