Ujumbe kwa Hajar

Well said...umtakie safari njema.
 
Hahaa ni kweli kabisa huwezi kukataa ukweli

Vlad anakwambia wadada wa jf unamuanzishia uzi af anakuja anakujibu "ahahahahaha jamaaani asante my kaka mzuri but umechelewa mie nimewahiwa"


Hahaha nilicheka sana
 
Hahaa ni kweli kabisa huwezi kukataa ukweli

Vlad anakwambia wadada wa jf unamunzishia uzi af anakuja anakujibu "ahahahahaha jamaaani asante my kaka mzuri but umechelewa mie nimewahiwa"


Hahaha nilicheka sana
Hahahaaa. Uzuri inakuwaga ni kweli tumewahiwa.

Pia niseme hakuna mwanamke asiyependa hii kitu hasa ile inayojileta yenyewe. [emoji12] Yaani ningekuwa sina mtu ningeshamzukia huko PM tuyajenge ili nipate ndoa Hajar wa watu. Lol
 
Hahahaaa. Uzuri inakuwaga ni kweli tumewahiwa.

Pia niseme hakuna mwanamke asiyependa hii kitu hasa ile inayojileta yenyewe. [emoji12] Yaani ningekuwa sina mtu ningeshamzukia huko PM tuyajenge ili nipate ndoa Hajar wa watu. Lol
Unazidi kumuumiza...kama anajulikana.
 
Ahsante kwa majibu mazuri Dada yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…