Ujumbe huu wa Mchungaji Peter Msingwa amemaanisha nini na amemlenga nani?

Ujumbe huu wa Mchungaji Peter Msingwa amemaanisha nini na amemlenga nani?

Wewe kilaza hii ni fasihi kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yake au umesahau umeandika nini kwenye post yako # 3 ? Halafu unavyojisifia kujua kizungu nakucheka kwa dharauuu, kadiri unavyozidi kutaka kuandika mambo mengi ndiyo unajiumbua kuwa wewe ni kilaza tu.
Kwa hiyo dogo unataka kujifananisha na mimi katika kizungu?😀😀
 
Kwa hiyo dogo unataka kujifananisha na mimi katika kizungu?😀😀
Kumbe wewe ni mmoja wa wale ambao wanaona kujua kuongea Kingereza ndiyo kipimo cha kuelemika, pole sana ndiyo maana wenzako waliojifunza kingereza kwa Ras Simba wameishia kupakwa mafuta na Pdidy, bado wewe kwa tamaa yako ya kuteuliwa lazima utapakwa mafuta tu hakuna jinsi nyingine.
 
Kumbe wewe ni mmoja wa wale ambao wanaona kujua kuongea Kingereza ndiyo kipimo cha kuelemika, pole sana ndiyo maana wenzako waliojifunza kingereza kwa Ras Simba wameishia kupakwa mafuta na Pdidy, bado wewe kwa tamaa yako ya kuteuliwa lazima utapakwa mafuta tu hakuna jinsi nyingine.
Akiwazacho mjinga ndicho kimtokacho. Wewe ni mjinga mwenye mawazo ya kijinga.
 
Wapi ameandika CCM hapo? Kama hujuwi na kuelewa kizungu ,soma kwa chini nimefafanua kwa Kiswahili.
Wewe pimbi hakuna lugha ya kizungu hapa duniani. Wewe jamaa kumbe bado mnywanywa sana
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili maana ya Fasihi hiyo.unafahamu maana ya Fasihi?😀😀 Na ulivyo mbumbumbu sizani kama unaweza kuelewa.
Lucas wakiitwa wenye akili utatokea? Kutwa kucha kuwafagilia wenye CCM yao wala hawana mpango na wewe huoni huo ni ujuha kabisa.
 
Msigwa anaonesha anapitia wakati mgumu sana...hapo anatoa tahadhari kwa aliowaacha CHADEMA kwamba kuondoka kwake kuwe tahadhari na funzo kwa waliobaki.
 
Msigwa anaonesha anapitia wakati mgumu sana...hapo anatoa tahadhari kwa aliowaacha CHADEMA kwamba kuondoka kwake kuwe tahadhari na funzo kwa waliobaki.
Mtumishi wa Mungu yupo na amani sana ndani ya CCM.ndio maana unaona kwa sasa hata uso wake ni wenye furaha na tabasamu
 
Kijani ni CCM! Sijui anamaanisha kuna mtu CCM ameanguka onyo kwa wengine.
Lakini niseme tu Msigwa anaathiriwa na Chademaphobia,yaani ameondoka Chadema akiwa anaipenda ila tatizo lilikuwa Mbowe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ndio Ujumbe wa Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa alio uandika kupitia katika ukurasa wake wa Twitter

Je, anamaanisha nini au kutuma ujumbe gani na kumlenga nani.

Kwa wasio elewa kizungu nawasaidia kuwafafanulia. anasema kuwa Kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile La kijani. Au mwingine anaweza kusema kuwa kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile Bichi. Kama mnavyojua maneno ya kizungu . inategemeana na wewe mwenyewe utakavyotafsiri. Japo usije tafsiri kwa tafsiri Sisisi.Nadhani wasomi mnaelewa maana ya tafsiri sisisi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi huyo aliyewahi kusema ccm wana akili ndogo,ameanza kuwasumbua na huko? Kwa nini anawatesa wakati anajua uwezo wa kufikiri?
 
Back
Top Bottom