Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
piga *149*03*01#Mimi sikuona hata apology yao. Hovyo kabisa
Mtandao wa hovyo huu mb 300 za kazi gani? Watu wamekula gb 2 mpaka mda unaisha wanaleta et mb 300Ujumbe huu hapa.
Tunaomba radhi kwa hitilafu ya mtandao Feb 22, Tafadhali pokea Mb 300 zitumike ndani ya saa 24. Piga *149*03*01# >300 Mb BURE kupata ofa hii
Pamoja na hayo bado iko slow ajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walituma mkuuMimi sikuona hata apology yao. Hovyo kabisa
Pole Mkuu wangu siku wakirudia watatukomaVoda pumbav zao niliwajaribu ila pumba kabisa.... Yaani kutwa nzima wameninyima neti halafu asubuhi naamka eti muda wa kifurushi umeisha....Halafu mwishoni wanasema yajayo yanafurahisha upo tayari....Sipo tayari kwa wadwanzi kama nyie Vodacom Tanzania...Nimehamia tigo moja kwa moja.
PoleDuh kumbe sikuwa peke yangu. Yaani jana nilitamani kulia, na wala sijaona hiyo massage yao ya msamaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwangu naona hamna na sms sikutumiwaMtandao wa hovyo huu mb 300 za kazi gani? Watu wamekula gb 2 mpaka mda unaisha wanaleta et mb 300
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakirudia wap nshajikataa nao mmPole Mkuu wangu siku wakirudia watatukoma
Ili kuepuka hasara, wanatoa Mb 300 tu kwa saa 24.Haaa😄😅😃🤣😂😁
Tunataka Mb Kama Ulinunua GB2
Umepewe Zote Kwa Muda Wa Wiki Ama Mwezi