Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Ungeacha wenye akili kubwa wajadili hoja"Warning to the GREEN ONE "
Anamaanisha yupo CCM ambayo ni GREEN kuhakikisha anakihujumu kinaanguka.
Nadhani umeelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeacha wenye akili kubwa wajadili hoja"Warning to the GREEN ONE "
Anamaanisha yupo CCM ambayo ni GREEN kuhakikisha anakihujumu kinaanguka.
Nadhani umeelewa.
Kwamba hujui kuwa Green ni KIJANI Kwa kiswahili?Ungeacha wenye akili kubwa wajadili hoja
huyo akafue nguo za bosi wakeNdugu zangu Watanzania,
Huu ndio Ujumbe wa Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa alio uandika kupitia katika ukurasa wake wa Twitter
Je, anamaanisha nini au kutuma ujumbe gani na kumlenga nani.
Kwa wasio elewa kizungu nawasaidia kuwafafanulia. anasema kuwa Kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile La kijani. Au mwingine anaweza kusema kuwa kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile Bichi. Kama mnavyojua maneno ya kizungu . inategemeana na wewe mwenyewe utakavyotafsiri. Japo usije tafsiri kwa tafsiri Sisisi.Nadhani wasomi mnaelewa maana ya tafsiri sisisi.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anasema tangu aende ccm haonekani tena yaani kama Jani liloangukaNdugu zangu Watanzania,
Huu ndio Ujumbe wa Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa alio uandika kupitia katika ukurasa wake wa Twitter
Je, anamaanisha nini au kutuma ujumbe gani na kumlenga nani.
Kwa wasio elewa kizungu nawasaidia kuwafafanulia. anasema kuwa Kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile La kijani. Au mwingine anaweza kusema kuwa kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile Bichi. Kama mnavyojua maneno ya kizungu . inategemeana na wewe mwenyewe utakavyotafsiri. Japo usije tafsiri kwa tafsiri Sisisi.Nadhani wasomi mnaelewa maana ya tafsiri sisisi.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unahangaika kumpaisha "Mchungaji" (sijui wa wapi) bure huyu ni irrelevant na hana impact kwa yeyote na chochote,mwambie aliyetoa fedha anunuliwe amelamba garasaNdugu zangu Watanzania,
Huu ndio Ujumbe wa Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa alio uandika kupitia katika ukurasa wake wa Twitter
Je, anamaanisha nini au kutuma ujumbe gani na kumlenga nani.
Kwa wasio elewa kizungu nawasaidia kuwafafanulia. anasema kuwa Kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile La kijani. Au mwingine anaweza kusema kuwa kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile Bichi. Kama mnavyojua maneno ya kizungu . inategemeana na wewe mwenyewe utakavyotafsiri. Japo usije tafsiri kwa tafsiri Sisisi.Nadhani wasomi mnaelewa maana ya tafsiri sisisi.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naona mnaumia sana mnapoona wenye akili Timamu na wanaojitambua wote wanaendelea kuwakimbia huko Saccoshuyo akafue nguo za bosi wake
Nampaishaje wakati jina lake linafahamika kwa watanzania wote .Unahangaika kumpaisha "Mchungaji" (sijui wa wapi) bure huyu ni irrelevant na hana impact kwa yeyote na chochote,mwambie aliyetoa fedha anunuliwe amelamba garasa
Haonekani vipi wakati unaona anaendelea kung'ara tuAnasema tangu aende ccm haonekani tena yaani kama Jani liloanguka
Tena kwa heshima sio tena Msigwa bali Mch Peter Msigwa😂😂leo umetumia majina yote matatu
Tena kwa heshima sio tena Msigwa bali Mch Peter Msigwa😂😂
Huyu shetani hata lugha hajuiWewe kilaza hii ni fasihi kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yake au umesahau umeandika nini kwenye post yako # 3 ? Halafu unavyojisifia kujua kizungu nakucheka kwa dharauuu, kadiri unavyozidi kutaka kuandika mambo mengi ndiyo unajiumbua kuwa wewe ni kilaza tu.
Uwe na adabu kwa watumishi wa Mungu.watakulaani uanze kuokota Makopo.Huyu ni tapeli wa MUNGU hana uchungaji wowote
Dogo uwe na adabu.Huyu shetani hata lugha hajui
Huyo ni mtumishi wa shetani na CCMUwe na adabu kwa watumishi wa Mungu.watakulaani uanze kuokota Makopo.
Ila wewe shetani siku ukifa tutakumiss snDogo uwe na adabu.
Utakufa wewe na laana zako.Ila wewe shetani siku ukifa tutakumiss sn
Ndugu zangu Watanzania,
Huu ndio Ujumbe wa Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa alio uandika kupitia katika ukurasa wake wa Twitter
Je, anamaanisha nini au kutuma ujumbe gani na kumlenga nani.
Kwa wasio elewa kizungu nawasaidia kuwafafanulia. anasema kuwa Kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile La kijani. Au mwingine anaweza kusema kuwa kuanguka kwa Jani kavu ni Tahadhari kwa lile Bichi. Kama mnavyojua maneno ya kizungu . inategemeana na wewe mwenyewe utakavyotafsiri. Japo usije tafsiri kwa tafsiri Sisisi.Nadhani wasomi mnaelewa maana ya tafsiri sisisi.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anangara vipi? Kutwa kumsema Mbowe utadhani wanaugomvi kinyumbaHaonekani vipi wakati unaona anaendelea kung'ara tu
Kwa hiyo unataka asiseme uovu wake?Anangara vipi? Kutwa kumsema Mbowe utadhani wanaugomvi kinyumba