Ujumbe kutoka Vodacom: Internet imerejea kama kawaida yaahidi kufidia mb's zilizopotea

Ujumbe kutoka Vodacom: Internet imerejea kama kawaida yaahidi kufidia mb's zilizopotea

Sawa huduma imerejea lakin speed yao iko slow nashindwa hata kustream na mtandao ni 4g
 
View attachment 1367972View attachment 1367972
Wadau oneni VODACOM walivyowahuni. Leo asubuhi nikatumiwa ujumbe eti nina MB300 ili kunipoza na tatizo la jana la internet, na kibaya asubuhi nilitumia ile njia ya kuomba fidia nikaona napewa 50MB nikawa nimeacha ila baadaye ndiyo napewa MB 300, ambazo nimepewa saa 9:11 nikiambiwa zitakaa masaa 24 ila ilipofika saa 9:42 nikatumiwa ujumbe muda umeisha. VODA hawajatudendea haki wateja.
. Mimi nmepewa 1gb nusu saa imeisha😁😁
 
Na hisi kudhulumiwa nilinunua kifurushi cha tshs 2500 nilidhani mb zimekwisha, bado nikawa sipati net.

Baadaye nikaona ujumbe wao juu ya tatizo la mtandao. Leo natumiwa ujumbe kifurushi chako cha 2500 kimekwisha.

Kisha napokea ujumbe umezawadiwa mb 300 hii ni zawadi?
 
Vooooodaaa!!! Lugha mliyotumia siyo sawa hii siyo OFA mmerejesha mb nilizonunua mkashindwa kunipa huduma stahili.
 
Back
Top Bottom