Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Kipindi Niko darasa la saba Kuna mwalimu alinishawishi sana nijiunge na dini yake ya uislamu, mwishowe nikashawishika maana kwa kipindi kile nilikuwa Bado siko full matured maana nilikuwa Bado hata sijabelehe,nikapewa na jina la middle east,nilihudhuria kama week hivi nikagundua nimepanda mtumbwi wa vibwengo,nikarudi zangu nilipokuwaga,

Ukikaa na waislamu story kubwa atakwambia hamia kwenye dini ya haki lakini sisi wakristu tunakwambia usitende dhambi Mungu hapendi dhambi wapende jirani zako kama unavyojipenda wewe tofauti kabisa na islamists
 
kwani biblia si kaleta Yesu nabii Issa aliezaliwa Palestina? unashangaa nini? tumia akili japo za kuvujia barabara
Biblia kaleta Yesu?
Wakati Yesu alisoma Biblia kitabu cha Isaya alipofundisha kwenye Sinagogi.
Luka 4:17
Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,
18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.

Kwanini ukiwa Mwislamu na kuamua kutangaza hiyo dini, ni lazima ujitoe ufahamu na kuongopa ?
 
Biblia kaleta Yesu?
Wakati Yesu alisoma Biblia kitabu cha Isaya alipofundisha kwenye Sinagogi.
Luka 4:17
Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,
18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.

Kwanini ukiwa Mwislamu na kuamua kutangaza hiyo dini, ni lazima ujitoe ufahamu na kuongopa ?
yesu ni binaadam kama wewe , yeye kazaliwa hakuwa na baba tu. anakunya, akajoa, anakula, akiumbwa na tumbo kama wewe na mimi
 
Kipindi Niko darasa la saba Kuna mwalimu alinishawishi sana nijiunge na dini yake ya uislamu, mwishowe nikashawishika maana kwa kipindi kile nilikuwa Bado siko full matured maana nilikuwa Bado hata sijabelehe,nikapewa na jina la middle east,nilihudhuria kama week hivi nikagundua nimepanda mtumbwi wa vibwengo,nikarudi zangu nilipokuwaga,

Ukikaa na waislamu story kubwa atakwambia hamia kwenye dini ya haki lakini sisi wakristu tunakwambia usitende dhambi Mungu hapendi dhambi wapende jirani zako kama unavyojipenda wewe tofauti kabisa na islamists
wenzio waliosma bIblia wakawiva wamejiunga na uislam. wewe hata biblia hujui rangi yake unakuja na story za vijiweni hapa
 
Kwani mimi nimesema ni Jini ?
Kichwani kwako yamejaa Majini tu ya Kisharifu.
Jinni ni kiumbe ameumbwa. akili zako bora ngombe anaakili kuliko wewe . ndio maana unakuta waislam wengi wanatolea majini makanisani J2 ?
 
Katika Quran, kuna aya kadhaa ambazo zinaelezea hasara na madhara yanayowapata wale wanaofuata dini isiyokuwa ya Uislamu. Quran inasisitiza kwamba mafanikio ya kweli na wokovu hupatikana kwa kumwamini na kumfuata Mwenyezi Mungu wa kweli, kama inavyofundishwa na Uislamu. Hapa kuna baadhi ya aya zinazozungumzia hasara ya kufuata dini nyingine:

Surah Al-Imran (3:85)

  • "Na anayefuata dini isiyokuwa ya Uislamu, haitakubaliwa kwake, naye huko Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara."
  • Aya hii inaeleza wazi kwamba mtu yeyote anayefuata dini nyingine isipokuwa Uislamu hatakubaliwa na Mwenyezi Mungu, na atapata hasara Akhera.

Surah Al-Ma'idah (5:72)

  • "Kwa hakika wamekufuru wale waliosema: Hakika Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu, hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu. Hakika mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu atamharamishia Pepo, na makazi yake ni Motoni. Na wala wenye kudhulumu hawatapata wa kuwanusuru."
  • Hapa, Quran inakemea wale wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu na kuwakataa kuwa wataingia motoni na watakosa msaada wowote.

Surah At-Tawbah (9:30)

  • "Na Mayahudi wanasema: 'Uzair ni mwana wa Mwenyezi Mungu,' na Wakristo wanasema: 'Masihi ni mwana wa Mwenyezi Mungu.' Hayo ndiyo wasemayo kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya wale waliokufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!"
  • Aya hii inaeleza kwamba wale wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu kwa kumfanya Uzair au Masihi kuwa mwana wa Mwenyezi Mungu ni wakufuru, na Mwenyezi Mungu anawashutumu vikali.

Surah Al-Kafirun (109:1-6)

  • "Sema: Enyi makafiri! Siabudu mnachoabudu, wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu. Wala sitaabudu mnavyoabudu nyinyi, wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu. Nyinyi mna dini yenu, na mimi nina dini yangu."
  • Hapa, Quran inasisitiza tofauti za wazi kati ya Uislamu na dini nyingine, na inaonyesha kuwa wale wanaofuata dini nyingine wako katika upotovu.

Surah Al-Bayyinah (98:6)

  • "Hakika wale waliokufuru miongoni mwa watu wa Kitabu na washirikina watakuwa katika Moto wa Jahannam kudumu humo. Hao ndio wabaya wa viumbe."
  • Aya hii inabainisha kuwa wale waliokufuru miongoni mwa watu wa Kitabu (Mayahudi na Wakristo) na washirikina watapata adhabu ya moto wa Jahannam milele.
Katika Quran, ujumbe ni wazi kwamba kuamini na kufuata Uislamu ni njia pekee ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kuepuka hasara ya Akhera. Wale wanaofuata dini nyingine wanaonywa kuhusu adhabu na hasara wanayoweza kupata kwa kutokufuata ukweli wa Uislamu.

FAIDA YA KUWA MUISLAM
Quran inatoa mwongozo na mafundisho mengi yanayoelezea faida za kuwa Muislamu. Hapa chini kuna baadhi ya aya zinazozungumzia faida hizo:

1. Amani na Utulivu wa Kiroho

  • Surah Ar-Ra'd (13:28):
    "Wale walioamini na nyoyo zao zikajaa utulivu kwa kumtaja Mwenyezi Mungu. Bila shaka kwa kumtaja Mwenyezi Mungu nyoyo hutulia."
    • Aya hii inaelezea kuwa kumtaja Mwenyezi Mungu huleta utulivu na amani ya ndani kwa Waislamu.

2. Mwongozo na Nuru

  • Surah Al-Baqara (2:257):
    "Mwenyezi Mungu ni mlinzi wa wale walioamini. Huwatoa gizani na kuwaingiza katika nuru. Na wale waliokufuru, walinzi wao ni mashetani. Huwatoa nuruni na kuwaingiza katika giza."
    • Mwenyezi Mungu huwapa Waislamu mwongozo na nuru, akiwatoa gizani na kuwaingiza katika mwanga wa haki.

3. Msamaha na Rehema

  • Surah Az-Zumar (39:53):
    "Sema: Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu! Msiikate tamaa rehema ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ndiye Mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu."
    • Uislamu unatoa nafasi ya msamaha na rehema kwa wale wanaotubu na kumrudia Mwenyezi Mungu.

4. Malipo ya Pepo

  • Surah An-Nisa (4:57):
    "Na wale walioamini na kutenda mema, tutawaingiza katika mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo milele. Humo watakuwa na wake walio takasika, na tutawaingiza katika kivuli cha kunyamaza."
    • Waislamu wanaoamini na kutenda mema wanapewa ahadi ya kuingia Peponi na kufurahia maisha ya milele yenye neema.

5. Heshima na Hadhi

  • Surah Al-Hujurat (49:13):
    "Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tukakufanyeni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamungu zaidi kati yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye habari."
    • Uislamu unahimiza heshima na hadhi kwa watu wote, na kuwa mtukufu mbele ya Mwenyezi Mungu ni kwa uchamungu na matendo mema.

6. Umoja na Undugu

  • Surah Al-Hujurat (49:10):
    "Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe."
    • Uislamu unasisitiza umoja na undugu miongoni mwa Waislamu, ambapo wanapaswa kusaidiana na kupendana.

7. Heshima kwa Wazazi

  • Surah Al-Isra (17:23):
    "Na Mola wako ameamrisha usimuabudu yeyote ila Yeye tu, na (ameamrisha) kuwafanyia wema wazazi wawili. Kama mmoja wao au wote wawili wakifikia uzee nao wapo pamoja nawe, basi usiwaambie hata ‘Ah!’ wala usiwakemee, na waambie maneno ya heshima."
    • Uislamu unafundisha heshima kubwa kwa wazazi na kuwatendea wema, hasa wanapokuwa wazee.

8. Kujiepusha na Madhara

  • Surah Al-Baqara (2:195):
    "Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala msijitumbukize kwa mikono yenu katika maangamizo; na fanyeni wema; hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema."
    • Uislamu unafundisha kujiepusha na mambo yanayoweza kusababisha madhara na kuhimiza kufanya wema.
Tatizo lilianza tulipo kabidhi akili zetu kwa wazungu na waarabu. Ukitumia akili yako vizuri utagundua kuwa hapo kwenye dini TULIPIGWA. Ila hakuna shida, endelea kubishana dini ipi ni sahihi, nani msafi na yupi ni msafi, nani aende mbinguni na yupi aende motoni.
 
Tatizo lilianza tulipo kabidhi akili zetu kwa wazungu na waarabu. Ukitumia akili yako vizuri utagundua kuwa hapo kwenye dini TULIPIGWA. Ila hakuna shida, endelea kubishana dini ipi ni sahihi, nani msafi na yupi ni msafi, nani aende mbinguni na yupi aende motoni.
hakuna dini ya Mwarabu. dini ya binaadam wote wenye akili. asie na akili anaabudu jiwe kama wewe
 
Hiki kitabu kitukutu kimejaa bangi mwanzo mwisho.
Ona hapa
Surah Al-Baqara (2:257):
"Mwenyezi Mungu ni mlinzi wa wale walioamini. Huwatoa gizani na kuwaingiza katika nuru. Na wale waliokufuru, walinzi wao ni mashetani. Huwatoa nuruni na kuwaingiza katika giza."


Kwaiyo wasiomwamini allah wanalindwa na mashetani kweli ata kama unavuta bangi ya tarime unaweza kuamini huu uongo.

Haya tuendelee

Surah An-Nisa (4:57):
"Na wale walioamini na kutenda mema, tutawaingiza katika mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo milele. Humo watakuwa na wake walio takasika, na tutawaingiza katika kivuli cha kunyamaza.king amazed

Hapa mr allan nkuku anawaahidi wafuasi kuwapa bustani na mito ya pombe na mademu

Anachoweza kukupa mr allah ni pombe na madem kuanzia hapa duniani mpaka huko aliko
Hapa ndipo uelewe allah hajawahi kuwa Mungu.
 
Kama dini nyingine hazimuabudu MUNGU unayemuamini wewe, mbona uislam na waislam ukiwalinganisha na wakristo kwa mfano, mbona kuna ufanano mkubwa sana eneo la ibada na hata maagizo yao waliyopewa kuyafuata.

Nikikwambia tu hapa kwa mfano, waislam si wanafuata amri 10 zile zile walizoagizwa wakristo kuzishika?
Mkuu ukristo na uislam una tofauti kubwa sana uislam ulikuwepo toka enzi za Adam ila ukristo umepatikana baada ya yesu kuondoka na huu ni mkakati wa shetani haukuanza leo toka zama Adam alipo umbwa
 
leteni hoja msilete matusi.
Uislam hakuna upendo. Nioneshe mstari mmoja kwenye Quran unaotaja neno upendo
Upendo wa Watu kwa Watu Wengine:

  • Surat Al-Mumtahanah (60:8):
    "Mwenyezi Mungu hawakatazi wale wanaokutendea mema na kuwaadilisha na nyinyi kwa sababu ya dini, kutowachukia kwa sababu ya dini wakiwa ni wale waliojitenga na kuishi kwa amani na nyinyi."
    Aya hii inasema kuwa Waislamu hawapaswi kuwa na uadui na wale wanaoishi kwa amani pamoja nao, licha ya tofauti za kidini.

TATIZO MNALISHWA MANENO SIKU ZA J2 ILI SADAKA ZAO ZIJAE
 
njooni njooni mupate darsa ili mkienda makanisani muweze kuwabana wachungaji kwa maswali
 
wenzio waliosma bIblia wakawiva wamejiunga na uislam. wewe hata biblia hujui rangi yake unakuja na story za vijiweni hapa
Kwamba bila kujua kiarabu siendi mbinguni? Hizi story ukimwambia hata darasa la pili B atakuona punguani
 
Mwisho utamuuliza aliekuazaa ulipita vipi hapo ulipopita?
Ndiyo maana kuna jamaa kakujibu "Sijasoma huu use*ng*"
Kumbe kweli umeandika use*ng*
Mwingine kakupa mfano wa wana muzik Bob Marley na luck dube bado hujaelewa maana wewe popoma

Mwingine kakuambia uache utoto maana unafikir huku kila mtu anamawazo kama yako ya kitoto

Amini unachoamini kila mtu na Iman yake
Kawahubirie wahindi na wachina huyo alla wako
 
Back
Top Bottom