Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Kwani watu wanachaguliwa kwa kanda au sifa? Muanze kuwa mnatumia akili wakati mwingine na kuepuka infiriority complex. Watanzania hawaangalii rangi ya paka. Wanaangalia paka atakayeshika panya
Sizungumzii authority nazungumzia legitimacy.

This is politics. And politics is science. Power Politics is how you can convince makundi ya kijamii kukuunga mkono. Iwapo akili ya vijana wa chadema bado inaamini watu wa pwani hawana weledi wa kuteuliwa chadema. Nimekula kwenu. It's to a matter of inferiority its about legitimacy Uhalali wa kuwashawishi watu baada kujua utamaduni wao
 
Kama siasa makini zingekuwa zinafuata udini na ukabila basi tungekuwa na taabu kubwa kama taifa, uhalali unaozungumzia wa kuteuliwa siyo merit za uongozi unatengeneza jamii inayoongozwa kiimla wala siyo kidemokrasia.

Katika kampeni za CHADEMA sikusikia kundi lolote lililokuwa linahubiri au kufanya kampeni kwa kufuata misingi ya udini na ukabila, hata tena mbili zilizokuwa zinachuana hazikujitanabaisha na udini wala ukanda. Tanzania inaenda mbele na si kurudi nyuma, tunatofautishwa na nchi kama kenya kwa sababu Tanzania licha ya kuwa na makabila zaidi ya 126 badi haijaadhiri umoja wa watanzania.

Hata wakati wa kugombea uhuru kulikuwa hakuna matabaka ya udini. Nikuulize swali ulitoka CUF sawa, katika uongozi wa CUF enzi za Ibrahim Lipumba na Maalim Seif kwenye safu ya uongozi kulikuwa na wakristo wangapi? Na ulisikia wenye akili wakilalamika?

Mimi nakushauri rudi ACT waislamu viongozi ni wengi hutaumia achana na CHADEMA hiki ni chama cha demokrasia kama ulivyoona kwenye uchaguzi. Hakuna kampeni za udini hapa
 
Si uende huko chauma shida ni nini?
Sawa. Hata chawa mmoja wa Mbowe aliwashauri chawa wa Lissu kama Mbowe hana ushawishi watafute vyama vingine.

Kama hizi ndio fikra za Lissu mtapiga ninyi wenyewe kura kama mtashinda.

Kam watu wa pwani wanapoona kauli hizi za Ego kutoka chadema, tunapata nguvu kuwa ccm na chadema wote ni wabaguzi na hawatoweza kushinda uchaguzi kama si kwa kuibiana kura.

Nani sasa atasimama juani kusubiri kuwapigia kwa chama wasichokuwa na wawakilishi wao
 
Ushauri mzuri. Na nina wasiwasi wewe ni Lissu na alichofanya ni mpango maalum.

Lkn hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo​

 
Ushauri mzuri. Na nina wasiwasi wewe ni Lissu na alichofanya ni mpango maalum.

Lkn hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo​

Hakuna tatizo bali tatizo liko kwenye mtazamo wako ambao unataka tatizo.

Hapa umeonyesha rangi rangi yako asili, chuki dhidi ya Lissu kwa sababu ni mkristu. Toka ameingia kwa kampeni za wazi wala hakufanya kwa siri, ila wewe ndio una mpengo maalumu: UDINI
 
Majitu yanayoendekeza udini na ukabila yanakiwa kukatwa vichwa.
PUMBAVU.
 
Swali ni dogo tu. Unajua maana ya legitimacy. Kama hujui subiri dunia itakufundisha. Nasaha zangu ni za nia nzuri na muda bado tunao ikiwa tunataka kushika dola.

Legitimacy ndio roadmap ya kushika dola.
 
Kwani wamegombea wakaondolewa? Sijaona unacholalamika. Si waligombea waliomba kugombea na kura zimepigwa wazi? Ulitaka waseme sasa tuchague wa kutoka Pwani? Hiyo ni tabia ya kujishtukia. Mimi wa Pwani sikwenda kuomba kugombea wangenichaguaje?
 
Kwani wamegombea wakaondolewa? Sijaona unacholalamika. Si waligombea waliomba kugombea na kura zimepigwa wazi? Ulitaka waseme sasa tuchague wa kutoka Pwani? Hiyo ni tabia ya kujishtukia. Mimi wa Pwani sikwenda kuomba kugombea wangenichaguaje?
Nazungumzia legitimacy na sio authority.

Kama hamuelewi kuhusu uongozi (leadership) na ushawishi subirini October.
 
Marais wte-Zenji na Tangnyika waislam na wa2 wamefnga midomo. Wajumbe toka Zenji wote waislam, watu kimya. Katiba hazishabikii dini na walochagliwa walijituma wenyewe kugombea hivyo kama mtu kagwaya kugombea, nlifikiri ni uoga binafsi. Wasituletee mambo ya udini usio kuwepo, tulisghapita huko toka zmani
 
Kwani sisiemu tangia iwape nafasi watu wa mwambao mlipata faida gani? Siasa zaudini zimepitwa na wakati Rais kua Muislam au mtu wa pwani imewasaidia vipi kuondokana na umasikini mmekua mkichagua sisiemu maisha yenu yote imewasaidia nini mkiwa ni moja ya maeneo masikini nchini? Muacheni TAL aunde team yake kadiri anavyoona inafaa mlitabiri kusambaratika kabla yanuchaguzi tunzeni kumbukumbu safari hii atawashangaza
 
Utaratibu wa ccm ni kupingana kwa awamu kati ya waislam na wakristo. Wameamua kufanya hivyo tutafute legitimacy kwa wananchi. Hiki kitu ni muhimu lkn kama hamuelewi muda utaongea.

Kuhusu znz wanafata demokrasia ya kweli. Kwani pamoja kina asilimia ndogo ya wahindi na wakristo. Lkn ktk kila teuzi basi wanashirikishwa.

Ndio ni kanuni ya kidemokrasia ya majority lead, minority wanatambuliwa
 
Mimi ni muislam Minority chadema.

Ubaduguzi wa ccm kwa waislam, kuwadhulu na kuwatumia sheria kali dhiki ya waislam ndio sababu ya waislam wengi kuchukua ccm. Kwass SISIEM inachukua madaraka kwa wizi. Si kwa ridhaa ya wananchi. Kimbilio ni chama kikuu cha upinzani chadema. Lkn mbona sasa nayo ni wabaguzi kama ccm. Mfumo kristo, Mfumo Kristo ni anguko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…