Bado Tupo hatujaonekana tu!Tulipowaambia CCM imeishiwa watu hamkuelewa? Huyu alifirisi mradi wa mabasi ya wanafunzi, ulitegemea nini tena?
Tumeshakuona tayariBado Tupo hatujaonekana tu!
Kweli amepwaya mno tena sana. Tokea aanze kuzunguka hajaonyesha kuwa anajua siasa bali bingwa wa nahau na maneno ya kejeli. Watanzania wa leo ni waelewa tafadhali jipange upya. Bila kupepesa macho rudisheni BashiruChama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.
Ila kuna sehemu unakwama.
Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/ kupumguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa ccm wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.
Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.
Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Mnataka wasanii kama Makonda waje kuwahadaaa na misafara ya mikokoteni?Nchimbi hana sifa ya cheo alichopewa
Kapwaya sana
Mnataka afanye maigizo? Mnataka misafara ya Toyo, punda na mikokoteni? acheni ujinga.Kweli amepwaya mno tena sana. Tokea aanze kuzunguka hajaonyesha kuwa anajua siasa bali bingwa wa nahau na maneno ya kejeli. Watanzania wa leo ni waelewa tafadhali jipange upya. Bila kupepesa macho rudisheni Bashiru
Mnataka maigizo au nini? mntaka aanze kufanya sanaaa majukwaani? AU mnataka aagize viongozi wa Serikali watoke offisini waje kuongeza idadi ya magari ya msafara wake kama Makonda?Nchimbi hana sifa ya cheo alichopewa
Kapwaya sana
Pengine hujui siasa wewe CHAWA. Mwambie Nchimbi aendelee na mwendo huo huo tu baadaye mapema 2025 urudi kumshutumu!!!Mnataka afanye maigizo? Mnataka misafara ya Toyo, punda na mikokoteni? acheni ujinga.
Yaani wabongo tunapenda sana maigizo, uhalisia hatutaki tunataka maigizo na usanii
Zama zao zimeChama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.
Ila kuna sehemu unakwama.
Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/ kupumguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa ccm wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.
Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.
Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Chama wapewe vijana,hao akina Nchimbi zama zoa zimeisha!Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.
Ila kuna sehemu unakwama.
Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/ kupumguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa ccm wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.
Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.
Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
CrapChama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.
Ila kuna sehemu unakwama.
Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.
Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.
Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Tatizo vijana wengi wapya ccm hawajui hata asılı ya ccmMnamtaka yule anayepiga picha na vikongwe 😂😂,
Bado hamjasemaa, mtasema tu mtasemaaaChama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.
Ila kuna sehemu unakwama.
Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.
Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.
Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Bashite ni mpuuziMnataka wasanii kama Makonda waje kuwahadaaa na misafara ya mikokoteni?
Mnamtaka bashite na mazingaombwe yake!Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.
Ila kuna sehemu unakwama.
Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.
Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.
Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Wewe hujui kazi za katibu mkuu wewe. Aliyekwambia kazi zake ni kucheza sarakasi mtaani ni nani?Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.
Ila kuna sehemu unakwama.
Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.
Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.
Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.