Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Hawa Jamaa sijui ukienda sana madrasa na akili nazo zinaishia huko,Kuna mwamba kasema uislamu una thamani sana kuliko mwanadamu, Imagine Mungu unathamini dini kuliko Wana wake😀😀
Mwingine kasema uislamu unajipigania tofauti na ukristo nikabaki mdomo waziri, huwezi ukakuta hata siku moja mkristu anamshawishi mtu kuwa twende huku ukasali achana na kanisa lako utaenda kichomwa moto mbinguni, wakristu waga anahubiri kuhusu upendo na mambo mengine ya kumpendeza Mungu.
Akili za ndugu zetu katika Imani zimeishia kwenye dini badala ya kufanya maendeleo, wakati wenzao wanajenga mashule, hospital,vyuo vikuu wenyewe wanataka kuweka na Sheria zao kwenye vyuo vya wenzao mfano kila cha hydom
 
1. Kwanza ni Mungu na siyo mungu

2. Wewe umejuaje kuwa dini ya Kikristo haitambuliwi na Mungu? Mungu mwenyewe Amekwambia hivyo au umesoma kwenye Quran ( ambayo wengine hawaiamini)? Vipi kuhusu dini nyingine (Hinduism, Shintoism, Taoism....); zinatambuliwa na Mungu au ni Uislamu pekee?

3. Hakuna mjumbe ye yote wa Mungu aliyewahi kuwa Mkristo? Unaelewa chimbuko na maana ya jina Kristo/Mkristo?

4. Yesu hakuwa Mkristo...sawa na vile Muhammad hakuwa mwislamu ama? Kwa maana wote ni waanzilishi wa matapo yao ya fikra?
1. Hakuna aya wala ushahidi wowote kuwa ukiristo ni dini ya MUNGU kutoka katika vitabu vyote
2. swali lako la tatu, mtaje mtume au nabii mkiristo
3. ukirsito chimbuko lake ukiristo ni antokia. Italy miaka ming yesu hayupo,
petro ndo mwanzilishi wa ukiristo, na ibada za kikiristo ni za kubuni wala hadhina asili kwa mitume wa MUNGU
yesu alikuwa ni muislam, muislam ni yeyote anayeamini katika MUNGU mmoja na sio katika utatu wa kutunga, ibrahim, musa, wote waislam maana waliamin katika MUNGU mmoja
 
Dini anayotambua Mwenyezi Mungu ni uislam, nyengine ukifa katika dini hizo upo katika hasara ndio maana waislam wamepewa jukumu la kuelimisha hilo
Vice versa pia 😂😂😂😂😂😂, binadam bwanaaa
 
dini ya kikiristo haitambuliwi na mungu maana ata yesu mwenyewe sio mkiristo,

na hakuna mjumbe yeyote wa mungu aliwahi kuwa mkiristo
Yesu ndio kristo, anaitwa Yesu Kristo au Jesus Christ, hawezi kua Mktristo, yeye ni kristo, mimi ninae amini katika yeye ndio nakua mkristo na sio yeye
 
kwa mjibu wa Qur'an, siku ya kiama itapulizwa balagumu viumbe vyote vitakufaa, na baada ya hapo Allah atauliza kuna yeyote amebaki, kimya kitatawala kumaanisha hakuna kiumbe kimebaki
Ni uongo, Kuna mitume ambao wametwaaliwa bila kufa, hilo ni uongo
 
ibada za WAISLAM hufanyika kwenye misikiti, na yesu alifanya huko pia,
kasome fasili ya neno sinagogi alilokuwa akienda yesu

ibada za kanisani ni za kubuni na wote wanaoenda huko watachomwa moto maana wamekufuru
 
Wanaoiamini hiyo dini ndio hao hao wanaojivika mabomu na kuamini katika majini?
 
Ni uongo, Kuna mitume ambao wametwaaliwa bila kufa, hilo ni uongo
ndio siku ya kiama kila kitu kitahudhurishwa, kikiwa kimekufa kitafufuliwa kisha kila kitu kitafishwa tena kwa balagumu, na Mungu atauliza kama kuna kiumbe kipo hai, kuashiria ukuu wake
 
1. Hakuna aya wala ushahidi wowote kuwa ukiristo ni dini ya MUNGU kutoka katika vitabu vyote
2. swali lako la tatu, mtaje mtume au nabii mkiristo
3. ukirsito chimbuko lake ukiristo ni antokia. Italy miaka ming yesu hayupo,
petro ndo mwanzilishi wa ukiristo, na ibada za kikiristo ni za kubuni wala hadhina asili kwa mitume wa MUNGU
yesu alikuwa ni muislam, muislam ni yeyote anayeamini katika MUNGU mmoja na sio katika utatu wa kutunga, ibrahim, musa, wote waislam maana waliamin katika MUNGU mmoja
Mungu anakuaje na dini??
 
KAZI YANGU KULETA UJUMBE NA USHAUSOMA NI JUKUMU LAKO KUUTAFUTA UKWELI, UKIBAKI HIVYO HIVYO NA GIZA LAKO HIO SIO KAZI YANGU MIMI
Una hakikishaje na kuthibitishaje Quran yako hiyo ina ukweli?

Au unafosi hadithi zenu uchwara za Quran mlizo pumbazwa?
 
ndio siku ya kiama kila kitu kitahudhurishwa, kikiwa kimekufa kitafufuliwa kisha kila kitu kitafishwa tena kwa balagumu, na Mungu atauliza kama kuna kiumbe kipo hai, kuashiria ukuu wake
Kuna manabii ambao hawakufa , hilo tu linafanya kua story za uongo, hakuna kitu kama hicho, dunia itaisha kuna watu watakua hai
 
dini ya kikiristo haitambuliwi na mungu maana ata yesu mwenyewe sio mkiristo,

na hakuna mjumbe yeyote wa mungu aliwahi kuwa mkiristo

1. Kwanza ni Mungu na siyo mungu

2. Wewe umejuaje kuwa dini ya Kikristo haitambuliwi na Mungu? Mungu mwenyewe Amekwambia hivyo au umesoma kwenye Quran ( ambayo wengine hawaiamini)? Vipi kuhusu dini nyingine (Hinduism, Shintoism, Taoism....); zinatambuliwa na Mungu au ni Uislamu pekee?

3. Hakuna mjumbe ye yote wa Mungu aliyewahi kuwa Mkristo? Unaelewa chimbuko na maana ya jina Kristo/Mkristo?

4. Yesu hakuwa Mkristo...sawa na vile Muhammad hakuwa mwislamu ama? Kwa maana wote ni waanzilishi wa matapo yao ya fikra?
1. Hakuna aya wala ushahidi wowote kuwa ukiristo ni dini ya MUNGU kutoka katika vitabu vyote
2. swali lako la tatu, mtaje mtume au nabii mkiristo
3. ukirsito chimbuko lake ukiristo ni antokia. Italy miaka ming yesu hayupo,
petro ndo mwanzilishi wa ukiristo, na ibada za kikiristo ni za kubuni wala hadhina asili kwa mitume wa MUNGU
yesu alikuwa ni muislam, muislam ni yeyote anayeamini katika MUNGU mmoja na sio katika utatu wa kutunga, ibrahim, musa, wote waislam maana waliamin katika MUNGU mmoja
Nimekuelewa ostaadh. Kama na Yesu alikuwa mwislamu basi hapo ni Kigoma mwisho wa reli. Mjadala umeumaliza kibabe!

Ngoja tu nianze mchakato wa kusilimu ili nisije nikakosa mabikra 72 na mito ya pombe isiyokauka siku nikikata moto! 🙌
 
Wanaoiamini hiyo dini ndio hao hao wanaojivika mabomu na kuamini katika majini?
kuzusha mambo hakutakusaidia chochote, mabomu, ni hulka binafsi hujaona anti barakah mashariki ya kati,
hakuna muislam duniani anayeamin majini hizo propaganda unazokarrishwa kanisani siku ya kiama mchungaji wako atazikana, lakin hazitawasaidia wote mtaishia motoni bila huruma, karibuni katika dini ya haki na kweli , tupate kusalimika na hekaheka za siku ya kiama
tumuabudi mungu mmoja, muumba wa mbingu na ardhi
achana na stori za kutunga,
majin, mashetani, ugaidi, na takataka nyingine,
uislam ni dini ya amani na imekamirika na inaendana na ubinadamu wako ndugu yangu
 
Quran inasema kila nafsi itaonja mauti (Kufa) bibi zako bado wapo hai kijijini?
Hata Biology inasema seli za kila mwanadamu hufa kadiri muda unavyokwenda na mwisho wa siku kila kiumbe hufa.

Hivyo Quran sio kitabu cha kwanza kusema kwamba binadamu hufa.
 
Hivi Vibuyu ndani ya Kaaba Macca vina kazi gani?? Na hili jiwe
achana na vibuyu, karibu katika uislam tumuabudu Mungu mmoja mwenye nguvu, muumba wa kila kitu
tusikilize sisi waislam achana na wachugaji wako wanaokurisha propaganda wakati wanasaka waumin
sisi hapa hatutafuti waumini bali ni jukumu letu kuwafikishia ukweli tunaoujua na huruma yetu kwenu
 
Hivi Vibuyu ndani ya Kaaba Macca vina kazi gani?? Na hili jiwe
achana na vibuyu, karibu katika uislam tumuabudu Mungu mmoja mwenye nguvu, muumba wa kila kitu
tusikilize sisi waislam achana na wachugaji wako wanaokurisha propaganda wakati wanasaka waumin
sisi hapa hatutafuti waumini bali ni jukumu letu kuwafikishia ukweli tunaoujua na huruma yetu kwenu
 
Back
Top Bottom